rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,442
nashangazwa sana na kitendo cha wapinzani wengi kutokubali kukosolewa
kitendo cha waziri sita kukosowa wapinzani na kuwaita wanafiki nakubali kabisa,
nafikiri sita ni mtu mzima na hawezi kukurupuka na kutoa maneno kama hayo bungeni,
samweli sita amekaa na kutafakari vitendo vinavyofanywa na baadhi ya wapinzani na kuona ni unafiki,
mfano mzuri ni huu wa zito kusafiri na kikwete ndege moja na kulala hoteli moja huko juba,
kinachomshangaza sita ni hiyo process nzima je zitto anavyokaa na kusafiri na kikwete wanaongea nini na kikwete anapata information gani
kutoka kwa zitto,na je chadema kwa ujumla wanaonaje hilo swala,
je zitto alitumwa na wenzake akakae na kikwete?walikubaliana au anajifanyia maadam anamwona kikwete anamchekea?ni haki kwa makamanda wa upinzani kufanya vitendo kama hivyo?
vitendo vingine vilivyomshangaza sita ni hali halisi ya wapinzani hasa bungeni,mfano mzuri ni wa mbunge mzee cheo kwenda na timu ya ccm
uk kudai serikali ya uk ilipe hela za rada kwa ccm,kumbuka cheo ni mpinzani,sasa tuite nini hiyo process kama sio unafiki?je cheo alichukuliwa na ccm kwenda kuwakilisha wapinzani wa tanzania kudai hiyo hela aliwasiliana na wenzake?na kama kweli ni mpinzani kwa nini alikubali?aliweka maslahi ya nani mbele?
kitendo kingine ni kile kinachofanywa na mrema mbunge aliyekuwa anaaminika na watanzania kuwa anaweza kututoa hapa tulipo,
je mambo anayofanya sasa hivi mrema kujipendekeza kwa ccm sio unafiki?
MR SITTA AMEKAA NA KUONA HUO NI UNAFIKI NA AME-GENERALIZE KILA KITU NA KUWEKA PEUPE
tukumbuke sita alisaidia sana upinzani kufika hapo ulipo
tusiwe watu wa kukurupuka tujifunze kusikia,kufikiri na kuchukua hatua!!!!!!!!
mimi binafsi nimekaa na kufikiri sana tangu jana na hilo ndio jibu langu,weka la kwako!!!!!
kitendo cha waziri sita kukosowa wapinzani na kuwaita wanafiki nakubali kabisa,
nafikiri sita ni mtu mzima na hawezi kukurupuka na kutoa maneno kama hayo bungeni,
samweli sita amekaa na kutafakari vitendo vinavyofanywa na baadhi ya wapinzani na kuona ni unafiki,
mfano mzuri ni huu wa zito kusafiri na kikwete ndege moja na kulala hoteli moja huko juba,
kinachomshangaza sita ni hiyo process nzima je zitto anavyokaa na kusafiri na kikwete wanaongea nini na kikwete anapata information gani
kutoka kwa zitto,na je chadema kwa ujumla wanaonaje hilo swala,
je zitto alitumwa na wenzake akakae na kikwete?walikubaliana au anajifanyia maadam anamwona kikwete anamchekea?ni haki kwa makamanda wa upinzani kufanya vitendo kama hivyo?
vitendo vingine vilivyomshangaza sita ni hali halisi ya wapinzani hasa bungeni,mfano mzuri ni wa mbunge mzee cheo kwenda na timu ya ccm
uk kudai serikali ya uk ilipe hela za rada kwa ccm,kumbuka cheo ni mpinzani,sasa tuite nini hiyo process kama sio unafiki?je cheo alichukuliwa na ccm kwenda kuwakilisha wapinzani wa tanzania kudai hiyo hela aliwasiliana na wenzake?na kama kweli ni mpinzani kwa nini alikubali?aliweka maslahi ya nani mbele?
kitendo kingine ni kile kinachofanywa na mrema mbunge aliyekuwa anaaminika na watanzania kuwa anaweza kututoa hapa tulipo,
je mambo anayofanya sasa hivi mrema kujipendekeza kwa ccm sio unafiki?
MR SITTA AMEKAA NA KUONA HUO NI UNAFIKI NA AME-GENERALIZE KILA KITU NA KUWEKA PEUPE
tukumbuke sita alisaidia sana upinzani kufika hapo ulipo
tusiwe watu wa kukurupuka tujifunze kusikia,kufikiri na kuchukua hatua!!!!!!!!
mimi binafsi nimekaa na kufikiri sana tangu jana na hilo ndio jibu langu,weka la kwako!!!!!