Waraka wa Mchungaji Mtikila kwa Edward Lowassa

Waraka wa Mchungaji Mtikila kwa Edward Lowassa

Kwa nini nguvu kubwa hivi inatumika kwa CCM kumchafua Lowasa?

Kwa nini Low as a pekee? Wangapi walifanya mikutano hawasemwi?

Hapa wenye akili tunazidi kuwa na imani nae...
Mkimkata mmemuonea..CCM hakuna msafi...hayupo
 
Hilo la kukiuka sheria ya gharama za uchaguzi hata sisi vilaza wa sheria tulishaliona na kuliongelea hapa JF ila bahati mbaya sisi wengine si watu maarufu kama alivyo Mtikila.Na si lowassa tu wako wengi tu waliokiuka hiyo sheria Membe akiwa mmoja wao.
Yaani asipodakwa kwa gharama za uchaguzi atadakwa tu kwa kuanza kampeni mapema. Ushahidi ni CCM wenyewe.

Huyu CCM wakimpitisha tu basi UKAWA wanaibuka na ushindi wa mezani kwa kumuwekea pingamizi, anawekwa benchi na NEC kisha uchaguzi unakua kukamilisha formality tu.
 
Mtikila alikuwa Mkombozi zaman sana. siku hizi amekuwa Mjasiliamali wa Siasa. toka kipindi kile cha kikwete ambapo aliitwa akapewa Milion 200 ili anyamaze asimseme kikwete vibaya. huwa ndo style yake ya maisha... anaishi kwa style hii. safari Hii Membe amemwezesha. Membe alipoona Makongoro hana uwezo mzuri wa kuongea na pia ni CCM Mwenzao hivyo anabanwa na sheria ndani ya Chama ndipo aliamua kumtafuta Mtikila ili afanye hiyo kazi. jana walikuwa na kikao na alimpatia zaidi ya Mil 200 ili afanye kazi ya kuchafua Lowassa . Membe anaona tatizo katika uchaguzi huu ni Lowassa tu. Mimi nipo tayari kuchagua upinzani lakini si Rais awe Membe.huyu hafai kuwa hata Mjumbe wa Nyumba Kumi.

so sisi wenye akili tulikuwa tunajua mapema tu kuw ahizi sarakasi zinakuja na wengi walishasema toka leo asubuhi kuwa Mtikila anakuja na lake jambo baada ya kupata mshiko. namsikitikia sana mtikila kwa maneno yake na kuamua kuwa chombo kisichofaa. alikuwa wapi siku zote? muulize mtikila anafanya kazi gani au ana miradi gani? anaishi kisiasa siasa tu na chama chake cha mfukoni. angekuwa angalau amerud miaka ile anapigania serikali ya Tanganyika lakini si sasa anatumika na mtu kama Membe. Mimi Membe hata anipe Bill1000 siwezi mpigia Kampeni awe Rais wa Nchi hii.

Wakati Membe anampa Mtikila hiyo milioni 200 ulikuwepo? Kama ulikuwepo we ukapewa kiasi gani? Role yako pale ilikua ni nini, shahidi,mmwanasheria au?
 
Uhuru wa kenya alituhumiwa kwa mauaji usiyothibitishwa mwishowe alichaguliwa wananchi ndio wana maamuzi ya mwisho.
 
Mtikila ------ anatumika na Team Membe,wakati ule anasema Rostam fisadi aliumbuliwa kwa kuonyeshwa sehemu alisainishwa hela kwa sababu ya njaa zake za kuomba omba
 
Mchumia tumbo mtikila,amenikumbusha kichapo alichopata tarime
 
HEKO MTIKILA tuko pamoja tunawaomba viongozi wrote Wa upinzani mshirikiane Na mtikila kuishikisha ADABU ccm Na has a LOWASSA
 
Nyie hamwelei, Mtikila ndio zake, sasa hivi kaishiwa fedha, anatafuta fedha..kaona akipiga kelele kupitia jina la Lowassa atapata fedha... Mtikila akiwa na njaa ni mkali kweli....

Alileta njaa na umbea wake kuhusu kuuawa kwa Wangwe, alipigwa jiwe la uso, akapata akili, sasa naona kajisahau tena...!!!

Mtikila anatafuta fedha tu, mbona akina Membe, January, Mwigulu, Wasira, woote wagombea urais CCM wametumia pesa, huwezi kugombea Urais utumie upepo...ni uchizi tu... Mtikila ni chizi long ago...!!!
 
Hii imesukwa kiustadi sana na CCM na TISS...kwani muda wa kampeni ni lini? una uhusiano gani na masuala ya kawaida ya siasa?

Tume ilikuwa haijatoa Ratiba ya kampeni kwa hiyo...hilo halizuii shughuli za siasa kuendelea nchini.
 
KING COBRA

Akhsante MTIKILA Umemaliza Kila Kitu Na Binafsi NIMEKUELEWA 100%. Kazi Ipo Na Kazi Kwenu Wajumbe Wote Wa CCM. Fuateni Ya MTIKILA.
 
Last edited by a moderator:
Hii imesukwa kiustadi sana na CCM na TISS...kwani muda wa kampeni ni lini? una uhusiano gani na masuala ya kawaida ya siasa?

Tume ilikuwa haijatoa Ratiba ya kampeni kwa hiyo...hilo halizuii shughuli za siasa kuendelea nchini.

Kampeni zina muda maalum na muda Huo hutangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi
 
Hii imesukwa kiustadi sana na CCM na TISS...kwani muda wa kampeni ni lini? una uhusiano gani na masuala ya kawaida ya siasa?

Tume ilikuwa haijatoa Ratiba ya kampeni kwa hiyo...hilo halizuii shughuli za siasa kuendelea nchini.
Tatizo watu hamsomi sheria na kama sikosei nilipoleta uzi hapa nikasema sheria inakiukwa wewe ulikuwa ni mmoja wa wale walionipinga.

Kwa taarifa yako,sheria ya gharama za uchaguzi inaanza kufanya kazi kuanzia hatua ya nomination kwenye vyama vya siasa.

Watanzania sisi ni wavivu wa kusoma!
 
Mtikila alikuwa Mkombozi zaman sana. siku hizi amekuwa Mjasiliamali wa Siasa. toka kipindi kile cha kikwete ambapo aliitwa akapewa Milion 200 ili anyamaze asimseme kikwete vibaya. huwa ndo style yake ya maisha... anaishi kwa style hii. safari Hii Membe amemwezesha. Membe alipoona Makongoro hana uwezo mzuri wa kuongea na pia ni CCM Mwenzao hivyo anabanwa na sheria ndani ya Chama ndipo aliamua kumtafuta Mtikila ili afanye hiyo kazi. jana walikuwa na kikao na alimpatia zaidi ya Mil 200 ili afanye kazi ya kuchafua Lowassa . Membe anaona tatizo katika uchaguzi huu ni Lowassa tu. Mimi nipo tayari kuchagua upinzani lakini si Rais awe Membe.huyu hafai kuwa hata Mjumbe wa Nyumba Kumi.

so sisi wenye akili tulikuwa tunajua mapema tu kuw ahizi sarakasi zinakuja na wengi walishasema toka leo asubuhi kuwa Mtikila anakuja na lake jambo baada ya kupata mshiko. namsikitikia sana mtikila kwa maneno yake na kuamua kuwa chombo kisichofaa. alikuwa wapi siku zote? muulize mtikila anafanya kazi gani au ana miradi gani? anaishi kisiasa siasa tu na chama chake cha mfukoni. angekuwa angalau amerud miaka ile anapigania serikali ya Tanganyika lakini si sasa anatumika na mtu kama Membe. Mimi Membe hata anipe Bill1000 siwezi mpigia Kampeni awe Rais wa Nchi hii.

Umelipwa Tsh Ngapi Na Lowassa? Unasema Kuwa Ukipewa Hata Billion 100 Na Lowassa Hutompigia Kampeni Je Katika Akaunti Yako Tu Una Hata Tsh 30,000/? Acha Uongo Na Unafiki Watanzania Wote Tuna Njaa Sema Tu Michongo Na Mirija Ya Mitonyo Imetupitia Kando.
 
lowassa anaogopwa kama -----,hamlali hamli,wala hamnyi lowasa kawakamata pabaya
 
Kampeni zina muda maalum na muda Huo hutangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi
Someni sheria ya gharama za uchaguzi ya mwaka 2010 mjue sheria hiyo inaanza kufanya kazi kuanzia hatua gani.

Tuliwatahadhirisha hapa tukapuuzwa.Huyo Lowassa hata washauri hana.Waliochukua form kimya kimya bila mbwembwe hawakuwa wajinga walisoma sheria na wakaelewa nini wanapaswa kufanya na nini hakitakiwa kufanywa kwa mujibu wa sheria.
 
Back
Top Bottom