Chama chake odinga hakijawahi toa msimamo wa kumuunga mkono magufuli tofautisha na chadema ambacho kamati kuu na chama kutangaza wazi kumuunga mkono Kenyatta na chama chake. Madhara ya hili walilofanya chadema wasubiri 2020 nina siri kibao simwagi hapa yatosha kusema chadema walivyoligema watalinywa wanachadema waaanze kuandaa vidonge vya presha sababu yatakayotokea hawataaminiKwani Odinga alipomshangilia Magu 2015 hakujua kwamba mhosha huoshwa.
Na hilo ndio kosa la msingi la Chadema.....mnachokipigania leo kesho mnakikana..!Misimamo hubadilika kulingana na mazingira, huwezi kuwa na msimamo huo wakati mazingira na wakati yako tofauti.
CCM wakiwaibia kura 2020 semeni hivyo hivyo....mkuki kwa nguruwe etiiii
Ila uongo dhambi kwene swala la kupiga hela CCM ,...yaan ukitaka ufe maskun nenda chademSasa chagadema nacho n chama? Sisi huku tunajua hiki n kikundi cha watu wachache wafanyabiashara ambao hutumia taasisi hiyo kujipgia mkwanja
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamesahau Odinga alkua anamkubali nani 2015 naye tulimuona wa ajabu pia, hivi unadhan CHADEM wajinga kussaport uhuru wkt miaka yte walisapot odinga....Jamaa aliwasaliti 2015 nakutaka chama tawala kiendelee kuongoza bongoBaadhi ya wanasiasa wa upinzani kupitia muungano wa upinzani Nchini Kenya wametokea kukiponda chama cha chadema
Kwa kitendo cha kushangilia ushindi wa chama tawala nchini Kenya wakati wakiwa wapinzani
Lakini pia kitendo cha lowassa kukifanyia kampeni chama tawala akiwa kama mpinzani Mkuu Tanzania,
Baadhi ya wapinzani walienda mbali kusema hawajawahi kuona cha upinzani Africa kama chadema
Haha Odinga alisapport Rafki ake wa Ccm 2015 ...yy akujiona wa ajabu hahaha wameshindwa wakubali tuNi aibu kuwa mfuasi na mwanachama wa Chadema kwa wakati huu.
Hii yote ni chama kukosa msimamo.
Baadhi ya wanasiasa wa upinzani kupitia muungano wa upinzani Nchini Kenya wametokea kukiponda chama cha chadema
Kwa kitendo cha kushangilia ushindi wa chama tawala nchini Kenya wakati wakiwa wapinzani
Lakini pia kitendo cha lowassa kukifanyia kampeni chama tawala akiwa kama mpinzani Mkuu Tanzania,
Baadhi ya wapinzani walienda mbali kusema hawajawahi kuona cha upinzani Africa kama chadema
Mnamtisha nani?! Kama kuiba ibeni tu!! Watu wenyewe mnaiogopa tume iliyo huru na fair kwa wote [emoji107] [emoji107]Chama chake odinga hakijawahi toa msimamo wa kumuunga mkono magufuli tofautisha na chadema ambacho kamati kuu na chama kutangaza wazi kumuunga mkono Kenyatta na chama chake. Madhara ya hili walilofanya chadema wasubiri 2020 nina siri kibao simwagi hapa yatosha kusema chadema walivyoligema watalinywa wanachadema waaanze kuandaa vidonge vya presha sababu yatakayotokea hawataamini
Logic ya upinzani kuungana mikono wao kwa wao sijawahi kuielewa, kwamba chama kitakacho ingia madarakani mnavunja uhusiano nacho?.Baadhi ya wanasiasa wa upinzani kupitia muungano wa upinzani Nchini Kenya wametokea kukiponda chama cha chadema
Kwa kitendo cha kushangilia ushindi wa chama tawala nchini Kenya wakati wakiwa wapinzani
Lakini pia kitendo cha lowassa kukifanyia kampeni chama tawala akiwa kama mpinzani Mkuu Tanzania,
Baadhi ya wapinzani walienda mbali kusema hawajawahi kuona cha upinzani Africa kama chadema
Walidhani goli la mkojo... ooops samahani ...la mkono linawezekana kila mahala!Rohoooo inawaumaaaaaa[emoji444][emoji444][emoji444][emoji444]
Rohoooo inawaumaaaaaa [emoji444][emoji444][emoji444][emoji444]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulia usitingishe mguu..Ccm iliunga mkono lini upinzani kenya na ikatoa tamko Official na mwenyekiti wa CCM? CCM mwenyekiti hajawahi toa tamko wakati chadema kamati kuu na mwenyekiti wa chadema walitoa official tamko Kumuunga mkono Kenyatta na chama chake
Kwanza kabisa Africa Mashariki hakuna vyama vya siasa, kuna magenge ya ulaji tu.Baadhi ya wanasiasa wa upinzani kupitia muungano wa upinzani Nchini Kenya wametokea kukiponda chama cha chadema
Kwa kitendo cha kushangilia ushindi wa chama tawala nchini Kenya wakati wakiwa wapinzani
Lakini pia kitendo cha lowassa kukifanyia kampeni chama tawala akiwa kama mpinzani Mkuu Tanzania,
Baadhi ya wapinzani walienda mbali kusema hawajawahi kuona cha upinzani Africa kama chadema
Kwahiyo kwako rafiki yako akienenda katika misingi ya hovyo utaendelea kumuunga mkono tu kwa sababu ni rafiki yako?! Chadema wanapigania demokrasia, na kuamini misingi ya utawala bora, Raila Odinga anasema ataongoza kama Magufuli na tafsiri yake atakuwa kiongozi mwenye kuamini utawala wa One Man Show, kubinya demokrasia na utawala wa sheria kama ambavyo anafanya Magufuli, hivyo Raila Odinga amekengeuka katika njia ya haki na kuingia katika njia isiyo ya haki ambayo sisi Chadema hatuwezi kuwa naye kamweNa hilo ndio kosa la msingi la Chadema.....mnachokipigania leo kesho mnakikana..!
Wanajisahaulisha kwamba urafiki ni baina ya vyama si utawala. ndio maana waliounga mkono washindwa wamepagawaLogic ya upinzani kuungana mikono wao kwa wao sijawahi kuielewa, kwamba chama kitakacho ingia madarakani mnavunja uhusiano nacho?.