Baada ya masuala ya Jumuia asbh na tafakari ya waraka wa TEC. Yako mengi mazito, tutajadili moja moja kila fursa inapopatikana. Nimeona SUALA LA MANYANYASO KWA WAMASAI YAMEPEWA UZITO. angali hoja za utangulizi na. 9 ...inasema
9. Kupuuza sauti ya wananchi juu ya uwekezaji usiosikia sauti yao. kumewaletea pia wananchi wa maeneo wanayoishi mateso, kama inavyoonekana kwa jamii za Wamasai wa Loliondo, ambao haki zao za kiutamaduni na kijamii zimekiukwa. Uwekezaji umepewa kipaumbele kisicho na tija na raia wa Kimasai wameachwa wakiteseka
Nimewaza kwanini wamasai kuhamishwa eneo lao la asili ? Lile eneo tunamwachia nani? Utu wao umekuwa dhalili kiasi gani? Mfano kama ni suala la kupisha maeneo ya watalii mbona hawa hawahamishwi
1. Wapogoro na waluguru, wandengereko na wamatumbi walio pembezoni ya Mikumi na Seluo
2. Wananchi wa Zanzibar, Bagamoyo na kilwa ili wasiharibu maeneo ya utalii ya kihistoria
3. Wananchi wanaomaliza miti kwa mikaa mikoani kote maana wanaharibu mazingira ya nchi?
Kwanini wamasai? Kanisa sasa limewasemea. Tumsifu Yesu Kristu
9. Kupuuza sauti ya wananchi juu ya uwekezaji usiosikia sauti yao. kumewaletea pia wananchi wa maeneo wanayoishi mateso, kama inavyoonekana kwa jamii za Wamasai wa Loliondo, ambao haki zao za kiutamaduni na kijamii zimekiukwa. Uwekezaji umepewa kipaumbele kisicho na tija na raia wa Kimasai wameachwa wakiteseka
Nimewaza kwanini wamasai kuhamishwa eneo lao la asili ? Lile eneo tunamwachia nani? Utu wao umekuwa dhalili kiasi gani? Mfano kama ni suala la kupisha maeneo ya watalii mbona hawa hawahamishwi
1. Wapogoro na waluguru, wandengereko na wamatumbi walio pembezoni ya Mikumi na Seluo
2. Wananchi wa Zanzibar, Bagamoyo na kilwa ili wasiharibu maeneo ya utalii ya kihistoria
3. Wananchi wanaomaliza miti kwa mikaa mikoani kote maana wanaharibu mazingira ya nchi?
Kwanini wamasai? Kanisa sasa limewasemea. Tumsifu Yesu Kristu