Waraka wangu kwa JWTZ, Watanzania

Waraka wangu kwa JWTZ, Watanzania

Manyerere nakupongeza sana,

Hakika umeitikia wito wangu niliowashauri wanahabari hapo wiki jana,

Tunataka waandishi wanaosimamia ukweli kama wewe, wanatanguliza maslahi ya taifa kama wewe, wenye uzalendo kama wewe,

Hawa wachangiaji unaoona wanabwabwaja hapa ndio wale wale wanaosubiri ndoto za BAHIMA,

Amani ya eneo la maziwa makuu haiwezi kupatikana kama Kagame hataondolewa madarakani kwa vikwazo vya kiuchumi kisha kwa mtutu wa bunduki,

Mwenye uwezo wa pekee katika Afrika hii wakumuondoa Kagame madarakani kwa mtutu ni Tanzania tu,

Naaaam kazi imeanza Goma, kwa mwavuli huu huu wa UN tutahitimisha Ikulu ya Kigali


Asante sana mkuu, umesuuza kiu yangu ya kuona mwanahabari wa Tanzania akisimama wima kama wewe!
 
Pamoja sana mkuu. Nimefanya kusudi kumjibu huyu Balali anayejivika utanzania halafu anashindwa kuwaza na kuandika kama Mtanzania.
asiwasumbue huyo nkurunzinza tukilegea siku ingine atakuja kwa nguvu zaidi.fireeeeee banyamulenge.walikaribishwa na mobutu sasa wanataka kuiba nchi ya watu.fireeeee.
 
Last edited by a moderator:
We wawapi? Askari shujaa anafia vitani, acha zako

Maneno ya kujifariji hayo, tumia akili kufikili, shujaa ni yupi, aliye kufa au alie baki hai? shujaa hafi vitani, shujaa anarudi hai huku akishangilia ushindi
 
Ohh!! Manyerere ubarikiwe sana kwa jina la bwana Mungu aliye hai umenena kweli kabisa Kagame na genge lake ni majambazi wakubwa kijinchi chao hakiwezi kuendeshwa bila kuiba Congo, wabarikiwe wanajeshi wote walioko Goma wakipambana kuwatandika magaidi wa M23.
 
Mtoa maada hiyo ni non sense. Kama wanakufa waache wafe na mungu awaongoze m23 wauwe vizuri. Wanatutesa sana hao wakiwa bongo. Na kama wanauzalendo wapindue serikali yao mbovu ya wezi na wauza dawa za kulevya. Wananchi wakidai haki zao wanatumiwa na serikali. Kifupi kagame angeweza kunipa siraha ningekufa na askari 66 pasipo wao kujua uwezo ninao, mbinu nnazo nakosa siraha. HII NCH4 INAHTAJI MAPINDUZI YA HARAKA WAPUMBAVU NDO WANAOSEMA TUNA AMANI. GOD'S BLESS BE WITH PRESIDENT KAGAME
 
Asante @Manyerere Jackton! wale wanaokupinga waweke hoja za msingi.wakijaza matusi kwenye hoja zao inakuwa haina maana sana.
 
@Manyerere Jackton nenda na wewe ukafe kishujaa! mnaniboa sana wabongo mnavyochochea huu ugomvi! ndugu zetu wanakufa, eti mnasema wamekufa kishujaa, kishujaa? "kishujaa my ass" kwanini na wewe usiende ukafe kishujaa!
Una kibali cha kuishi hapa nchini? au unasubiri mpaka msako uanze?
 
Somo la muumba limepanda? naona kule kwa wakorintho umetuama.

Yatafuata vipi tunatengwa na majirani? watu wanaweka mikakati ya kiuchumi nyinyi mnashobokea vita na fukuza fukuza mawazo mgando hamfikilii ya baadaye short sighted myopia.

Babu yangu alikuwa na msemo fulani maarufu kule kwetu Kv..."Kosamba na itondo okyeilapfo".
Ni katika hilo nimeishia hapo. Huelewi tafuta wanaofahamu wakutafsirie.

 
JK alitumwa tu am-proke PK SADC wapate pakuingilia. Mipango ya wamfanyeje PK itakuwa haikuanzia Ads. Hata waraka wa Mtikira, wahamihaji haramu ni kutuzuga kwa aliyonayo jk. Alhamisi ya wiki hii majanbazi yameteka magari maeneoya Nyakanazi (kwa mjibu wa jk huko kulipaswa kuwa pamefagiwa na operation ambayo haijawi kutokea) but......very hard to believe what is really happening. Hebu jaribu tu kuhuliza nini kimefanyika mpaka sasa kuhusu hiyo operation ndo utaijua tzn..

Wewe punguani kweli...ivi kati ya JK na PK (fidodido) ni nani amemprovoke mwenzie?
Natamani ingalikuwa enzi za mwalimu....Balozi angeshapewa saa 24, na mpaka ungeshapigwa kufuli halafu ukileta fyoko ni kichapo hadi kigali tunaigeuza up side down.
JK funguka bhana tumechoka kuvumilia.

 
JK amefanya mambo mengi hovyo.....hasa baada ya kichwa cha mtandao kukatwa na serikali yake kubaki na kiwiliwili tu....lakini kwa hili la kuwatimua wahamiaji haramu ameonesha kwa vitendo ni kweli ndio raisi wa kwanza mzalendo Tanganyika.....i stand to be opposed..!
 
Manyerere, nilikuwa napenda sana kusoma makala yako Rai, na nilikuwa nakuona mwandishi mahiri sana, nilikupenda, ila leo ume-ni disappoint, najua hapa utapata kudos nyingi kwasababu ya aina ya watu wanaojadili mijadala hapa, lakini sikutegemea kuwa mwandishi wa hadhi yako achochee vita na nchi jirani, hii haipo duniani mwandishi wa habari kuchochea vita waziwazi, fanya utafiti. Kisha unakuja na himaya ideology, hii nimeifanyia utafiti na nita-post walaka original ambao umekuwa ukitumiwa kueneza hii campaign

WEWE ni mpelelezi wa kagame na kwa sababu hiyo huwezi kumpenda manyerere kwa sababu Manyerere ni Mtanzania na mada hii aliyoiandika amewaandikia watanzania ili kuijadili na si wanyarwanda. Hata sisi wengine hatukutegea wewe na wenzako kuwepo humu maana si jukwaa lenu. Ondoka tuachie wenyewe. Ninyi mna roho mbaya sana. sitaki ujibu ondoka hutakiwi humu.
 
Kwanini tuongelee vita muda wote!! Zama hizi watu wanaongelea mambo ya uchumi na teknolojia sisi vita are we serious!!! Tusiingie vitani kwa sababu ya personal prestige, katoka dunia hii hakuna mtu anaye penda kudharauliwa au kufanyiwa kebehi ina kera na kukwaza. Pia tutambue kuwa ushauri si lazima upokelewe kama unavyo taka. Ushauri ulitolewa na ukapokelewa tofauti so umetimiza wajibu wako just let it go buddy! Tatizo lililopo ni baada ya ushauri kutolewa ni nini kilifuata ( timua timua ya wakimbizi haramu) timing ya tamko la mkuu la kuwapa siku 14 limetafsiriwa vibaya kwani limekuja mara baada ya ushauri kukataliwa kwa kejeli. Hatuna sababu ya kushabikia vita kwa kwa kigezo cha historia ya ukombozi wa Afrika. Wazee wetu wamefanya yao kwa kipindi chao kizazi hiki tufanye mambo kwa kuangalia manufaa ya kiuchumi zaidi kuliko sifa za uungwana.
Ujio wa Obama usigeuzwe kuwa ni wivu kwa nchi za jirani ambazo hakuzitembelea ni wazi kuwa asingeweza tembelea nchi zote za Afrika. Mwandishi ni kweli kuwa hufahamu historia ya marekani na sera zake za mambo ya nje!! Kweli Obama amekuja kwetu lakini ni ukweli ulio wazi kuwa hakuja picnic my brother it was purely business tunarasilimali nyingi sana ambazo mabeberu wanazitamani na ndo maana wanakimbizana kuja kwetu.Waambie watanganyika kunarasilimali kiasi gani Rwanda ambazo zitawachanganya wamarekani mpaka wakimbilie Rwanda!!( rejea kuhusika kwa CIA na mauaji ya Lumumba nchini Congo) Angalia pia military strategy ya wamareka hasa uundwaji wa majeshi ya kujilinda duniani Tanzania is a HUB kwa hapa East Africa kwani we have everything kwenye strategy yao. Bush anazunguka kwetu kwani yupo kibiashara zaidi na mwenzie Dick Chen pia Clinton na miradi yake Afrika so tusijidanganye kuwa ujio wao ni sifa kwetu kwani wao na sera zao ni kwa hawana marafiki wa kudumu wa maadui wa kudumu. Kama wao wameungana ni nafasi kwetu kuangalia opportunities zingine na kuimarisha miundombinu yetu hasa reli, bandari na barabara maana soko letu ni kubwa zaidi kuliko wao na lazima watajirudi tu mara baada ya siye kuachana na ukiritimba wetu. Hii habari ya HIMA empire its history kwa zama hizi (liberal society = liberal mind) kama tutakuwa tumejiimarisha kiusalama na hii iwe ni changamoto kwa watawala wetu kujitathimi ni kwa kiasi gani watu hawa wamejipenyeza kwenye idara nyeti ndani ya taifa letu maana haingii akilini imekuwa vipi hawa wahamiaji haramu wamedumu kwa muda mrefu nchini na waliingiaje maana tuna idara za ulinzi na usalama (rushwa kwa watendaji wetu na mkuu anatakiwa asafishe uozo huu kabla ya kukimbilia kuwafukuza)
Naipenda TANZANIA na nchi hii haita imarika kwa vita bali tushughulishe akili zetu tuweze kujiinua kiuchumi maana wenzetu wanakimbia na ukiona wanaenda vitani basi tambua kuwa there is a hidden agenda behind the curtain. Hatuwezi maliza tofauti zetu kwa vita let us look in a different angle kwenye suala hili la kupishana kwa kauli kuna kitu tunaweza kucapitalize kwa manufaa yetu na tuachane na kelele za vita na watu hawa self-centered by nature
 
Acha uongo bana Nyerere tulishawahi gombana vita ya maneno na kenya alifunga mpaka na tuliwatukana kweli na majeshi yalisonga mpakani..hivi unawajua manyang'au weye???sasa hilo ni nickname la wakenya kipindi hiko na ilibaki kidogo tu tuzichape nao....kwa hio usitake kutoa sifa za uongo kwa JKN eti hakuwafukuza aliopigana nao vita...kipindi hiko wakenya karibu wote ilibidi wakimbilie kwao nilikua mdogo sana lakini nakumbuka hilo jirani yetu alikua mkikuyu wa kenya ilibidi waondoke haraka sana ingawa ilikua ni vita ya maneno tayari kujiandaa na vita halisi....manyang'au = wakenya.


Huna haja ya kupamba uwongo pasipo na jambo hilo, nataka utamke kwamba nyerere aliwafukuza wakenya, Je nikweli alishawahi wafukuza wakenya?

Acha kunyonga historia kwa ujinga, lini na mwakagani wakenya walifukuzwa Tanzania? Huu uzushi ndiyo unatufanya watanzania kubakia masikini siku zote kwa hadithi za vijiweni na utapeli wa maneno. wenzetu wanaonga mbele kwa maendeleo kiuchumi sisi yetu majungu na fitina.
 
Watanzania hatuna watu wa namna yako. Na sema wapi asili yako tutume vijana wetu wakathibitishe utanzania wako? Tumeshawaambia from now tunaandaa utaratibu mkubwa sana, ukitaka affidavit lazima iandamane na hela ya kwenda kijijini kwenu na afisa uhamiaji kumuonyesha kaburi la babu wa babu yako kwa kuthibitishwa na wazee wa kijiji husika, tutakukamata tu wee mtanzania feki.

Ushauri ni aina ya elimu isyo rasmi, ambayo haitegemei jukwaa gani-kijiweni, ndani ya daladala, ofcin, nyumbani poa tu. Lakini tumia akili kidogo kwani huo ushauri alipewa yeye tu!? Si na M7 alipewa pia, je alitukana?





Sidhani kama ukitolewa wito kwa watanzania watoke mbele na wewe utatoka eti mtanzania-whaaaat! Tutawakamata nyote, nyie watanzania feki ilihali ni watutsi tuliowafadhili hapa. Japo tunajua mmeficha majina yenu ya ukoo lakini haitosaidia. Kama huna kaburi la babu wa babu yako huna budi kutuonyesha evidence za jinsi ulivyoomba utanzania vinginevyo jiandae kurudi kwenu nyagatare au nyamirambo. Hakuna tena kupata affidavit kama njugu.


Sion sababu wala kushangaa maneno yako.

Baada ya General Uimwengu kutofautiana na serikali ya ccm alitakiwa kuondoka haraka nakwamba yeye sio raia

Baada ya ponda kutofautiana na serikali ya ccm anapewa uraia wa burundi sijuwi inaanzia wapi

Na wengineo, wewe unanipa mimi uraia wa ambao siyo wangu unakilia timamu wewe? unanifahamu mimi? unapaswa kujibu hoja nasio kunitowa/kunivua uraia wangu mjinga wewe.

Watu wapumbavu na wajinga kama wewe siku zote hujadili watu badala ya hoja, huo ni uzuzu baada yakukosa cha kuchangia au huna lakujadili.

1. Hebu nipe sababu kuu na za lazima tatu kwanini tuingie vitani na wanyarwanda, nataka tatu tu za msingi.

2. Kama wewe ni mzalendo wa kweli nataka utueleze umepambana vipi na serikali hii kuhakikisha kwamba vijana kwa maelefu wanaoteketea kwa dawa za kulevya wanaokolewa? au uchungu wako nikwa wanyarwanda na hawa wakwetu hawana maana? huo ndiyo uzalendo na uraia unaojivunia-kuwakombowa wakongomani huku kwetu tunaangamia kwa maelfu? huwezi peleka fagio kwa jirani yako kumsaidia usafi na kumsengenya ilhali kwako kumesheheni uvundo!

Nipe maelezo ya hayo machache, halafu tupime uzalendo wako kama ni zaidi ya huu wangu wakutaka kwanza tuisimamishe Tanzania katika amani, haki na usawa na watanzania watimiziwe haki za masingi dhidi ya maradhi, ujinga na umasikini.

Watu wenyeakili fupi na za kijinga daima hutafuta ufumbuzi wa migogoro kwa vita na mauwaji bali welevu na waliomakini hujitahidi kadri ya uwezo wao kuiepuka vita maana madhara ya vita na visasi visivyo na tija huleta matoke mabaya na pengine kwa vizazi na vizazi na hata karne kadhaa baadaye, haya hamuyaoni kwaababu kwenu short cut ndiyo njia muitakayo.
 
Ukifa wakati ukiwatetea wanyonge wenzako ni thawabu kubwa. Mungu akipenda tutaushuhudia ukombozi wa Wacongo kabla ya kufa kwetu.

Kwa mujibu wa maandiko gani?Mungu yupi atakayekupa thawabu kwa tendo moja huku ukijihalalishia maovu mengine kama uzinzi,ulafi na ulevi,uwongo(kwenye magazeti yenu)na rushwa( mnayoendekeza ninyi waandishi wa habari) inayokandamiza taifa na hasa kundi la wanyonge?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Babu yangu alikuwa na msemo fulani maarufu kule kwetu Kv..."Kosamba na itondo okyeilapfo".
Ni katika hilo nimeishia hapo. Huelewi tafuta wanaofahamu wakutafsirie.


I can imagine, umechangia bonge la hoja, pole Mkirua!!!!!.
 
Huna haja ya kupamba uwongo pasipo na jambo hilo, nataka utamke kwamba nyerere aliwafukuza wakenya, Je nikweli alishawahi wafukuza wakenya?

Acha kunyonga historia kwa ujinga, lini na mwakagani wakenya walifukuzwa Tanzania? Huu uzushi ndiyo unatufanya watanzania kubakia masikini siku zote kwa hadithi za vijiweni na utapeli wa maneno. wenzetu wanaonga mbele kwa maendeleo kiuchumi sisi yetu majungu na fitina.

Balali, wewe ni Mtanzania kweli? Mbona majibu na jazba zako ni kama za Kitutsi?
 
Sion sababu wala kushangaa maneno yako.

Baada ya General Uimwengu kutofautiana na serikali ya ccm alitakiwa kuondoka haraka nakwamba yeye sio raia

Baada ya ponda kutofautiana na serikali ya ccm anapewa uraia wa burundi sijuwi inaanzia wapi

Na wengineo, wewe unanipa mimi uraia wa ambao siyo wangu unakilia timamu wewe? unanifahamu mimi? unapaswa kujibu hoja nasio kunitowa/kunivua uraia wangu mjinga wewe.

Watu wapumbavu na wajinga kama wewe siku zote hujadili watu badala ya hoja, huo ni uzuzu baada yakukosa cha kuchangia au huna lakujadili.

1. Hebu nipe sababu kuu na za lazima tatu kwanini tuingie vitani na wanyarwanda, nataka tatu tu za msingi.

2. Kama wewe ni mzalendo wa kweli nataka utueleze umepambana vipi na serikali hii kuhakikisha kwamba vijana kwa maelefu wanaoteketea kwa dawa za kulevya wanaokolewa? au uchungu wako nikwa wanyarwanda na hawa wakwetu hawana maana? huo ndiyo uzalendo na uraia unaojivunia-kuwakombowa wakongomani huku kwetu tunaangamia kwa maelfu? huwezi peleka fagio kwa jirani yako kumsaidia usafi na kumsengenya ilhali kwako kumesheheni uvundo!

Nipe maelezo ya hayo machache, halafu tupime uzalendo wako kama ni zaidi ya huu wangu wakutaka kwanza tuisimamishe Tanzania katika amani, haki na usawa na watanzania watimiziwe haki za masingi dhidi ya maradhi, ujinga na umasikini.

Watu wenyeakili fupi na za kijinga daima hutafuta ufumbuzi wa migogoro kwa vita na mauwaji bali welevu na waliomakini hujitahidi kadri ya uwezo wao kuiepuka vita maana madhara ya vita na visasi visivyo na tija huleta matoke mabaya na pengine kwa vizazi na vizazi na hata karne kadhaa baadaye, haya hamuyaoni kwaababu kwenu short cut ndiyo njia muitakayo.

Naona umekumbuka chakula cha kwenu. Usilete matusi, watanzania hawatukani hivyo, tena unaenitukana huenda nilishawahi kukupiga supp. chini ya ulezi wetu kwenu. Jibu swali, wapi lilipo kaburi la babu wa babu yako linaenda kwa jina gani tutume vijana wetu, narudia tena nyote mliofoji vyeti feki tutawabaini na kuwakamata, la kama ww ni mtanzania poa moto, utabaki salama vinginevyo unafuata tu no way-tumechoka.

Habari ya ndani kwetu wenyewe tutajua la kufanya. Kama Tanzania tuna matatizo yetu na changamoto zetu, ni matatizo ambayo hayazuii kutekeleza sera yetu ya Diplomasia ambayo iko consideretion na utu wa watu walio nje ya Tanzania, by the way ni mtanzania gani ww usiojua uthari tuzipatazo Tanzania kwa vita visivyoisha huko Rwanda, Burundi na Congo?
 

Naona umekumbuka chakula cha kwenu. Usilete matusi, watanzania hawatukani hivyo, tena unaenitukana huenda nilishawahi kukupiga supp. chini ya ulezi wetu kwenu. Jibu swali, wapi lilipo kaburi la babu wa babu yako linaenda kwa jina gani tutume vijana wetu, narudia tena nyote mliofoji vyeti feki tutawabaini na kuwakamata, la kama ww ni mtanzania poa moto, utabaki salama vinginevyo unafuata tu no way-tumechoka.

Habari ya ndani kwetu wenyewe tutajua la kufanya. Kama Tanzania tuna matatizo yetu na changamoto zetu, ni matatizo ambayo hayazuii kutekeleza sera yetu ya Diplomasia ambayo iko consideretion na utu wa watu walio nje ya Tanzania, by the way ni mtanzania gani ww usiojua uthari tuzipatazo Tanzania kwa vita visivyoisha huko Rwanda, Burundi na Congo?


Soma vizuri post yangu, nikutukana kwasababu umekosa adabu na hekima kunivuwa urai wangu kwa ujinga tu.

Hapo juu umepinda pinda na porojo za kutosha naomba majibu kama nilivouliza mkuu acha siasa na vijembe.


quote_icon.png
By Balali
Sion sababu wala kushangaa maneno yako.

Baada ya General Uimwengu kutofautiana na serikali ya ccm alitakiwa kuondoka haraka nakwamba yeye sio raia

Baada ya ponda kutofautiana na serikali ya ccm anapewa uraia wa burundi sijuwi inaanzia wapi

Na wengineo, wewe unanipa mimi uraia wa ambao siyo wangu unakilia timamu wewe? unanifahamu mimi? unapaswa kujibu hoja nasio kunitowa/kunivua uraia wangu mjinga wewe.

Watu wapumbavu na wajinga kama wewe siku zote hujadili watu badala ya hoja, huo ni uzuzu baada yakukosa cha kuchangia au huna lakujadili.

1. Hebu nipe sababu kuu na za lazima tatu kwanini tuingie vitani na wanyarwanda, nataka tatu tu za msingi.

2. Kama wewe ni mzalendo wa kweli nataka utueleze umepambana vipi na serikali hii kuhakikisha kwamba vijana kwa maelefu wanaoteketea kwa dawa za kulevya wanaokolewa? au uchungu wako nikwa wanyarwanda na hawa wakwetu hawana maana? huo ndiyo uzalendo na uraia unaojivunia-kuwakombowa wakongomani huku kwetu tunaangamia kwa maelfu? huwezi peleka fagio kwa jirani yako kumsaidia usafi na kumsengenya ilhali kwako kumesheheni uvundo!

Nipe maelezo ya hayo machache, halafu tupime uzalendo wako kama ni zaidi ya huu wangu wakutaka kwanza tuisimamishe Tanzania katika amani, haki na usawa na watanzania watimiziwe haki za masingi dhidi ya maradhi, ujinga na umasikini.

Watu wenyeakili fupi na za kijinga daima hutafuta ufumbuzi wa migogoro kwa vita na mauwaji bali welevu na waliomakini hujitahidi kadri ya uwezo wao kuiepuka vita maana madhara ya vita na visasi visivyo na tija huleta matokeo mabaya na pengine kwa vizazi na vizazi na hata karne kadhaa baadaye, haya hamuyaoni kwaababu kwenu short cut ndiyo njia muitakayo.
 
Back
Top Bottom