Waraka wa UAMSHO unaochochea machafuko Zanzibar

Waraka wa UAMSHO unaochochea machafuko Zanzibar

Abu-Musab

Senior Member
Joined
Oct 27, 2011
Posts
156
Reaction score
92
Ndugu hebu someni waraka huu uliosambazwa Zanzibar muone tunakoelekea

attachment.php

waraka.png
 
ngoja waje cia.m16.mosab.kgb. watusaidie cc tumezoe vya kujuana hao jamaa wana usongo na hawa magaidi wanao usumbua.ponda,illuga,farid. kimenuka
 
Kwa hali hii itakuwaje sasa? kuna Mama wa kizungu alininunulia eneo Zanzibar.. kweli hali imeshakuwa mbaya
 
shame -- shame -- shame

kuliacha hili ni laana kubwa

LAKINI TUJIULIZE, MUUNGANO NI KWA FAIDA YA NANI??
 
Usidhani akifa Ponda, Ilunga na Farid ndio kupona.

Kwanza wakifa hao ndio moto utawaka vibaya. Wakifa wao ni faida kwetu na kwao wenyewe pia,kitakachobaki ni mimi na wewe kumtafuta wakumtanguliza mwenzie. Ukiniua sina hasara! Vita ikifika mlangoni ndio utajua ubaya wake na wala sio kitu cha kushabikia, unashabikia kwakuwa unatazama tu kwenye tv ngoja siku hali ikufike hapo hutatamani tena na utaona bora uendelee kutazama kwenye TV.

Mateso na manyanyaso zaidi kwa jamii yetu waislam hatutavumilia. Amani ni tunu yetu sote basi na tuilinde. Walioua Zanzibar wanasababu zao binafsi kwakuwa Uislam haufundishi kuuwa watu bila ya hatia lakini kama mtu wetu kauliw bila ya hatia tunaruhusa ya kulipiza kisasi.

Serikali iliendee suala hili kwa umakini mkubwa sana na endapo watajichanganya hapo ndio umwagji damu Tanzania utakuwa rasmi!
 
Hawa Jamaa naanza kuwachukia sasa maana nimewavumilia sana kuwapenda, waraka gani huu sasa! Kwanini tusivunje muungano tuwaache na nchi yao?
 
Ni muda wa kumuomba Mungu kweli, viongozi wetu wanaipeleka wapi nchi hii? Hakuna vita iliyombaya na inayoangamiza vibaya kama vita ya udini. Kwa kweli waasisi wa Taifa hili wakifufuka leo na kuona hapa nchi ilipofikishwa wataomba wafe tena.

Kibaya zaidi hakuna kiongozi anayeweza kukemea uchochezi huu.
 
Sijui hawa jamaa wana ugonjwa gani? sasa eti wanaitisha mashuishu wa kimataifa ili waje kufanya nini?
 
Ni muda wa kumuomba Mungu kweli, viongozi wetu wanaipeleka wapi nchi hii? Hakuna vita iliyombaya na inayoangamiza vibaya kama vita ya udini. Kwa kweli waasisi wa Taifa hili wakifufuka leo na kuona hapa nchi ilipofikishwa wataomba wafe tena.

Kibaya zaidi hakuna kiongozi anayeweza kukemea uchochezi huu.
Mkuu

Sisi kama jamii tuna wajibu

kuachia kila kitu uongozi, kuna siku utakabidhi hadi mwandani wako
 
Laana! Huu waraka walioneshwa waamini kabla ya haya mauaji na Polisi wanajua!!!
 
Nadhani kuna kikolezo hapa! Si vyema kudafua mavitu na kuwabambikizia hawa!

Siamini huu waraka ni wa kweli. Kama ni kweli, basi tuna tatizo kubwa kuliko tunavyodhania. Maana ni juha tu anayeweza kutoa siri za mipango yake, kwamba amesomesha vijana huko Somalia na hata kutabiri Msiba Mkubwa! Lakini ni nani anajua?

Kama mtu anaweza akaamua kujilipua ili aende ahera akapate kuwa na mabikira 72, sembuse hili! Mungu Wangu, kwa nini umetuacha tuteswe na tuteseke hiki! Kwa nini umewanyima hekima hawa?
 
hivi uislamu unaruhusu kuua? ndivyo inavyotakiwa? sasa wakiua mwisho wa siku nao ipo siku watakufa tu wanapata faida gani?
 
Uislamu ni dini ya amani lakini wajinga wachache ndio wanao-utukanisha uislam uonekane ni usheitani,wasilamu msikubali hilo.
mhu! kwa hapa sina la kusema maana ninaishiwa nguvu japo nilikuwa najua kuwa ndivyo walivyo!
 
Usidhani akifa Ponda, Ilunga na Farid ndio kupona.

Kwanza wakifa hao ndio moto utawaka vibaya. Wakifa wao ni faida kwetu na kwao wenyewe pia,kitakachobaki ni mimi na wewe kumtafuta wakumtanguliza mwenzie. Ukiniua sina hasara! Vita ikifika mlangoni ndio utajua ubaya wake na wala sio kitu cha kushabikia, unashabikia kwakuwa unatazama tu kwenye tv ngoja siku hali ikufike hapo hutatamani tena na utaona bora uendelee kutazama kwenye TV.

Mateso na manyanyaso zaidi kwa jamii yetu waislam hatutavumilia. Amani ni tunu yetu sote basi na tuilinde. Walioua Zanzibar wanasababu zao binafsi kwakuwa Uislam haufundishi kuuwa watu bila ya hatia lakini kama mtu wetu kauliw bila ya hatia tunaruhusa ya kulipiza kisasi.

Serikali iliendee suala hili kwa umakini mkubwa sana na endapo watajichanganya hapo ndio umwagji damu Tanzania utakuwa rasmi!

Tatizo unajichanganya sana. Kule upo na huku upo unakuwa kama popo.
Jikite kwenye hoja, hapa watu wanachangia hilo bandiko hapo juu sasa wewe unachangia nini?

Kwamba Mateso na manyanyaso zaidi kwa jamii yetu waislam hatutavumilia.. Kwahiyo unamaanisha kuwa Kilichofanyika jana nk, nk, ni utekelezaji wa hii kauli yako inayoshasbihiana na Kauli nyingine ya Gaidi Ilunga anayelindwa na utawala wa Kikwete?

Waliouwa zanzibar wametoa huo waraka na wanakiri kutumia Uislamu wewe unakataa uu mwislamu kuliko waislamu hao wenzako? Wana sababu zao zipi hebu tushawishi tuweze nasi kung'amua.
 
ooh uislam ni dini ya amani.. waapi? au huyo allah wanayemtaja ni tofauti.
 
Hawa Jamaa naanza kuwachukia sasa maana nimewavumilia sana kuwapenda, waraka gani huu sasa! Kwanini tusivunje muungano tuwaache na nchi yao?
Kutatua kweli tatizo sio kuvunja Muungano bali kuweka serikali moja Tanzania moja, hawa ni waislamu haramu wanaofadhiliwa na Iran na makundi arabuni ndio kwenye waraka wanaoitwa vijana wanaosoma nje ni waarabu wasiotaka kusikia neno mapinduzi, tukiwarudishia kisiwa watadai na pwani ya Tanganyika yote na hiyo ipo kwenye ajenda yao! Hapa tukamilisha kazi serikali moja manake SMZ ndio mlezi wa maovu yote na wauwaji wanajulikana wote lakini subutu kukamatwa
 
Back
Top Bottom