Waraka wa UAMSHO unaochochea machafuko Zanzibar

Waraka wa UAMSHO unaochochea machafuko Zanzibar

Wewe Fadrashid; acha kuupotosha umma. Unajua maana ya vita vya badri??? kwa hiyo unataka kusema kuwa hapo mnapigana vita ya badri? kwa minajili na mafundisho sawia ya kupigana vita vya badri, ndicho mnachokifanya?????
Na mimi pia ni Muislam tena sio wa kuburuzwa. Nina tenda, nina abudu kwa elimu na si kibubusa.
Acheni kuiharibu dini, hayo mnayofanya hayako kwenye mafundisho ya dini. mwenye elimu safi ya dini hawezi fanya hivyo kama mnavyofanya kwa kisingizio cha dini.
Dini ya kiislam inaendeshwa kwa elimu na hekima, na sio kwa ghadhabu na ujinga.
Kwa haya mnayoyafanya mkasababisha mtume wetu na Mungu wakatukanwa, hakika nyinyi ndio mtakuwa mmewatukanisha na mtaubeba mzigo wake, kwa hayo yaliyosababishwa kwa mikono yenu.

Leo mnasingizia mafundisho ya kiislam ili kuhalalisha hayo???? mwalimu mkuu wetu mkuu na kiigizo chetu sisi waislam ni Mtume, kwa hayo myafanyayo kwa kisingizio cha uislam ni kumsingizia mtume, kwani hakufundisha hayo myatendayo. Na dhambi ya kumsingia mtume ni kubwa sana. Hayo mnayoyafanya kwa kisingizio cha uislam hayapo popote katika mafundisho ya dini yetu.


Busara imetawala
Mawazo yako mleli, ubarikiwe sana mkuu.
 
Mie mwanzo nilidhani humu jf watu wote wana akili kumbe wengine hamna kitu, sasa hicho unachofanya kama sio kueneza udini ni nini, hiyo barua unayodai ya uamsho mbona haina sahihi wala muhuri wa mtu yoyote, kwani huwezi kutype mwenyewe hiyo, siku hizi hata sahihi watu wanaweza kufoji, acha ujinga huo wa kuhamisha mada kwa uchochezi, mie nilikuwa sijui kumbe wazanzibari wanataka nchi yao, si wapewe sisi watanganyika tufikirie yetu, ya nini kubishana humu wakati nchi yao?
Nadhani fanya uchinguzi wa kina na sio kuja na barua zilizofojiwa ama na usalama wa taifa au wewe mletaji
Kwa hiyo ili iwe ya kweli unataka iwe na nini kama hata sahihi unaweza kufoji? mbona hata mihuri na seals watu wanafoji, sikila kitu kitakacholetwa akili yako ikikutuma unaweza kusema si halisi? Ni nini ambacho wewe utaridhika kuwa ni rahisi? Haya basi video live za Ilunga nazo utasema kuna mtu kafoji?
 
Watu wapo wanapalilia , na tusipokuwa makini TZ imeisha....huu mchezo ni sa usalama sa taifa , najua wengine hawatofahamu ninenacho , waraka hata mimi naweza kuandika na kuchapisha ,halafu usiku nikasausambaza , haihitaji kuwa na Masters kufaham hili.( zamani kipindi cha chuki , usalama walitia vinyesi kwenye visima , walichoma maskani za ccm na kuwasingizia watu, na vituko tele tu)
Sio kama naunga mkono mauwaji , iwe ya padri , albino , muembe chai ni , yote nayalani na yanastahiki kupingwa na kila mtu...tuweni macho kwani hawa wanataka lao tu ni 2015.
Usishangae kwao kutoa kafara hata watu 5000 sio hasara...
TAFAKARI BILA JAZBA
Yawezekana ni usalama wa taifa kama unavyodhani. Ila nadhani hata kama wanafanya, mambo yao yamekuwa ni siri kwa kiasi fulani kwa hiyo siamini kama wanaweza kujitokeza wazi katika sura na mwili wa Ilunga.
 
Mi nimeshtushwa sana na huu waraka wa waislam bado najiuliza hivi mwislam ukitoa roho ya mkristo ndio itakusaidia kupata elimu au kupata maji safi au makazi bora hata hivyo Tanzania itamakumbuka padri mushi kwa mchango wake mkubwa na sio wauaji wake
.Eny waslam kumbukeni kama ni hasira hata sisi wakristo tunazo na kama ni kuua na sisi tunaweza TUDUMISHENI AMANI.
 
Hawa Jamaa naanza kuwachukia sasa maana nimewavumilia sana kuwapenda, waraka gani huu sasa! Kwanini tusivunje muungano tuwaache na nchi yao?
Hapa ni ugaidi kutafuta ukombozi toka mapinduzi ya 1964 ili waendelee na watumwa wao hapo zanzibar. Sasa ukisema watanganyika tutimke ndio tumewaacha wenzetu kwenye utumwa. Hapa dini ni kisingizio tu kinachotafutwa ni usultani.
 
Mie mwanzo nilidhani humu jf watu wote wana akili kumbe wengine hamna kitu, sasa hicho unachofanya kama sio kueneza udini ni nini, hiyo barua unayodai ya uamsho mbona haina sahihi wala muhuri wa mtu yoyote, kwani huwezi kutype mwenyewe hiyo, siku hizi hata sahihi watu wanaweza kufoji, acha ujinga huo wa kuhamisha mada kwa uchochezi, mie nilikuwa sijui kumbe wazanzibari wanataka nchi yao, si wapewe sisi watanganyika tufikirie yetu, ya nini kubishana humu wakati nchi yao?
Nadhani fanya uchinguzi wa kina na sio kuja na barua zilizofojiwa ama na usalama wa taifa au wewe mletaji

GAIDI MWEUSIII!... leo mnataka kumuua nani?! ni makanisa mangapi mtachoma?!...
 
Kwakuwa umevuja ni feki!... Waislamu hamchoki kuchoma makanisa na kuua viongozi wa kikristo?!... Mmehama CUF kwenda CCM ili mkakati huu ufanikiwe?!

Katika akili yako huo ni waraka wa kweli? Labda mwenye akili za kushikwa.
 
Katika akili yako huo ni waraka wa kweli? Labda mwenye akili za kushikwa.

Ukishikwa utakana!.. Hata ustaadhi ILUNGA utamkana!... Nyinyi si wenzetu!... Ni wauaji hatari na wadini kupindukia... Makanisa mnayoyachoma na viongozi wa kikristo mnaowaua mnadhani mtafanikiwa kujenga jamhuri ya kiislamu?!...
 
Watu wapo wanapalilia , na tusipokuwa makini TZ imeisha....huu mchezo ni sa usalama sa taifa , najua wengine hawatofahamu ninenacho , waraka hata mimi naweza kuandika na kuchapisha ,halafu usiku nikasausambaza , haihitaji kuwa na Masters kufaham hili.( zamani kipindi cha chuki , usalama walitia vinyesi kwenye visima , walichoma maskani za ccm na kuwasingizia watu, na vituko tele tu)
Sio kama naunga mkono mauwaji , iwe ya padri , albino , muembe chai ni , yote nayalani na yanastahiki kupingwa na kila mtu...tuweni macho kwani hawa wanataka lao tu ni 2015.
Usishangae kwao kutoa kafara hata watu 5000 sio hasara...
TAFAKARI BILA JAZBA

Usalama wa taifa hawafanyi ujinga kama huu!... Wauaji ni waislamu!... Makanisa yanachomwa na waislamu!...
 
Hakuna waraka hapo ni uhuni tu.

Ni uhuni kwakuwa mmechoma makanisa na kuua viongozi wa kanisa na bado mmegeuka kuwa mashabiki wa serikali ya kiislamu, inayoujenga mfumo islamu!.. Akigombea lowasa 2015 wewe CUF!
 
Uislamu ni dini ya amani lakini wajinga wachache ndio wanao-utukanisha uislam uonekane ni usheitani,wasilamu msikubali hilo.
mh! Wamesoma kitabu gani mpaka wakafyatu? Fanya jaribio soma na kuyaishi mafundisho yote ya qaraa kama na wewe hazikufyatuka na kuishia segerea!
 
Hii inaonekana wazi kuna watu wamebuni huu waraka ili kuipaka matope uamsho .

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2

Uamsho ni kundi la kigaidi kama BOKO HARAM, wamepewa uhuru wa kufanya kazi ili wajenge JAMHURI YA KIISLAMU!...

Mauaji ya Zanzibar yana mkono wa magaidi wa UAMSHO na USTAADHI ILUNGA!...
 
So sad! kama watu wanaweza kudiriki kuandika ----- kiasi hiki nakusingizia UAMSHO(Uislamu) then why not tuasiamini kama hata makanisa yalikuwa yakichomwa na wakristo wenyewe au jasusi na gaidi mwingine yoyote ambaye anataka kuona Tanzania ikiingia kwenye machafuko.

Huu -----....hauna mahusiano yoyote na Uislamu..lugha iliyotumika, matumizi ya maneno, tamathali za semi vyoote vinaashiria kama waraka huu haukuandikwa na waislamu.

Neno Wabillaahi Taufiiq na jinsi muandishi alivyoandika WABILLAHI TAWFIQ, Neno Somalia..n.k vyoote vinaashiria kwamba huu waraka ni wakutunga.

Cha muhimu napata tabu kujua kama kwa nini mpaka watu wakaamua kuandika uongo kiasi hiki..je kisa ni huu Muungano tu au kuna jambo jengine behind that.

Ndugu zangu Wa Tanzania (Waisalamu na Wakristo)..tuamke sasa. Wacha tutafakari matukio haya na tuone what is behind all these. Tusidhani kama mataifa yanayoitwa Rafiki yako na furaha kuona nchi yetu iko katika amani. Wao wanachotaka ni kuona machafuko ili baadae waje kwa mlango wa nyuma kwa kisingizio cha kuja kulinda amani..tuki tahammaki rasilimali zetu zimeibiwa. Rejea Iraki na Libya.

Kikwebo.


Waislamu wanafiki tu!... Mnaukana waraka huu!.. Je CD za ustaadhi ILUNGA nazo mnazikataa!.. Gaidi Ghailani aliyelipua Dar 1998 alikuwa Mwislamu na Mzanzibar nayo haya mnakataa?!!!!.
 
Back
Top Bottom