@Mzee Mwanakijiji, kama walishindwa kuchukua hatua stahiki wka watu walioiba kutoka kwenye hazina ya Taiofa, unadhani wanaweza kupoteza muda wao kuchukua hatua kwa 'petty thief?'huu sasa ni upuuzi; kama kweli walichoandika Ikulu ni cha kweli kutoa tamko ni kuthibitisha hofu yetu sisi wengine. Kuna watu hawana kazi isipokuwa kufikiria kila siku watoe tamko gani. Ina maana kweli hakuna mtu huko Ikulu ambaye angewashauri NINI hasa cha kufanya badala ya kutoa tamko?
huyu jamaa angekuwa mhindi au mzungu wasingechonga hivi,shule ingekuwa masaki.obay au mjini kati asingepata shida zote hizi,au kuna watu walitaka ndo wacoordinate ili waibe michango wamekwama. Kila mtu nchi hii ana haki kwenda Ikulu na kuomba presenceya Rais, 1st Lady, PM etc.Nadhani huyu jamaa amempendelea sana Mama Kikwete, amempa fursa ya kufanya yale haswa anayotakiwa kufanya. Wakurupukaji tu ndiyo wameshindwa kuliweka sawa.
Kwani wameshindwa nini kuhakikisha kuwa fedha zikikusanywa zinasimamiwa vizuri ili kuinua elimu ya watoto kwenye hiyo shule?
Wakati mwingine unaweza kuletewa fursa nzuri ya kuwa Raia mwema ukajiona uko kwenye nafasi ya kustahili heshima sana ukaikataa au kuichafua ile nafasi. Inawezekana sana kwa jinsi ninavyoona, kuna mtu alimuahidi huyu jamaa kwamba atamsaidia kwenda kufikisha ujumbe wake kwa Mama, lakini jamaa akaharakisha kabla hata habari hazijamfikia.
Mtu mwenye busara kukataa kusaidia shue ya watoto wadogo, labda kuna jambo tusilolifahamu hapo!
huu sasa ni upuuzi; kama kweli walichoandika Ikulu ni cha kweli kutoa tamko ni kuthibitisha hofu yetu sisi wengine. Kuna watu hawana kazi isipokuwa kufikiria kila siku watoe tamko gani. Ina maana kweli hakuna mtu huko Ikulu ambaye angewashauri NINI hasa cha kufanya badala ya kutoa tamko?
huu sasa ni upuuzi; kama kweli walichoandika Ikulu ni cha kweli kutoa tamko ni kuthibitisha hofu yetu sisi wengine. Kuna watu hawana kazi isipokuwa kufikiria kila siku watoe tamko gani. Ina maana kweli hakuna mtu huko Ikulu ambaye angewashauri NINI hasa cha kufanya badala ya kutoa tamko?
Kumbe madikteta mpo wengi? kwani Ikulu kazi yake ni kukamata watu?
Si sahihi...Hivi wake za viongozi nao ni viongozi wa umma? Mama Salma Kikwete si kiongozi wa kitaifa ila anaweza kuwa kiongozi wa familia yake na si vinginevyo.
Kama hii taarifa ni ya kweli basi kuna watu pale Ikulu hawana kazi za kufanya na pili Ikulu hiyo haina washauri kwa maana ya watendaji wanaojua nini cha kufanya. Kama kulikuwa na ulazima wa kutoa waraka huo basi ungetolewa kupitia asasi yake WAMA na si Ikulu!
Kielelezo kingine kwamba Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu hawana kazi au kama wanazo basi hawajui majukumu yao. Hili ni tamko la pili lisilo na mashiko!
1. Mnakiri kwamba anachofanya huyo jamaa ni kosa la Jinai, yet mnaishia kutoa tamko!
2. Mnatumia ofisi moja kukanusha taarifa zinazohusu mambo binafsi ya mtu anayefanya kazi ofisi nyingine. Kwani WAMA hawana PR Ofisa!?
Mama Salma ana cheo gani kitaifa?
Hata mimi nimejiuliza hili, kwa maana mtu kuitwa 'Mheshimiwa' Tanzania inabidi awe na wadhfa fulani, kwa mfano ubunge.
Mama Salma ana cheo gani kitaifa?