FDR.Jr
JF-Expert Member
- Jun 17, 2008
- 1,359
- 353
Pascal mayala ni mtanzania mwenzetu, sikupendezwa na kitendo mdau mmoja kumuelezea eti muuza sura kila ifikapo katikati ya mwaka !! Mwingine kule kilwa rd! Nimelazimika kulitaja jina direct ili kuondoa unafiki hapa ndani. Nimekukubali kiongozi,ninakuamini sana tangu zama za kitimoto tv program ila uvumi huu ulinisononesha sana.. Kibaya zaidi kuhusishwa kwako na huyu mjinga mataka, poleni sana wewe na familia yako na tunashukuru sana kwa clearance hii mkuu. Ubarikiwe sana