Waraka wangu kwa JWTZ, Watanzania

Waraka wangu kwa JWTZ, Watanzania

Tatizo una Munkari halafu povu linakuwa jingi, matokeo yanaathiri uwezo wa kufikiri....Hayo yote nayajuwa kuliko wewe unavyofikiri...nahitaji aya ulikotoa haya hapa chini na si vinginevyo.


Kweli nimeamini wewe mtupu.

Pale aliposema twaeini mkate huu....... nimwili wangu.... hii ni damu yangu damu ya agano...... alimanisha ule mkate na divai ya kutoka dodoma?


Unayajuwa maandiko, yeye alifundisha kwa mifano wala hakusita kuwaeleza wanafunzi wake maana, nitakueleza!.


Mada ya mpende jirani yako katika mkutada huu au mada hii, kati ya wakongomani na wanyanrwanda wa pale muleba nani anapaswa kuwa jirani yako? Umeshindwa kuwapenda hawa ambao unakula na kunywa nao kila siku umewafukuza, je hao ambao huli wala kushinda nao utawapenda vipi? haiwezekani bali mnafiki ndiyo hujifaraguwa kukoti maandishi akidhihaki uhalisia na maana halisi wala asiyatende, naye hutenda yagizani. jitathimini kama fimbo ya mbali yaweza uwa nyoka na maana halisi ni nini.


quote_icon.png
By Balali
Unawezaje kuwapenda wakongo usiyewajuwa kama umeshindwa kuwapenda waliyeachwa na Hayati JK nyeree pale Muleba?

hata mambo ya dini yanakupiga chenga, mpende kwanza huyu unayemfaham ndipo uweze kumpenda mungu aliyembalia nawe



 
Kweli nimeamini wewe mtupu.

Pale aliposema twaeini mkate huu....... nimwili wangu.... hii ni damu yangu damu ya agano...... alimanisha ule mkate na divai ya kutoka dodoma?


Unayajuwa maandiko, yeye alifundisha kwa mifano wala hakusita kuwaeleza wanafunzi wake maana, nitakueleza!.


Mada ya mpende jirani yako katika mkutada huu au mada hii, kati ya wakongomani na wanyanrwanda wa pale muleba nani anapaswa kuwa jirani yako? Umeshindwa kuwapenda hawa ambao unakula na kunywa nao kila siku umewafukuza, je hao ambao huli wala kushinda nao utawapenda vipi? haiwezekani bali mnafiki ndiyo hujifaraguwa kukoti maandishi akidhihaki uhalisia na maana halisi wala asiyatende, naye hutenda yagizani. jitathimini kama fimbo ya mbali yaweza uwa nyoka na maana halisi ni nini.


quote_icon.png
By Balali
Unawezaje kuwapenda wakongo usiyewajuwa kama umeshindwa kuwapenda waliyeachwa na Hayati JK nyeree pale Muleba?

hata mambo ya dini yanakupiga chenga, mpende kwanza huyu unayemfaham ndipo uweze kumpenda mungu aliyembalia nawe



La msingi tumewaondoa kwetu na kule kongo,
Mengine yatafuata.
 
Manyerere, nilikuwa napenda sana kusoma makala yako Rai, na nilikuwa nakuona mwandishi mahiri sana, nilikupenda, ila leo ume-ni disappoint, najua hapa utapata kudos nyingi kwasababu ya aina ya watu wanaojadili mijadala hapa, lakini sikutegemea kuwa mwandishi wa hadhi yako achochee vita na nchi jirani, hii haipo duniani mwandishi wa habari kuchochea vita waziwazi, fanya utafiti. Kisha unakuja na himaya ideology, hii nimeifanyia utafiti na nita-post walaka original ambao umekuwa ukitumiwa kueneza hii campaign

Kweli kabisa. Si Manyerere tu ama waandishi wa Tanzania bali hata wale wa Rwanda wameingia katika mkumbo huu. Mlisikia na kusoma kuhusu Tanzania na Malawi. Vivi hivi! Waandishi wa habari kuweni makini na kalamu zenu zimeangamiza wengi duniani. Nilitaraji mngezidi kuandika kwa kuepusha mgogoro, badala yake mnaukuza na kuupalilia. Pili, msilojua, vita ni vita. Kinachopigana si ukubwa wa nchi kijiografia. Msiibeze Rwanda hata kidogo na kiintelligensia, kijeshi tuko uchi kabisa. Wanatufahamu vilivyo katika jeshi letu. Unapofikiria kupambana na nchi kama hiyo uwe makini sana. Acheni, tuna matatizo mengi nchini, kutuongezea vita wakati huu ni kutuangamiza. Kama mmechoka kuandika acheni, jaribuni taaluma zingine!!!
 
Mkuu Manyerere, Pendekezo lako la kwenda mpaka Kigali "kujihami" si zuri,mimi sikubaliani nalo. Naona hapa tunachanganya mambo, kwa mtazamo wangu sualala EAC ni tofauti na suala na Congo. Rwanda ni sovereign country na huwezikupiga tu nchi ya watu bila sababu ya maana, sababu ambayo kwa sasa hatuna. Hata wanyarwanda nao wame pozi na vifaru vyao pale mpakani na congo, hawawezi kuingia ndani ya Kongo na silaha zao mpaka wawe na sababu za msingi zinazokubalika kimataifa.

Vita vya UN dhidi ya waasi waliopo congo ni vya kuondoa mauaji na vitendo viovu vya ubakaji etc vilivyoendelea congo kwa takribani miaka 16 sasa. Imefikia kipindi dunia nzima inakemea hili na mataifa makubwa yawest na east yanapata bad reputation kwa kuendelea kuchota madini kule huku askari wao wa UN wakishuhudia hii hali bila kuchukua hatua yoyote . Lengo lamunisco ni kustabilize congo, ofcourse wa west wataendelea kuchukua madini kule lakini wanataka iwe bila mauaji na na ubakaji (kama wanavyo fanya hapa kwetu TzI guess....)

Kagame keshasema hausiani na M23, mengi yanaongelewa kuhusuhili lakini nipo confortable zaidi kuamini maneno ya rais wa nchi, aliyotamka yeye mwenyewe hadharani mbele ya dunia nzima, kauli yake ina nguvu na accountability kuliko kauli ya mwandishi wa gazeti lolote lile, iwapo baadae atavamia congo kuwasaidia M23 au atabadilisha kauli yake basi na mimi ntabadilisha mtazamo wangu. Raisi wetu nae alishaweka bayana kwamba hatuna ugomvi na Rwanda na wanyarwanda ni ndugu zetu, tatizo ni ushauri tu aliotoa…ambao umechukuliwa kama amri, naamini pia maneno ya raisi wetu kwani kayasema hadharani na anawajibika na kauli yake hiyo. na hata kama PK anahusika maadamu hayupo Kongo kuwasaidia waasi basi hatuna shida naye kiasi cha kwenda Kigali.

Mambo ya Buhima empire kwa mtanzania wa kawaida kama mimi nikama hekaya za abunuwasi, nahitaji maelezo ya kina zaidi ili niamini kwamba katika Africa hii ya karne ya 21 mtu anaweza kufikiria ati kuwe na utawala dominated na kabila moja tena lenye watu wachache namna hiyo. Hata kama hizo fikra zipo bado haziwezi kuwa na athari yoyote kwa watanzania....watusti wamekuwapo Africa mashariki na kati kwa karne nyingi tu na wao kama kabila hawana significanceyoyote mbaya au nzuri hapa Tanzania, hapa tz wanyarwanda wakivuka tu ule mpaka utusi na uhutu unapotea mara moja kwenye jamii na wanajulikana kama wanyarwanda na tunawatambua kutokana na lugha wanayoongea (urefu au ufupi wa shingo au pua hauna mashiko hapa tz, hivyo nivipimo vya zama za ujima), kwa hiyo basi kama kuna kiongozi yeyote hapa tz anayewahofia lazima atakuwa na matatizo yake binafsi.

Nakubailiana na wewe kuhusu suala la EAC, ni kweli watz hatuwezi kuingia kwenye makubaliano kama ya kushea ardhi na kuwa na political intergration. Ardhi yetu ipo mikononi mwa raisi ...yaani kwa mfano leo hii mtu akimbana koleo raisi wetu asaini kutoa ardhi anaweza kusababisha hiyo ardhi kumilikiwa na nchi nyingine kwa miaka 99 ijayo, mambo ya kushirikiana kiuchumi yanaweza kuendelea lakini hili la ardhi lisubiri walau tuondoe haya madaraka yarais juu ya ardhi na pia tufanye tathmini sisi tutapata faida gani kwenye ardhi za wenzetu. Political situations kwenye nchi za EAC ni tofauti mno, haiwezekani ku fast track muungano wake, kuna nchi zenye upinzani unaoeleweka na zisizo na upinzani,kuna za udini na zisizo, ukabila na zisizo, udikteta etc...kuleta political intergration ya haraka haraka ni sawa ni kufanya mechi ya timu ya soka na netiboli.
Vita ni gharama, sipingi majeshi kwenda Congo kuwa sitiri wenzetu japo na sisi tuna shidazetu na gharama za majeshi yetu kule congo zinagharimiwa na UN. Ila hatuna nia wala sababu ya kwenda mpaka Kigali na uwezo pia hatuna, pesa za kupeleka watoto shule kazi, pesa za kupeleka majeshi Kigali tutazitoa wapi? kama tungevamiwa kama idd amini alivyo fanya hapo ingekuwa sawa kujinyima hata chakula tukate tee nchi yetu, vinginevyo hamna sababu...

 
Naheshimu sana maoni na maelezo yako. Tangu mwanzo hadi mwisho wa riwaya yako sijaambua kitu unachotaka nikuelewe. Sina sababu ya kuwa mbishi kwa mtazamo wako, lakini ni muhimu ukatambua kuwa hicho unachokiona kuwa ni uchochezi na chuki, si kweli. Uandishi unaousema ni hatari kama unahusu suala la ndani ya nchi. Kwa mfano, unapoandika habari za ugomvi wa wakulima na wafugaji. Unapokuja kwenye suala la nchi na nchi, hakuna hicho unachokisema. Kwenye nchi na nchi lazima kuonyesha msimamo dhidi ya adui. Kagame ni adui. Hilo halina ubishi. Alianza kumtukana Rais wetu, akasingizia kwamba hata mke wa Rais ni Mhutu. Akatangaza hadharani kwa kutumia maneno "I will hit him". Yote haya kayafanya kwa kujiamini kuwa Watanzania ni mbumbumbu ambao hawawezi kujibu wala kuchukua hatua.

Linapokuja suala la nchi na nchi, hata kama Rais wetu hatumpendi, ni vema sote tukaungana kukabiliana na adui. Amini alipoanza kudai Kagera ni sehemu ya Uganda, tulimpuuza hadi akasababisha madhara makubwa. Leo Kagame anaposema "I will hit him", akimlenga Rais Kikwete, hatuna hakika kama hatatumia mbinu zilezile za kudungua ndege na kumtoa uhai kiongozi wetu.

Msimamo wangu uko wazi. Kwenye suala la heshima ya nchi yetu na utu wa Watanzania, sina namna. Mzalendo yeyote wa kweli atahakikisha Kagame anakemewa na kuonywa. Unamzungumza Obbo. Fuatilia makala zake uone anavyowashughulikia Watanzania. Nanyi kwa upofu wenu mmelegea na kumsifu kwa uandishi wake. Mimi nasema kwa kulinda maslahi ya nchi yangu, nitaendelea kuwahamasisha Watanzania wapenda nchi yao kuwa tayari kulilinda Taifa letu. Maandishi ya kuwapa ujasiri wanajeshi wetu wanaopigana na Jeshi la Kagame (M23) ni ya msingi na hayaepukiki. Huo ndiyo ukweli hata kama unawauma kama huyu ndugu yangu anayejaribu kunitukana na PPI (maradhi ambayo huwasumbua zaidi kina mama).

Hujapa lolote kwasababu unamalengo nyuma ya pazia na sinashaka inawezekana njaa inakusumbua.

kama suala ni udhaifu wa kiongozi wa nchi sio kila jambo tunapaswa kushabikia mfano

Idd Amin alifanya maamuzi ya ovyo waganda wengi walimpinga unadhani hawakuwa wazalendo,

Juzi tumeshuhudia waziri mkuu wa uk David camerom akiadhirika bungeni, alifanya maamuzi watu wakagoma hakuna uengereza kwenda pigana syria sababu yale makovu ya Iraq bado yanawatesa.

Manyerere bado unaendelea kutupoteza na kushawishi watanzania kufuatana tena kwa propaganda. Je hao wa uk na UG, wako wengi wanaopinga pale kiongozi anapofanya maamuzi ya ovyo unataka kutuambia walikosea?
 
Kwa uandishi wa aina hii nashauri Baraza la Habari liukemee kwa nguvu zote. Naishia hapo.
 
Manyerere Jackton mkuu wangu naomba ufafanuzi tafadhali kwa dukuduku zangu.

Jana uliandika mwishoni mwa habari yako kama hii hapa chini.



Leo umekanusha na kuandika hivi post #285

1. ,

Ulipoandika na kuhanikiza kuanzia Goma mpaka kigali ulimaanisha nini?



post hiyohiyo #285 umeandika


leo asubuhi nimesikiliza BBC idhaa ya kiswahili, kati ya waliotimuliwa ni wazee wa miaka zaid ya 60, na wengine waishi zaidi ya miaka arobaini.

swali towa ushahidi kuthibitisha kwamba wanyarwanda hawa walishawahi kufanya madai hayo hapa tanzania? narudia miaka zaid ya arobaini nilini wamefanya madai hayo? weka hapa utetezi wa hoja yako.


Naukaendelea tena #285


1. Tanzania ilipeleka majeshi yetu kulinda amani au kupigana? kama kupigana ulidhani nini kitokee au watokeo ya kupiga nini hasa kama sio kupigana.


Na hii


1. kwahiyo wewe ulitaka kupiga tu wao watulie?

2. Mgodi wa Kagame kufungwa huko DRC sisi kama watanzania unatufaidishaje? na je migodi yetu hapa Tanzania inatufaidi kihaki kiasi kwamba tunawapugania wakongo hapa kwetu panaamani? mfano kiwira coal mine unaipiganiaje mwandishi wetu


Baada ya hayo machache nataka kufaham sababu za msingi kabisa kutoka taaluma yako zipi kutufanya kuingia vitani.

asante mkuu! nilikuwa nafikiri jinsi ya kumwekea reference ya kile anachokikana leo wakati jana ameandika mwenyewe! sasa unless aseme kuna mtu ali-hack account yake, huyu Manyerere hana sifa za kuwa mwandishi kwa sasa! na wale wenzie waliokuwa wanamshabikia sijui watasemaje!
 
La msingi tumewaondoa kwetu na kule kongo,
Mengine yatafuata.

Somo la muumba limepanda? naona kule kwa wakorintho umetuama.

Yatafuata vipi tunatengwa na majirani? watu wanaweka mikakati ya kiuchumi nyinyi mnashobokea vita na fukuza fukuza mawazo mgando hamfikilii ya baadaye short sighted myopia.
 
Nani atakuwa mkimbizi? tumeshaanza hatua muhimu ya kuwarudisha kwenu kitakachofuata ni kile kilimchomtoa kanga manyoya.Kagame na watutsi wenzake hawana adabu washughulikiwe tu

umevurugwa....
 
umevurugwa....
Kagame ndio kavurugwa na vikosi vya Tz sijui M23 atawatafutia kazi gani mbadala.Majeshi yetu shupavu yamesafisha masalia ya watutsi Congo na kukimbilia kwao wakiwaacha wacongoman wakila sebene kwa raha zao.Inabidi bendi za wacongoman(FM,Akudo,Watoto wa mama Sakina,King Ki na wengineo) ziwaandalie sebene na chamukwale za kutosha kuwakaribisha vijana wetu pindi wataporundi.Mungu ibariki Tanzania
 
Kagame ndio kavurugwa na vikosi vya Tz sijui M23 atawatafutia kazi gani mbadala.Majeshi yetu shupavu yamesafisha masalia ya watutsi Congo na kukimbilia kwao wakiwaacha wacongoman wakila sebene kwa raha zao.Inabidi bendi za wacongoman(FM,Akudo,Watoto wa mama Sakina,King Ki na wengineo) ziwaandalie sebene na chamukwale za kutosha kuwakaribisha vijana wetu pindi wataporundi.Mungu ibariki Tanzania

amen....
 
Jakaya Kikwete shouldn’t have expelled ‘his’ Banyarwanda

Updated Sunday, September 1st 2013 at 19:39 GMT +3

[TABLE="width: 0"]
[TR]
[TD]
Kikwete-02092013.jpg
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
By PETER WANYONYI
African elders were traditionally fountains of sagacity, wise old heads that could be relied upon to fly into calm in times of crisis, and dispense valuable counsel to the hotheads that made up the younger bits of the population.





[COLOR=#04558B !important]0

in[COLOR=#333333 !important]Share[/COLOR]​







[/COLOR]
But this seems to have lately escaped the president of Tanzania, Jakaya Kikwete, who recently ordered the expulsion of hundreds of Banyarwanda from the Kagera region of north-western Tanzania.
Beginning around the 1920s, thousands of Kinyarwanda speakers moved to what is now Kagera in Tanzania. Those were the colonial days when borders were extremely fluid. The Banyarwanda were pastoralists who moved from place to place with their big-horned Watutsi cattle, and there was no problem.
Refugees
But then independence came and brought about immediate anti-Tutsi pogroms in Rwanda andBurundi. Consequently, more Banyarwanda refugees moved into Tanzania. Come 1994, and the tragicRwandan Genocide resulted in nearly a millionBanyarwanda fleeing to Tanzania to escape being butchered by Hutu militias.
Paul Kagame’s Rwandese Patriotic Front eventually ended the genocide, but the Hutu murderers regrouped under the ironic title “Democratic Forces for the Liberation of Rwanda” — known by the French acronym FDLR — and disappeared into the vast forests of the eastern Democratic Republic of Congo. While there, they have continued to loot, rape and pillage, and are said to have gone so far as to visit cannibalism upon the pygmies native to that part of the DRC.
All in all, therefore, the FDLR are a nasty group. Rwanda, however, has been either unable, or unwilling, to finish off the FDLR. East African military talking heads say it is the latter, because President Paul Kagame’s military is so effective and disciplined that they once flew 1,000km to Kinshasa and took over the entire city for days — holding off Angolan and Zimbabwean attackers and airforce jets with not more than a handful of soldiers. That such a ruthless military force could fail to finish off the FDLR is largely thought to be by design. At any rate, President Kikwete got tired of the fighting in Eastern DRC and offered his troops to the UN, to impose order.
Ballistic
Tanzania is no military slouch itself, and this was swiftly followed by a suggestion from Tanzania thatRwanda should sit down with the FDLR and negotiate a truce. Rwanda went apoplectic at the suggestion, calling Kikwete all manner of names. Kikwete retaliated by expelling the Banyarwandawho have been living in Kagera for the last century. People that were born and raised in Tanzania by parents who, too, were born and raised in Tanzania suddenly find themselves stateless.
President Kikwete is misbehaving. He should have resisted the temptation to go ballistic on Rwanda, and instead maintained the cool demeanour of the military spy and regional statesman who negotiated Kenya’s governing accord back in 2008. Villagers will tell you that real men are calm and self-controlled — a yardstick against which Kikwete has come up awfully short.

Source:
Standard Digital News - Kenya : Jakaya Kikwete shouldn?t have expelled ?his? Banyarwanda
 
Munaona hapo juu, sahizi Tanzania inaanza kumilikishwa kama kwamba Tanzania kuna kabila la wanywaranda, ndivyo hivyo walianza hata DRC.
 
Somo la muumba limepanda? naona kule kwa wakorintho umetuama.

Yatafuata vipi tunatengwa na majirani? watu wanaweka mikakati ya kiuchumi nyinyi mnashobokea vita na fukuza fukuza mawazo mgando hamfikilii ya baadaye short sighted myopia.
Tatizo Kagame alitishia kumbaja wakati anadrive tena yupo speed 200 kwa saa
 
@Manyerere Jackton nenda na wewe ukafe kishujaa! mnaniboa sana wabongo mnavyochochea huu ugomvi! ndugu zetu wanakufa, eti mnasema wamekufa kishujaa, kishujaa? "kishujaa my ass" kwanini na wewe usiende ukafe kishujaa!
nani ambae ataishi milele bob??kuna siku utakufa tu so usiogope kufa mtoto wa kiume...tena ni jambo la faraja ukifa unapigania heshima ya nchi yako.
 
Hivi unajua kama kuna watutsi waTanzania kama walivyo wajaluo/wamasai ambao pia wanapatikana nchi za jirani?

Kwa hili hunidanganyi eti watutsi wa Tanzania thubutuuu...hawa hata iweje wanajijua ni wanyarwanda huwezi linganisha na wamasai au wajaluo wa tz ambao wenyewe piga ua hawawezi kujisema eti ni wakenya...mie nimesoma na hao unaosema watutsi wa kibongo baada ya PK kuchukua nchi tu woootee walirudi huko na wamepewa kazi nzuri but walipokua huku walikua wanajidai wazalendoo....hili janga alilileta huyo JKN-RIP...aliwaamini akawapa post nzuri nzuri hadi maubalozini na TISS kumbe alikua anatuletea majanga tu....kwa hili la sasa tuko pamoja sana JK...
 
Nitakujibu kifupi tu, mwalimu JK Nyerere aliweza kupambana na aduwi zake si tu kwa kupeleka wanajeshi kule bali alitoa hifadhi kwa waathilika, wengi walikaa hapa nyumbani na kuendeleza harakati vizuri waliporudi makwao wanatukumbuka watanzania kwa wema mpaka leo msumbiji, Angola, SA Zimbabwe Nk.

Mh kikwete hawezi hata siku moja kufanana na ulichokiandika hapo juu, sera na msimamo wake wa fukuza fukuza, ubaguzi na fitina kwa majirani zake hasa kwenye jukwaa la kimataifa ndiyo imetufikisha hapa tulipo. Unategemea hatakama Kagame ataangushwa hawa aliowafukuza kama mbwa watahitaji ushirikiano naye? wameondoka na kumbukumbu gani ya uwema wetu watanzania ua ukatili wetu wanzania?

Mwalimu Alikuwa mwerevu, na hata baada ya kupigana na Idd Amin, bado hakuwafukuza waganda, Pamoja na kwamba hajawahi kuwa na uhusiano mzuri na Kenyatta hakuwahi wafukuza wakenya. Kwasbabu alifahamu amani ni tunda la haki na upendo ambao mh kikwete hana.

Tutaweza kuungana kama tunaviongozi wenye vision na malengo yakweli kufikia umoja wa faida kwa majirani wote.

Acha uongo bana Nyerere tulishawahi gombana vita ya maneno na kenya alifunga mpaka na tuliwatukana kweli na majeshi yalisonga mpakani..hivi unawajua manyang'au weye???sasa hilo ni nickname la wakenya kipindi hiko na ilibaki kidogo tu tuzichape nao....kwa hio usitake kutoa sifa za uongo kwa JKN eti hakuwafukuza aliopigana nao vita...kipindi hiko wakenya karibu wote ilibidi wakimbilie kwao nilikua mdogo sana lakini nakumbuka hilo jirani yetu alikua mkikuyu wa kenya ilibidi waondoke haraka sana ingawa ilikua ni vita ya maneno tayari kujiandaa na vita halisi....manyang'au = wakenya.
 
Unaifaham vita wewe? hebu toa sababu za msingi kulifanya taifa kuingia vitan? yaani nyie wachumia tumbo manatuaibisha kweli watanzania tunafikiri very low! wakati wenzetu wanajipanga kiuchumi sisi tunashupalia upuuzi.


Tunamatatizo chungu nzima hapa Tanzania kwa kutumiwa na serikali mmekuwa mazuzu kushabikia vita utazani ni soda mnazifahamu gharama za vita nyie?.
Watanzania hatuna watu wa namna yako. Na sema wapi asili yako tutume vijana wetu wakathibitishe utanzania wako? Tumeshawaambia from now tunaandaa utaratibu mkubwa sana, ukitaka affidavit lazima iandamane na hela ya kwenda kijijini kwenu na afisa uhamiaji kumuonyesha kaburi la babu wa babu yako kwa kuthibitishwa na wazee wa kijiji husika, tutakukamata tu wee mtanzania feki.

Ushauri wake ulikosa maana pale alipotaka kuitumia fulsa hiyo kimataifa apate umaarufu, kagame ni jirani yake ilimshinda kitugani mh kikwete kumtembelea pale Kigali, au kumpigia simu, au kummualika hapa Dar es salaam waongee kwa upole na maarifa wakiwa wawili? Kilichofanyika ni unafika wala haukuwa ushauri wa heri.

Ukigombana na jirani, au ukiona jirani yako anamatatizo makubwa, huwezi kusubiri jukwaa la siasa kimataifa eti ndo umpe ushauri, huo ni utapeli na haikubaliki kabisa.
Ushauri ni aina ya elimu isyo rasmi, ambayo haitegemei jukwaa gani-kijiweni, ndani ya daladala, ofcin, nyumbani poa tu. Lakini tumia akili kidogo kwani huo ushauri alipewa yeye tu!? Si na M7 alipewa pia, je alitukana?

Watu mbona mmekomalia vita? kwani kagame alisema ataishambulia tz au umesikia kwamba wamerundika majeshi mpakani kama vile tz ilivyofanya,hebu acheni kushabikia vita.

Hizi ni njaa zinawasumbuwa nyinyi, haiwezekani mtanzania na akili zake timamu aache shida zake kwake nyumbani akomalie matatizo katika nyumba ya jirani yake.

Nyinyi mnaoshabikia upuuzi huu na kutotowa watanzia nje ya mambo muhimu tusijadili haki zetu ninamashaka na uwezo wa akili zenu. Acheni kutupotosha watanzania turudi kuyatazama mauzauza ya shida zetu

Sidhani kama ukitolewa wito kwa watanzania watoke mbele na wewe utatoka eti mtanzania-whaaaat! Tutawakamata nyote, nyie watanzania feki ilihali ni watutsi tuliowafadhili hapa. Japo tunajua mmeficha majina yenu ya ukoo lakini haitosaidia. Kama huna kaburi la babu wa babu yako huna budi kutuonyesha evidence za jinsi ulivyoomba utanzania vinginevyo jiandae kurudi kwenu nyagatare au nyamirambo. Hakuna tena kupata affidavit kama njugu.
 
Kweli kabisa. Si Manyerere tu ama waandishi wa Tanzania bali hata wale wa Rwanda wameingia katika mkumbo huu. Mlisikia na kusoma kuhusu Tanzania na Malawi. Vivi hivi! Waandishi wa habari kuweni makini na kalamu zenu zimeangamiza wengi duniani. Nilitaraji mngezidi kuandika kwa kuepusha mgogoro, badala yake mnaukuza na kuupalilia. Pili, msilojua, vita ni vita. Kinachopigana si ukubwa wa nchi kijiografia. Msiibeze Rwanda hata kidogo na kiintelligensia, kijeshi tuko uchi kabisa. Wanatufahamu vilivyo katika jeshi letu. Unapofikiria kupambana na nchi kama hiyo uwe makini sana. Acheni, tuna matatizo mengi nchini, kutuongezea vita wakati huu ni kutuangamiza. Kama mmechoka kuandika acheni, jaribuni taaluma zingine!!!

Who told u rwanda inaweza ikaitikisa tanzania...mazafanta...tutatumia battalions zilizoko ukanda wa ziwa tu muziki wake munene hautachukua wiki...matatizo hayo mengi kila nchi inayo hatuwezi kukaa kimya rais wetu anatukanwa na huyu fidodido eti tucheke tu kwa sababu tuna matatizo manina kabisa...wakileta za kuleta lazima wapate kipigo tu....na nyie akina balali,ndo vizalia vilivosomeshwa na nyerere kwa hio sasa mnajiona ni watanzania sana hio vita kama ikianza cjui mtakimbilia wapi na hivi ni rahisi kuwatambua itakua ama zenu ama zetu....
 
Back
Top Bottom