Waraka wa maaskofu Katoliki TEC unazungumzia pia ajira kwa vijana. Vijana oneni upendo wa wapendwa hawa kwenu

The lost

JF-Expert Member
Jul 3, 2017
2,695
8,209
Kwa muda mrefu vijana wamekuwa wakiwa, matatizo yao hakuna taasisi wala kiongozi anayaadress kwa namna ya kuwakomboa. Wazee wa mkoa wa Dar Es Salaam wamekuwa na desturi ya kukutana na rais lakini hawajawahi kulisemea suala la ajira kwa vijana.

TEC katika waraka wao mbali na kuishauri serikali juu ya uwekezaji wa bandari wameishauri pia kuona umuhimu wa kutoa ajira za kutosha kwa vijana. Katika mambo watanzania hasa wanasiasa na wenye elimu ndogo ni kutokuona mambo ambayo viongozi hawa kanisa wameishauri serikali.

Kwa maoni yangu waraka wa TEC ni sauti ya MUNGU kwa watawala kusoma nyakati na kushughurikia kero za wananchi hasa suala la uwekezaji bandarini na tatizo la ajira kwa vijana kwani kuyafumbia macho masuala hayo kunaweza kutuletea balaa hapo baadaye.

The lost
 
Kwa muda mrefu vijana wamekuwa wakiwa, matatizo yao hakuna taasisi wala kiongozi anayaadress kwa namna ya kuwakomboa. Wazee wa mkoa wa Dar Es Salaam wamekuwa na desturi ya kukutana na rais lakini hawajawahi kulisemea suala la ajira kwa vijana. TEC katika waraka wao mbali na kuishauri serikali juu ya uwekezaji wa bandari wameishauri pia kuona umuhimu wa kutoa ajira za kutosha kwa vijana. Katika mambo watanzania hasa wanasiasa na wenye elimu ndogo ni kutokuona mambo ambayo viongozi hawa kanisa wameishauri serikali. Kwa maoni yangu waraka wa TEC ni sauti ya MUNGU kwa watawala kusoma nyakati na kushughurikia kero za wananchi hasa suala la uwekezaji bandarini na tatizo la ajira kwa vijana kwani kuyafumbia macho masuala hayo kunaweza kutuletea balaa hapo baadaye.
The lost

Waanze kutoa wao ajira, makanisani, zile pesa walizokula za Escrow zinaweza kuanzisha mradi
 
Kwa muda mrefu vijana wamekuwa wakiwa, matatizo yao hakuna taasisi wala kiongozi anayaadress kwa namna ya kuwakomboa. Wazee wa mkoa wa Dar Es Salaam wamekuwa na desturi ya kukutana na rais lakini hawajawahi kulisemea suala la ajira kwa vijana.

TEC katika waraka wao mbali na kuishauri serikali juu ya uwekezaji wa bandari wameishauri pia kuona umuhimu wa kutoa ajira za kutosha kwa vijana. Katika mambo watanzania hasa wanasiasa na wenye elimu ndogo ni kutokuona mambo ambayo viongozi hawa kanisa wameishauri serikali.

Kwa maoni yangu waraka wa TEC ni sauti ya MUNGU kwa watawala kusoma nyakati na kushughurikia kero za wananchi hasa suala la uwekezaji bandarini na tatizo la ajira kwa vijana kwani kuyafumbia macho masuala hayo kunaweza kutuletea balaa hapo baadaye.

The lost
Umetaja na mgogoro wa Loliondo na ufisadi kwenye madini
 
20230821_133253.jpg
 
Waanze kutoa wao ajira, makanisani, zile pesa walizokula za Escrow zinaweza kuanzisha mradi
Kanisa limeajiri sana watu wengi pengine kuliko hata serikali yako.
wacha kulipakazia kanisa , sasa linapiga kelele za nini na limeajiri vijana wengi ??
Kanisa wajibu wake mkuu ni kuchunga,kuonya,kushauri,kufundisha,kuelimisha,kutoa huduma mbalimbali za jamii na kuombea watu ili baadae wafike mbinguni kwa baba.
 
Kanisa limeajiri sana watu wengi pengine kuliko hata serikali yako.

Kanisa wajibu wake mkuu ni kuchunga,kuonya,kushauri,kufundisha,kuelimisha,kutoa huduma mbalimbali za jamii na kuombea watu ili baadae wafike mbinguni kwa baba.
Ndivyo mnavyopigwa changa la macho ??

Kama kanisa linaajiri vijana wengi , linapiga kelele za nini kuhusu ajira ?

Kumbe kanisa ni jobb centre 😃😃😃
 
Waanze kutoa wao ajira, makanisani, zile pesa walizokula za Escrow zinaweza kuanzisha mradi
Kanisa limeajiri sana watu wengi pengine kuliko hata serikali yako.
wacha kulipakazia kanisa , sasa linapiga kelele za nini na limeajiri vijana wengi ??
Kanisa wajibu wake mkuu ni kuchunga,kuonya,kushauri,kufundisha,kuelimisha,kutoa huduma mbalimbali za jamii na kuombea watu ili baadae wafike mbinguni kwa baba.
Ndivyo mnavyopigwa changa la macho ??

Kama kanisa linaajiri vijana wengi , linapiga kelele za nini kuhusu ajira ?

Kumbe kanisa ni jobb centre 😃😃😃
 
Kwa muda mrefu vijana wamekuwa wakiwa, matatizo yao hakuna taasisi wala kiongozi anayaadress kwa namna ya kuwakomboa. Wazee wa mkoa wa Dar Es Salaam wamekuwa na desturi ya kukutana na rais lakini hawajawahi kulisemea suala la ajira kwa vijana.

TEC katika waraka wao mbali na kuishauri serikali juu ya uwekezaji wa bandari wameishauri pia kuona umuhimu wa kutoa ajira za kutosha kwa vijana. Katika mambo watanzania hasa wanasiasa na wenye elimu ndogo ni kutokuona mambo ambayo viongozi hawa kanisa wameishauri serikali.

Kwa maoni yangu waraka wa TEC ni sauti ya MUNGU kwa watawala kusoma nyakati na kushughurikia kero za wananchi hasa suala la uwekezaji bandarini na tatizo la ajira kwa vijana kwani kuyafumbia macho masuala hayo kunaweza kutuletea balaa hapo baadaye.

The lost
BAKWATA wao hata hawajausoma waraka wamelipuka tu sababu ya udini, TEC wao ni wasomi watakaa kimya hawana muda wa kipumbavu kujibu wajinga
 
Back
Top Bottom