Wewe ndio unaonyesha jinsi gani hata form two hujamaliza,kama issue nikumng'oa M23 hizo troops za PK alizopeleka mpakani anataka kuhalalisha nini?,JWTZ walioko DRC ikitokea Pk anarusha makombora DRC hata wapiga hata kama wanailinda Goma bali atawapiga Wanajeshi wa Congo,na ikitokea kawaua Jwtz tukae kimya sio...idiot
Bado unavita kubwa ya kuboresha uchimi wako, wangu na taifa letu tanzania, hakuna sababu kama unapigwa rudissha vijana nyumbani kujenga uchumi wetu amabao ni wa chini kabisa na kujikongoja na ukiuliza sababu kila kiongozi hafahamu.
Tunahitaji kupigana vita dhidi ya maadui, ujinga, maaradhi na umasikini ambao unauwa watanzania kwa kasi ya ajabu, cha ajabu hii vita imetushinda tunakimbilia kwa wakongomani huu ni upuuzi