Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,484
- 34,223
kabla hajahamia huku kwetu chadema, ulikuwa na akili sanaSomeni sheria ya gharama za uchaguzi ya mwaka 2010 mjue sheria hiyo inaanza kufanya kazi kuanzia hatua gani.
Tuliwatahadhirisha hapa tukapuuzwa.Huyo Lowassa hata washauri hana.Waliochukua form kimya kimya bila mbwembwe hawakuwa wajinga walisoma sheria na wakaelewa nini wanapaswa kufanya na nini hakitakiwa kufanywa kwa mujibu wa sheria.
Sent using Jamii Forums mobile app