Balali, wewe ni Mtanzania kweli? Mbona majibu na jazba zako ni kama za Kitutsi?
Wewe mzee unashusha heshima yako.
La kwanza, hii tabia ya kukosa hekima, adabu na busara kuvuwa watanzania wenzenu Uraia mnaitowa wapi? kwa akili zenu zilivodumaa mnataka wote tuwe na mwelekeo mmoja? kupinganga hoja na mitazamo inawezaje kuwa sababu ya kuniondolea uraia wangu?
La pili hebu soma maelezo yako hapo juu kisha ulinganishe na nilichokiuliza hapa chini kama vinaendana au kuhusiana, hii pia inaendele kushusha zaidi heshima yako.
By Balali![]()
![]()
Huna haja ya kupamba uwongo pasipo na jambo hilo, nataka utamke kwamba nyerere aliwafukuza wakenya, Je nikweli alishawahi wafukuza wakenya?
Acha kunyonga historia kwa ujinga, lini na mwakagani wakenya walifukuzwa Tanzania? Huu uzushi ndiyo unatufanya watanzania kubakia masikini siku zote kwa hadithi za vijiweni na utapeli wa maneno. wenzetu wanaonga mbele kwa maendeleo kiuchumi sisi yetu majungu na fitina.