Mtikila japo ana ponts, ila sio mzima!. Ibara hiyo inazungumzia kuanza kampeni kabla ya muda kwa mujibu wa ratiba za NEC, sheria hiyo haizungumzii kampeni za kuteuliwa ndani ya vyama!.KATIKA UCHAGUZI MKUU HUU TUSIRUHUSU MAFISADI WALICHEZEE TAIFA Edward Lowassa ni balaa kwa Taifa! Democratic Party (DP) inatarajia kufikisha Mahakamani chama cha CCM pamoja na wanachama wake sita, Edward Lowassa na wengine, kwa mujibu wa Ibara ya 26 ya Katiba ya Jamhuri ya Tanzania, kwa kosa kubwa sana la kuvunja Katiba na Sheria za Nchi kwa kuanza kampeni ya Uchaguzi kabla ya wakati unaopasa kwa mujibu wa Sheria.
Source: Mtikila Mwenyewe :0766 053081 View attachment 266356
Kweli mti wenye matunda ndio unarushiwa mawe,mbona Lowassa mnamsema sana!,wivu ka 'kike!,mwacheni mzee wa watu kama anatoboa kuwa rais shauri zenu!,badala ya kuongea nini mtafanya mmekaa Lowasa Lowasa!.
Kwa nini nguvu kubwa hivi inatumika kwa CCM kumchafua Lowasa?
Kwa nini Low as a pekee? Wangapi walifanya mikutano hawasemwi?
Hapa wenye akili tunazidi kuwa na imani nae...
Mkimkata mmemuonea..CCM hakuna msafi...hayupo
Rostam ndo Mjanja wa Mtikila alimpa Rushwa ya 3 Million akamsainisha kama vile ni malipo halali
Mtikila yuko kazini hapo. Anatafuta riziki ya watoto.
Kumbe taarifa za zitto kabwe kuchukua hela kwa Seth ni za kweli, zilizokuwa million kumi. Na zilifatwa a wakili wake Alberto msandoKama Singh seth slivyomsainisha zitto alipoenda kuomba sh mill 6 kwa ajili ya matibabu ya marehemu mama yake