Samia atosha tukutane2030
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 17,549
- 49,425
Hivi kama serikali ingetaka kutumia ubabe wake kufanya haraka kesi ya LISSU kisha kumtia hatiani na kumnyonga nani angeweza kuzuia?
Huyu Rais Samia ni Rais bora na mwenye busara . Ndiye aliyemrudisha LISSU baada ya kifo cha Magufuli.
LISSU alikimbia nchini mara tu baada ya uchaguzi pindi alipoambiwa kuwa Magufuli alimweka kiporo akisubiri uchaguzi uishe amnyofoe roho yake. Akatoroka kwa msaada wa ubalozi wa Ujerumani.
Karudishwa Tanzania kafutiwa kesi zote za mchongo. Samia alimwita Ikulu wajadili jinsi ya kulivusha Taifa na mambo mengine.
Samia alifanya juu chini kuhakikisha wapinzani nao wanapata haki zao zote muhimu.
Cha ajabu wapinzani wakataka kulipa ushenzi waliofanyiwa na Rais Magufuli kwa serikali ya Samia.
Yaani machungu aliyowaletea Magufuli wao wamlipe Samia.
Wapinzani hawa hawana shukrani, hawa akina Mwabukusi kipindi cha Magufuli walikuwa kimya kama bata leo hii wanajifanya wajuaji.
Acheni kesi ya LISSU iendeshwe kwa umakini.
Wale wa uamsho walikaa jela miaka zaidi ya kumi wala hamkupiga kelele wanafiki wakubwa nyie .
Kesi ya uhaini, mauaji au ugaidi ikitolewa hukumu haraka mtu akanyongwa au akaachiwa na kutoroka nchi halafu baadaye jopo jingine wakibaini hukumu ilikuwa na makosa mtasolve vipi?
Huko mahabusu kuna watu wengi tu , wengine wana miaka zaidi ya mitano kesi zao hazijatolewa hukumu mbona mpo kimya?
Ingieni barabarani hata leo shinikizeni LISSU aachiwe muone nguvu ya serikali.
Mwaka jana mliwadanganya vijana kuwa serikali ina polisi wachache lakini leo kila siku mnalia lia hovyo polisi, polisi, polisi.
Huyu Rais Samia ni Rais bora na mwenye busara . Ndiye aliyemrudisha LISSU baada ya kifo cha Magufuli.
LISSU alikimbia nchini mara tu baada ya uchaguzi pindi alipoambiwa kuwa Magufuli alimweka kiporo akisubiri uchaguzi uishe amnyofoe roho yake. Akatoroka kwa msaada wa ubalozi wa Ujerumani.
Karudishwa Tanzania kafutiwa kesi zote za mchongo. Samia alimwita Ikulu wajadili jinsi ya kulivusha Taifa na mambo mengine.
Samia alifanya juu chini kuhakikisha wapinzani nao wanapata haki zao zote muhimu.
Cha ajabu wapinzani wakataka kulipa ushenzi waliofanyiwa na Rais Magufuli kwa serikali ya Samia.
Yaani machungu aliyowaletea Magufuli wao wamlipe Samia.
Wapinzani hawa hawana shukrani, hawa akina Mwabukusi kipindi cha Magufuli walikuwa kimya kama bata leo hii wanajifanya wajuaji.
Acheni kesi ya LISSU iendeshwe kwa umakini.
Wale wa uamsho walikaa jela miaka zaidi ya kumi wala hamkupiga kelele wanafiki wakubwa nyie .
Kesi ya uhaini, mauaji au ugaidi ikitolewa hukumu haraka mtu akanyongwa au akaachiwa na kutoroka nchi halafu baadaye jopo jingine wakibaini hukumu ilikuwa na makosa mtasolve vipi?
Huko mahabusu kuna watu wengi tu , wengine wana miaka zaidi ya mitano kesi zao hazijatolewa hukumu mbona mpo kimya?
Ingieni barabarani hata leo shinikizeni LISSU aachiwe muone nguvu ya serikali.
Mwaka jana mliwadanganya vijana kuwa serikali ina polisi wachache lakini leo kila siku mnalia lia hovyo polisi, polisi, polisi.