Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 282
Daaaah, yaaani ikulu imeshuka hadhiii!!!!
ROMA Mkatoliki kapige chata bana la CUF!!!!!
ROMA Mkatoliki kapige chata bana la CUF!!!!!
huu sasa ni upuuzi; kama kweli walichoandika Ikulu ni cha kweli kutoa tamko ni kuthibitisha hofu yetu sisi wengine. Kuna watu hawana kazi isipokuwa kufikiria kila siku watoe tamko gani.
Ina maana kweli hakuna mtu huko Ikulu ambaye angewashauri NINI hasa cha kufanya badala ya kutoa tamko?
Mama Salma ana cheo gani kitaifa?
,Bwana Kabambara anatumia jina la Mheshimiwa Salma Kikwete, Mke wa Rais waJamhuri ya Muungano wa Tanzania na Nembo ya Taifa kuonyesha kuwa Mheshimiwa Mama Kikwete ndiye mchangishaji na Mgeni Rasmi kwenye matembezi ya shughuli yakuchangia maendeleo ya shule yake.Aidha, amekuwa anadai kuwa Mama Kikwete ndiye atakuwa Mgeni Rasmi kwenye shughuli hiyo.
Kupewa taarifa kuepuka kutapeliwa kwa umma JF inalalamika! Shibuda mtamfukuza lini?
Ina maana ikulu imeshidwa kwenda kumkamata mtu mmoja hadi watoe tamko? nina wasi wasi hii shule ni yao wanaipa promo...
TAARIFA KUTOKA IKULU
Kumekuwepo na wimbi la vijana wasio waadilifu hasa kutoka jukwaa la MMU(JAMII FORUMS) wanaojinadi kumtokea na kukubaliwa mtoto wa mkuu mheshimiwa mwa#asha.tunapenda kuuarifu umma kuwa taarifa hizi si za kweli kwani mheshimiwa mwa#asha ni mdogo na anaendelea na masomo na kamwe hawezi kuwakubali warugaruga wa jf,kwanza wamezidi ujuaji sana.
IMETOLEWA NA WAZEE WA IT
MAGOGONI.
huu sasa ni upuuzi; kama kweli walichoandika Ikulu ni cha kweli kutoa tamko ni kuthibitisha hofu yetu sisi wengine. Kuna watu hawana kazi isipokuwa kufikiria kila siku watoe tamko gani. Ina maana kweli hakuna mtu huko Ikulu ambaye angewashauri NINI hasa cha kufanya badala ya kutoa tamko?
huu sasa ni upuuzi; kama kweli walichoandika Ikulu ni cha kweli kutoa tamko ni kuthibitisha hofu yetu sisi wengine. Kuna watu hawana kazi isipokuwa kufikiria kila siku watoe tamko gani. Ina maana kweli hakuna mtu huko Ikulu ambaye angewashauri NINI hasa cha kufanya badala ya kutoa tamko?
salma kikwete ni mke wa Rais a.k.a First Lady so mtu yoyote binafsi akitumia jina la first lady kwa shuhuli zake binafasi bila kupata idhini kwa either mama mwenyewe au ofisi ya mke wa rais then ikulu ina haki ya kutoa hilo tamko... mitchelle obama angefanyiwa hivi white house inge release a statement coz first lady ni mke wa Rais and anakua protected na usalama wa taifa na ikulu in general
Hivi kazi ya Ikulu ni kutoa mi waraka ya hovyo kila siku?