Waraka wa UAMSHO unaochochea machafuko Zanzibar

Waraka wa UAMSHO unaochochea machafuko Zanzibar

haya yanayoendelea zanzibar kwa ujumla viongozi wa juu wa serikali na chama wanajua,si kwamba hawajui,mengineyo anayoyasema JK ni upambe tu wa mdomoni lakini moyoni siyo.Mbegu kama hizi ameanza kuzipanda mda .Ngoja na upande mwingine na wenyewe wachoke.tuone nini kitakachotokea.

Kikundi kama cha uhamsho inajulikana na viongozi wake wengine wapo mitaani na wanajua kabisa jeuri wanayoifanya nguvu inapatikana wapi ikiwepo kusaidiwa kifedha pia kutoka nje.
 
Usidhani akifa Ponda, Ilunga na Farid ndio kupona.

Kwanza wakifa hao ndio moto utawaka vibaya. Wakifa wao ni faida kwetu na kwao wenyewe pia,kitakachobaki ni mimi na wewe kumtafuta wakumtanguliza mwenzie. Ukiniua sina hasara! Vita ikifika mlangoni ndio utajua ubaya wake na wala sio kitu cha kushabikia, unashabikia kwakuwa unatazama tu kwenye tv ngoja siku hali ikufike hapo hutatamani tena na utaona bora uendelee kutazama kwenye TV.

Mateso na manyanyaso zaidi kwa jamii yetu waislam hatutavumilia. Amani ni tunu yetu sote basi na tuilinde. Walioua Zanzibar wanasababu zao binafsi kwakuwa Uislam haufundishi kuuwa watu bila ya hatia lakini kama mtu wetu kauliw bila ya hatia tunaruhusa ya kulipiza kisasi.

Serikali iliendee suala hili kwa umakini mkubwa sana na endapo watajichanganya hapo ndio umwagji damu Tanzania utakuwa rasmi!

Kijana Soma hii:
Romans 14:9 For to this end Christ both died, and rose, and revived, that he might be Lord both of the dead and living.

10 But why dost thou judge thy brother? or why dost thou set at nought thy brother? for we shall all stand before the judgment seat of Christ.

11 For it is written, As I live, saith the Lord, every knee shall bow to me, and every tongue shall confess to God.

12 So then every one of us shall give account of himself to God.
 
Madhara ya serikali dhaifu.
Kwani jela ni kwa ajili ya wavuta unga na vibaka wadogo tu?!?
 
ndg.waislam.hunaweza kudhani unamtolea mungu ibada kwa kumwua mkristo ambae ni ndugu yako.kumbe unamtolea ibada shetani.nitawapa stori katika bblia ya mtu anaeitwa saul.au paulo.[wagalatia 1;13-14].inasema.13.maana mmesikia habari zamwenendo wangu.wa zamani katika dini ya kiyaudi kwamba na liliudhi kanisa la mungu kupita kiasi nikiliharibu.14.nami niliendelea.katika dini ya kiyahudi kuliko wengine walio hirimu zangu katika kabila yangu.nikijitahidi sana katika kuyashika mapokeo ya baba zangu.ndg zangu waislam.huyu paulo aliwa uwa wakristo sana akizani anaitetea dini na kuyafanya mapenzi mungu.kumbe siyo.kumbuka badala ya kujenga heshima ya dini mtaifanya ionekane vibaya machonipa watu nakuaribu heshima alioijengea dini ya uislam.mtume muhamad.hatukatai mnaweza mkawa na hoja za msingi kuhusu zanzibar.lakini sikwaku muua ndg yako mkristo.ni dhambi mbaya sana.

Ndugu yangu, hujitakii mema wewe, unawaambia waislam habari ya mtume paulo, kwao mtume paulo ndiye adui namba moja ya Waislam, hawawezi kusoma chochote cha mtume Paulo, Mtume Paulo ni moto na ni sumu kwa Uilsam kwa kuwa Paulo japo alihubiri mamia ya miaka kabla ya Uislam lakini kama vile alikuwa ameandaa movie ya dini itayokuja ambayo ni Uislam na kusema itawapotosha wengi,na kweli imewapotosha na kuwapofusha mamilioni ya watu.
 
Katiba ya nchi hairuhusu a RETIRED pRESIDENT KU RELOCATE, Then tutakuw naye humuhumu na lazima tumuharibie kule alikopanda farasi.
 
huu ndo waraka wa uamsho unaochochea machafuko na mauaji ya wakristu huko zanzibar
 
kumbe alshabab wapo hapa na ni wako tayari kuwaangamiza katika pasaka hii..asee kuweni makini coz they are well trained...somalia ndo moja ya nchi ambayo terrorist are highly trained ikiwepo Yemen kwa kina Rostam,Pakistan etc..hhakuna atakayepona sio muislamu na wala mkristo kwa kweli
 
Sasa hapo ukisoma kwa makini utakugundua kuwa hawa watu wanafahamika saaaana kama ifuatavyo
1.Cheo cha aliyeandika ni msaidizi wa Amir mkuu hapa anataka watambue uwezo wake kiuongozi so anafahamika
2.Viongozi wa serikali ni lazima wawe na uhusiano na upinzani wa muungano hapa ni CUF
3.Viongozi kuwahakikishia usalama ni lazima wahusiane na idara haizo hivyo kamishna Musa Ali Musa anahusika
4.Mafunzo Somalia lazima wawe ni kikundi kinachoungwa mkono huko somalia na hao ni uamsho
5.Maelezo ya Musa Ali Misa kwamba hawafanyi kazi kwa mashinikizo na hawawajui japo vipeperushi na wao wanavipata bila kueleza jitihada ni wazi kuwa huyu bwana anamaslahi ya moja kwa moja na mauaji haya..Hapa huna haja ya intelijensia ya Un
 
its getting serious na serikali haiwezi saidia au haina intelligency ya maana
 
Mambo kama haya serikali imelala usingizi wa pono!!! Ama hakika hakuna kipindi ambacho nchi imekosa uongozi kama sasa.
 
Mtusaidie jamani tunashindwa kuifungua ...naomba.copy and paste

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Usidhani akifa Ponda, Ilunga na Farid ndio kupona.

Kwanza wakifa hao ndio moto utawaka vibaya. Wakifa wao ni faida kwetu na kwao wenyewe pia,kitakachobaki ni mimi na wewe kumtafuta wakumtanguliza mwenzie. Ukiniua sina hasara! Vita ikifika mlangoni ndio utajua ubaya wake na wala sio kitu cha kushabikia, unashabikia kwakuwa unatazama tu kwenye tv ngoja siku hali ikufike hapo hutatamani tena na utaona bora uendelee kutazama kwenye TV.

Mateso na manyanyaso zaidi kwa jamii yetu waislam hatutavumilia. Amani ni tunu yetu sote basi na tuilinde. Walioua Zanzibar wanasababu zao binafsi kwakuwa Uislam haufundishi kuuwa watu bila ya hatia lakini kama mtu wetu kauliw bila ya hatia tunaruhusa ya kulipiza kisasi.

Serikali iliendee suala hili kwa umakini mkubwa sana na endapo watajichanganya hapo ndio umwagji damu Tanzania utakuwa rasmi!

Unalalamika kama mwanamke wa bar, sasa umenyanyaswa nini? Kukatzwa kuchoma makanisa?
 
Nadhani kuna kikolezo hapa! Si vyema kudafua mavitu na kuwabambikizia hawa!

Siamini huu waraka ni wa kweli. Kama ni kweli, basi tuna tatizo kubwa kuliko tunavyodhania. Maana ni juha tu anayeweza kutoa siri za mipango yake, kwamba amesomesha vijana huko Somalia na hata kutabiri Msiba Mkubwa! Lakini ni nani anajua?

Kama mtu anaweza akaamua kujilipua ili aende ahera akapate kuwa na mabikira 72, sembuse hili! Mungu Wangu, kwa nini umetuacha tuteswe na tuteseke hiki! Kwa nini umewanyima hekima hawa?

Mkuu kinachokufanya usiamini ni nini? Huku Zanzibar yanayotokea unafikiri ni usanii wa kaole?
 
Kauli za serikal kuwa hawa ni wahuni wachache sijisikii tena! au wameng'amua kuwa siyo wahuni bali ni waumini wa dini fulani?
 
Wewe acha kurud nyuma unajua ksa cha Mtume (s.a.w) kuamrishwa kupigana vita vya badr n kuondoa dhurma ya makafir hvyo waislamu wamevumilia baada ya kupata uhuru mpaka Leo wameshndwa na Inshaallah ktaeleweka mwaka huu

Wewe Fadrashid; acha kuupotosha umma. Unajua maana ya vita vya badri??? kwa hiyo unataka kusema kuwa hapo mnapigana vita ya badri? kwa minajili na mafundisho sawia ya kupigana vita vya badri, ndicho mnachokifanya?????
Na mimi pia ni Muislam tena sio wa kuburuzwa. Nina tenda, nina abudu kwa elimu na si kibubusa.
Acheni kuiharibu dini, hayo mnayofanya hayako kwenye mafundisho ya dini. mwenye elimu safi ya dini hawezi fanya hivyo kama mnavyofanya kwa kisingizio cha dini.
Dini ya kiislam inaendeshwa kwa elimu na hekima, na sio kwa ghadhabu na ujinga.
Kwa haya mnayoyafanya mkasababisha mtume wetu na Mungu wakatukanwa, hakika nyinyi ndio mtakuwa mmewatukanisha na mtaubeba mzigo wake, kwa hayo yaliyosababishwa kwa mikono yenu.

Leo mnasingizia mafundisho ya kiislam ili kuhalalisha hayo???? mwalimu mkuu wetu mkuu na kiigizo chetu sisi waislam ni Mtume, kwa hayo myafanyayo kwa kisingizio cha uislam ni kumsingizia mtume, kwani hakufundisha hayo myatendayo. Na dhambi ya kumsingia mtume ni kubwa sana. Hayo mnayoyafanya kwa kisingizio cha uislam hayapo popote katika mafundisho ya dini yetu.
 
Ndugu hebu someni waraka huu uliosambazwa Zanzibar muone tunakoelekea
Kazana tu kuchochea kuni kwenye moto mkali unaowaka kwa waraka wako wa kipika.Kumbuka sote tuko kwenye jahazi moja na unachofanya wewe ni kulitoboa hilo jahazi ambapo litakapo zama tutaangamia sote.Endelea na huo mchezo wako mchafu.Wajinga wenzako watakupongeza kwa upuuzi wako.
 
Back
Top Bottom