Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
Mimi naungana na Mh Kingunge kupinga WARAKA huo wa wawakatoliki. Tunafahamu wazi kuwa waraka huo una baraka zote za Pengo, baraza la maaskofu, balozi wa Vatican na hatimaye Papa.
sasa kama hilo baraza lina hamu ya kufanya hao basi wavue majoho yao na kuingia kugombea uongozi wa kisiasa kama alivyofanya Dr Slaa.
HONGERA SANA KINGUNGE
sasa kama hilo baraza lina hamu ya kufanya hao basi wavue majoho yao na kuingia kugombea uongozi wa kisiasa kama alivyofanya Dr Slaa.
HONGERA SANA KINGUNGE