Waraka wa UAMSHO unaochochea machafuko Zanzibar

Waraka wa UAMSHO unaochochea machafuko Zanzibar

Tatizo unajichanganya sana. Kule upo na huku upo unakuwa kama popo.
Jikite kwenye hoja, hapa watu wanachangia hilo bandiko hapo juu sasa wewe unachangia nini?

Kwamba Mateso na manyanyaso zaidi kwa jamii yetu waislam hatutavumilia.. Kwahiyo unamaanisha kuwa Kilichofanyika jana nk, nk, ni utekelezaji wa hii kauli yako inayoshasbihiana na Kauli nyingine ya Gaidi Ilunga anayelindwa na utawala wa Kikwete?

Waliouwa zanzibar wametoa huo waraka na wanakiri kutumia Uislamu wewe unakataa uu mwislamu kuliko waislamu hao wenzako? Wana sababu zao zipi hebu tushawishi tuweze nasi kung'amua.
Deadly religion
 
Wewe acha kurud nyuma unajua ksa cha Mtume (s.a.w) kuamrishwa kupigana vita vya badr n kuondoa dhurma ya makafir hvyo waislamu wamevumilia baada ya kupata uhuru mpaka Leo wameshndwa na Inshaallah ktaeleweka mwaka huu
Bado tu huo mwaka haujafika?
 
Kudadeki Hawa jamaa wanyongwe Kama magaidi wengine nakumbuka siku Padre anapigwa risasi maeneo ya bububu Kuna kigango pale nilishuhudia tukio lile japo sikuona Alie mpiga tuliona tuumaiti kwenye gari
 
Back
Top Bottom