Simba zee 33
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 1,374
- 1,558
Kama kweli waliuaKama ni wao kweli walimuua yule kijana wasitegemee huruma yoyote, muda wao utafika na wao watakula kifungo cha maisha, siasa si sababu ya kuua wengine.
Hakuna anayejua kama walifanya mauaji au la
Serikali yetu inayo mahakama wapelekwe kortini ili sheria itumike
Lakini kama wamebambikiziea kesi na kuteswa Bure ujue hata wewe yatakukuta