Manyerere Jackton mkuu wangu naomba ufafanuzi tafadhali kwa dukuduku zangu.
Jana uliandika mwishoni mwa habari yako kama hii hapa chini.
Leo umekanusha na kuandika hivi post
#285
1. ,
Ulipoandika na kuhanikiza kuanzia Goma mpaka kigali ulimaanisha nini?
post hiyohiyo
#285 umeandika
leo asubuhi nimesikiliza BBC idhaa ya kiswahili, kati ya waliotimuliwa ni wazee wa miaka zaid ya 60, na wengine waishi zaidi ya miaka arobaini.
swali towa ushahidi kuthibitisha kwamba wanyarwanda hawa walishawahi kufanya madai hayo hapa tanzania? narudia miaka zaid ya arobaini nilini wamefanya madai hayo? weka hapa utetezi wa hoja yako.
Naukaendelea tena
#285
1. Tanzania ilipeleka majeshi yetu kulinda amani au kupigana? kama kupigana ulidhani nini kitokee au watokeo ya kupiga nini hasa kama sio kupigana.
Na hii
1. kwahiyo wewe ulitaka kupiga tu wao watulie?
2. Mgodi wa Kagame kufungwa huko DRC sisi kama watanzania unatufaidishaje? na je migodi yetu hapa Tanzania inatufaidi kihaki kiasi kwamba tunawapugania wakongo hapa kwetu panaamani? mfano kiwira coal mine unaipiganiaje mwandishi wetu
Baada ya hayo machache nataka kufaham sababu za msingi kabisa kutoka taaluma yako zipi kutufanya kuingia vitani.