Waraka wa Mchungaji Mtikila kwa Edward Lowassa

Waraka wa Mchungaji Mtikila kwa Edward Lowassa

siasa tamu sana

kwa hyo ni lowassa na wenzake????
hahaha si angewataja majina kwamba ni membe makamba

huku nikuogopa mafuriko
 
ikhlas
Nikwambie tu,sheria ya gharama za uchaguzi inakataza kuandalia watu vitu kama burudani,kutoa ahadi n.k ili tu wakupitishe(uwe nominated kwenye na chama) na vitendo hivyo kwenye sheria vimetajwa kama "prohibited practices".

Tukija kwa Lowassa,pale Arusha wakati anatangaza nia aliandaa burudani ya muziki(kulikuwa na wasanii wa muziki) tulimuona akicheza pamoja na wafuasi wake na kosa kubwa walikuwepo wabunge na mtu kama Kingunge ambao wote ni wajumbe wa vikao vya uteuzi vya chama hivyo kitendo cha kuwaandalia shughuli kama hiyo na pengine hata kuwasafirisha kama aliwagharamia, tafsiri yake ni kama kuwapa rushwa na vitendo hivyo ni miongoni wa vitendo vinavyotambulika kama prohibited practices kwa mujibu wa sheria ya gharama za uchaguzi.
 
Last edited by a moderator:
nasema neno moja tu watanzania wanamhitaji lowasa kwa sasa haya mawaraka yenu ya kipuuzi endeleeni nayo mpaka mtakubali mwishoni.

4 u movement Meru (friend of Lowasa).
 
KING COBRA Hongera Mchg kwa taarifa hii isiyo na chembe ya uongo!!
Watanzania tuzinduke tusipelekwe kama misukule shauri ya njaa, tuwe makini, taifa linahitaji Ukombozi!!
 
Last edited by a moderator:
Pamoja na kuwa ni mpinga Lowassa lakini aikubaliani na uwasiliahaji na alichokisema Mtilila!

Huyu kasha pata mgao ltk kambi pinzani ya Lowassa,
 
KING COBRA

HILI LIBABU LIJASIRIA SIASA LIMESHAHONGWA MIL 3 NA Q.G/

UGONJWA WAKE UNAFAHAMIKA NI MPENDA HONGO AS A HIRED SPEAKER huwa hasumbui same asTARUMBETA
 
Last edited by a moderator:
HUYU NI SAWASAW NA VUVUZELA,TARUMBETA,LOUD SPEAKER MJASIRIASIASA,MJASIRIA TUMBO,AKIDAKISHWA CHOCHOTE ANA ZUNGUMZA LOLOTE

to be ignored,dumped and trashed away!!!!
 
tuseme ukweli lowasa ana mapungufu ila katika hili mtikila katumwa .

nkongo ndasu / binadamu hatukamiliki kwa 100% ,zaidi ya hapo sasa labda uwe kama manabii ndani ya vitabu vitakatifu nasi hawa WA makanisa yetu!!
 
Last edited by a moderator:
Ni dhahiri, Lowasa hawezi kuwa Rais wa nchi hii. Anajidanganya. Wapambe wake nao wanajichumia matumbo yao.
 
Lowasa is Mr. Dirty. Atapewa ikulu ya wapi?
 
Huu ndio msumari wa mwisho kwenye jeneza la safari ya matumaini ya Lowasa.....
Hapo hatoki maana shuzi limempata mjambaji.....
 
Hii sio akili ya mtikila bali katumiwa kama kawaida yake na wapinzani wa Lowassa.Abanwe awataje wote waliomtuma tumechoka nae kila wakati anatumiwa hasa anapokuwa na njaa....
 
Back
Top Bottom