Waraka wa UAMSHO unaochochea machafuko Zanzibar

Waraka wa UAMSHO unaochochea machafuko Zanzibar

Hakuna waraka hapo ni uhuni tu.

So sad! kama watu wanaweza kudiriki kuandika ----- kiasi hiki nakusingizia UAMSHO(Uislamu) then why not tuasiamini kama hata makanisa yalikuwa yakichomwa na wakristo wenyewe au jasusi na gaidi mwingine yoyote ambaye anataka kuona Tanzania ikiingia kwenye machafuko.

Huu -----....hauna mahusiano yoyote na Uislamu..lugha iliyotumika, matumizi ya maneno, tamathali za semi vyoote vinaashiria kama waraka huu haukuandikwa na waislamu.

Neno Wabillaahi Taufiiq na jinsi muandishi alivyoandika WABILLAHI TAWFIQ, Neno Somalia..n.k vyoote vinaashiria kwamba huu waraka ni wakutunga.

Cha muhimu napata tabu kujua kama kwa nini mpaka watu wakaamua kuandika uongo kiasi hiki..je kisa ni huu Muungano tu au kuna jambo jengine behind that.

Ndugu zangu Wa Tanzania (Waisalamu na Wakristo)..tuamke sasa. Wacha tutafakari matukio haya na tuone what is behind all these. Tusidhani kama mataifa yanayoitwa Rafiki yako na furaha kuona nchi yetu iko katika amani. Wao wanachotaka ni kuona machafuko ili baadae waje kwa mlango wa nyuma kwa kisingizio cha kuja kulinda amani..tuki tahammaki rasilimali zetu zimeibiwa. Rejea Iraki na Libya.

Kikwebo.
 
Kutatua kweli tatizo sio kuvunja Muungano bali kuweka serikali moja Tanzania moja, hawa ni waislamu haramu wanaofadhiliwa na Iran na makundi arabuni ndio kwenye waraka wanaoitwa vijana wanaosoma nje ni waarabu wasiotaka kusikia neno mapinduzi, tukiwarudishia kisiwa watadai na pwani ya Tanganyika yote na hiyo ipo kwenye ajenda yao! Hapa tukamilisha kazi serikali moja manake SMZ ndio mlezi wa maovu yote na wauwaji wanajulikana wote lakini subutu kukamatwa

Waraka feki huo hilo ni kundi la watu wanajribu kuzuga zuga tu, waraka gani huo wa kutunga tunga., Viongozi kaeni chini msiwe kama Bagbo wa Ivory Cost mapaka maji yanampalia kooni ndo anainuwa mikono, matatizo ya Zanzibar rt now yanajulikana na kila mtu kwanin Viongozi wa Zanzibar hamkai chini ku solve hiyo hali? hata mkikodi madiplomasia kutoka Washington itasaidia nn? nafsi za watu haziko happy kutokana madhila ndani ya nchi yao.,
 
Usidhani akifa Ponda, Ilunga na Farid ndio kupona.

Kwanza wakifa hao ndio moto utawaka vibaya. Wakifa wao ni faida kwetu na kwao wenyewe pia,kitakachobaki ni mimi na wewe kumtafuta wakumtanguliza mwenzie. Ukiniua sina hasara! Vita ikifika mlangoni ndio utajua ubaya wake na wala sio kitu cha kushabikia, unashabikia kwakuwa unatazama tu kwenye tv ngoja siku hali ikufike hapo hutatamani tena na utaona bora uendelee kutazama kwenye TV.

Mateso na manyanyaso zaidi kwa jamii yetu waislam hatutavumilia. Amani ni tunu yetu sote basi na tuilinde. Walioua Zanzibar wanasababu zao binafsi kwakuwa Uislam haufundishi kuuwa watu bila ya hatia lakini kama mtu wetu kauliw bila ya hatia tunaruhusa ya kulipiza kisasi.

Serikali iliendee suala hili kwa umakini mkubwa sana na endapo watajichanganya hapo ndio umwagji damu Tanzania utakuwa rasmi!

You are an IDIOT
 
Usidhani akifa Ponda, Ilunga na Farid ndio kupona.

Kwanza wakifa hao ndio moto utawaka vibaya. Wakifa wao ni faida kwetu na kwao wenyewe pia,kitakachobaki ni mimi na wewe kumtafuta wakumtanguliza mwenzie. Ukiniua sina hasara! Vita ikifika mlangoni ndio utajua ubaya wake na wala sio kitu cha kushabikia, unashabikia kwakuwa unatazama tu kwenye tv ngoja siku hali ikufike hapo hutatamani tena na utaona bora uendelee kutazama kwenye TV.

Mateso na manyanyaso zaidi kwa jamii yetu waislam hatutavumilia. Amani ni tunu yetu sote basi na tuilinde. Walioua Zanzibar wanasababu zao binafsi kwakuwa Uislam haufundishi kuuwa watu bila ya hatia lakini kama mtu wetu kauliw bila ya hatia tunaruhusa ya kulipiza kisasi.

Serikali iliendee suala hili kwa umakini mkubwa sana na endapo watajichanganya hapo ndio umwagji damu Tanzania utakuwa rasmi!

Tatizo la wajinga kama wewe hamfirii kwamba anakuambia kuwa ukifa huna hasara yenyemwewe hajafa akajua kuwa muislamu akifa hana hasara. Hiyo mito ya Pombe na Maziwa na mabikra ulioahiwa kuwa mmetayarishiwa uko akhera ni ujinga mtupo. Huyo mungu mungu gani anaye kukataza kunywa pombe na kuzini ukiwa duniani ila ukifa na kuuwawa katika vita ya udini atakuandalia haya aliyokukataza duniani. Ni mtu mjinga, asiye na chembe ya uelewa ndio anawza amini hivyo. Nyie mnafaa muelimike ili mtumie akili ilimsidanganywe na wanaofanya wanajua kutafsiri qurani. Dini yenu imekaa kivita vitavita ndio upande wa shetani kwani ndie anyependa watu watende dhambi iliwatengwe na utukufu wa mungu. TAFAKARI NDUGU YANGU.
 
Wewe acha kurud nyuma unajua ksa cha Mtume (s.a.w) kuamrishwa kupigana vita vya badr n kuondoa dhurma ya makafir hvyo waislamu wamevumilia baada ya kupata uhuru mpaka Leo wameshndwa na Inshaallah ktaeleweka mwaka huu

Tuolozeshee Dhuruma mnazo lalamika kila siku nyie majuha..
 
waraka feki na wakutunga kabisa unaonekana wazi wazi hata hayo maneno mpangilio wake hahaha inachekesha sn., hizo ni mbinu za makafiri
 
jamani dhulma ni neno la jumla mno na ni neno ambalo linatakiwa litumiwe na mtu asiye na maarifa wala hekima,kwa kadri ya niishivyo mateso shida nizipatazo mimi kwa kiasi kikubwa sana ni sawa au nafuu kwa baadhi ya rafiki zangu waislam,wapo ambao wanashida zilizo nafuu ya zangu,wapo ambao shida zetu zinafanana,na wapo ambao shida zao ni kubwa kuliko zangu, sasa unapoandika dhulma kwa waislam una maanisha nini hasa, au unamaanisha ni kipi ambacho mimi napata kwa kuwa tu ni mkristo ambacho wengine hawapati kwa kuwa tu ni waislam ?

1. Rais
2. Makamu
3. Rais wa zanzibar
4. Makamu wa kwanza wa rais wa zanzibar
5. Makamu wa pili wa rais wa zanzibar
6. Igp.
7. Mkuu wa usalama wa taifa
8. Jaji mkuu

wote ni waislaamu munadhurumiwa nini nyinyi waislamu, mbona sisi hatulalamiki?
 
Wewe Fadrashid; acha kuupotosha umma. Unajua maana ya vita vya badri??? kwa hiyo unataka kusema kuwa hapo mnapigana vita ya badri? kwa minajili na mafundisho sawia ya kupigana vita vya badri, ndicho mnachokifanya?????
Na mimi pia ni Muislam tena sio wa kuburuzwa. Nina tenda, nina abudu kwa elimu na si kibubusa.
Acheni kuiharibu dini, hayo mnayofanya hayako kwenye mafundisho ya dini. mwenye elimu safi ya dini hawezi fanya hivyo kama mnavyofanya kwa kisingizio cha dini.
Dini ya kiislam inaendeshwa kwa elimu na hekima, na sio kwa ghadhabu na ujinga.
Kwa haya mnayoyafanya mkasababisha mtume wetu na Mungu wakatukanwa, hakika nyinyi ndio mtakuwa mmewatukanisha na mtaubeba mzigo wake, kwa hayo yaliyosababishwa kwa mikono yenu.

Leo mnasingizia mafundisho ya kiislam ili kuhalalisha hayo???? mwalimu mkuu wetu mkuu na kiigizo chetu sisi waislam ni Mtume, kwa hayo myafanyayo kwa kisingizio cha uislam ni kumsingizia mtume, kwani hakufundisha hayo myatendayo. Na dhambi ya kumsingia mtume ni kubwa sana. Hayo mnayoyafanya kwa kisingizio cha uislam hayapo popote katika mafundisho ya dini yetu.
kwa kukutabiria umesoma vizuri dini ya kiislam na kuielewa na ukachanganya na elimu hii ya dunia na ukaielewa pia,wenzako walio wengi hawajasoma dini wala darasani wanachokifanya ni kumsikiliza ustadhi ilunga,sheh kishik na ponda na wanajiita waislam.wanaudhalilisha uislam!
 
Wewe acha kurud nyuma unajua ksa cha Mtume (s.a.w) kuamrishwa kupigana vita vya badr n kuondoa dhurma ya makafir hvyo waislamu wamevumilia baada ya kupata uhuru mpaka Leo wameshndwa na Inshaallah ktaeleweka mwaka huu

Kila mahali duniani waislamu wanadai wanaonewa!! Mbona wao kwa wao wanamalizana pia? Dhambi ya kusema kuwa wanapambana na ukafiri ikiisha basi itahamia kwao hapa nchini kama ilivyo Pakistani (Suni vs Shia), Iraq (Suni vs Shia), etc. Hii ni dini ya fujo na kisasi. Mungu wao si Mungu wa kawaida... ni Mungu wa fujo, dhuluma na hasira. That God is so contradictory ... eti uue ndio uende mbinguni?? Kweli?? Tatizo la uislamu popote duniani na mafundisho ya quran na mtume S.A. W. hayahimizi upendo na ni tofauti kabisa na yale ya Kikristu. Wakati ukristu unahubiri upendo (si tu kwa mkristu bali kwa mtu yeyote), uislamu unahubiri ubaguzi na ndio maana mara nyingi mahubiri yao yako kushambulia ukristu zaidi kuliko kueleza uzuri wa Uislam?? Mbona dini nyingine haziko hivyo -- Bhuda, Hindu, n.k. Wakati mwingine najiuliza, inawezekana labda ni kwa sababu dini zote mbili zilianzia almost eneo moja? Ukristu karne ya Kwanza na Uislamu karne ya sita na kwa kuwa Uislamu uliukuta ukristu umeshajiimarisha maeneo mengi (e.g. Afrika ya kaskazini - Misri, Libya, Algeria, Tunisia, etc). Hivyo ilikuwa ni lazima kupigana na kupinga ukristu ili kujijenga.
 
Serikali ya maccm inawajua watu hawa lakini kwa vile waliwasaidia kupata madaraka wameamua kuwafumbia macho
 
Usidhani akifa Ponda, Ilunga na Farid ndio kupona.

Kwanza wakifa hao ndio moto utawaka vibaya. Wakifa wao ni faida kwetu na kwao wenyewe pia,kitakachobaki ni mimi na wewe kumtafuta wakumtanguliza mwenzie. Ukiniua sina hasara! Vita ikifika mlangoni ndio utajua ubaya wake na wala sio kitu cha kushabikia, unashabikia kwakuwa unatazama tu kwenye tv ngoja siku hali ikufike hapo hutatamani tena na utaona bora uendelee kutazama kwenye TV.

Mateso na manyanyaso zaidi kwa jamii yetu waislam hatutavumilia. Amani ni tunu yetu sote basi na tuilinde. Walioua Zanzibar wanasababu zao binafsi kwakuwa Uislam haufundishi kuuwa watu bila ya hatia lakini kama mtu wetu kauliw bila ya hatia tunaruhusa ya kulipiza kisasi.

Serikali iliendee suala hili kwa umakini mkubwa sana na endapo watajichanganya hapo ndio umwagji damu Tanzania utakuwa rasmi!
Padre Mushi alimwua nani hadi mnalipiza kisasi? Hivi uislamu unaruhusu haya? Amani ni yetu wote na wala sio ya imani fulani wala watu fulani tu.
 
Nawanukuu, kwenye mabano nafafanua ..."Viongozi wao waliomo ndani ya serikali (Maalim Seif Sharrif Hamad), na nje ya serikali (Jussa Ismail Ladhu)"...
 
Huu -----....hauna mahusiano yoyote na Uislamu..lugha iliyotumika, matumizi ya maneno, tamathali za semi vyoote vinaashiria kama waraka huu haukuandikwa na waislamu.

Kwamba hauna uhusiano na uislamu nakubaliana na wewe lakini kwamba haukuandikwa na waisalmu hapo umechemka. Uamsho ni kundi la kigaidi lenye maslahi ya kisiasa. Ingawa wanataka kuwaaminisha watu hivyo, kundi lao halina maslahi na uislamu, japo linaundwa na waislamu...
 
Kamwe uisilamu na haya mnayo yasema hayalingani
Jambo. Lililopo ni kua. Waisilamu. Wa zanzibar. Wanatumia jina. Lq. Allah kufanya maovu. Yao
 
Kama ingekuwa kweli unafikiri wangeandika waraka? Au ndio unajidanganya nafsi yako ili upate faraja.

Ngoja FBI waje wawaumbue kwamba padri alikuwa anatembea na mke wa mtu na ilikuwa mauaji ya kulipiza kisasi!
 
Nawanukuu, kwenye mabano nafafanua ..."Viongozi wao waliomo ndani ya serikali (Maalim Seif Sharrif Hamad), na nje ya serikali (Jussa Ismail Ladhu)"...

Umekosea mkuu Tuko; wa nje ni DR Wilbroad Slaa na Mbowe!
 
Back
Top Bottom