sk2000
JF-Expert Member
- May 19, 2012
- 754
- 436
Na wao wajiandae kuisupport ccm 2020 kwani shida iko wapi wajameni? Kwani iko shida?Baadhi ya wanasiasa wa upinzani kupitia muungano wa upinzani Nchini Kenya wametokea kukiponda chama cha chadema
Kwa kitendo cha kushangilia ushindi wa chama tawala nchini Kenya wakati wakiwa wapinzani
Lakini pia kitendo cha lowassa kukifanyia kampeni chama tawala akiwa kama mpinzani Mkuu Tanzania,
Baadhi ya wapinzani walienda mbali kusema hawajawahi kuona cha upinzani Africa kama chadema
Waache kulialiaBaadhi ya wanasiasa wa upinzani kupitia muungano wa upinzani Nchini Kenya wametokea kukiponda chama cha chadema
Kwa kitendo cha kushangilia ushindi wa chama tawala nchini Kenya wakati wakiwa wapinzani
Lakini pia kitendo cha lowassa kukifanyia kampeni chama tawala akiwa kama mpinzani Mkuu Tanzania,
Baadhi ya wapinzani walienda mbali kusema hawajawahi kuona cha upinzani Africa kama chadema
Uhuru kafanya kweli,Rafiki wa adui yangu ni adui yangu,Uhuru rais
Sent from my Siemens A-35 using JamiiForums mobile app
Sio ccm, ni Magufuli akiwa waziri.Na ccm kuunga mkono cha pinzani kenya sio ajabu ilo
mbona una heshima sana hapa jukwaani?Chama kukosa msimamo.!
wewe usiletee porojo hivi kuna ccm asiyekuwa mwizi.Lowasa na Mbowe wanataka kujijemga kibiashara nchini Kenya baada ya kuona Tanzania wezi hawatabaki salama.Hawa kuna kitu wanatafuta na msidhani kuna siasa hapo.
chadema watahudhuria sherehe ya kuapishwa kwa Uhuru. safi sanaBaadhi ya wanasiasa wa upinzani kupitia muungano wa upinzani Nchini Kenya wametokea kukiponda chama cha chadema
Kwa kitendo cha kushangilia ushindi wa chama tawala nchini Kenya wakati wakiwa wapinzani
Lakini pia kitendo cha lowassa kukifanyia kampeni chama tawala akiwa kama mpinzani Mkuu Tanzania,
Baadhi ya wapinzani walienda mbali kusema hawajawahi kuona cha upinzani Africa kama chadema
Ccm iliunga mkono lini upinzani kenya na ikatoa tamko Official na mwenyekiti wa CCM? CCM mwenyekiti hajawahi toa tamko wakati chadema kamati kuu na mwenyekiti wa chadema walitoa official tamko Kumuunga mkono Kenyatta na chama chake
Msimamo upi?Ni aibu kuwa mfuasi na mwanachama wa Chadema kwa wakati huu.
Hii yote ni chama kukosa msimamo.
Wahenga kweli hawakukosea waliposema nyani siku zote haoni KUNDULE!
Raila Odinga Aeleza Kenya Ilivyopokea Ushindi Wa Magufuli Na Kama Aliwahi Kumgusia Kuutaka Urais
Kwahiyo kwako rafiki yako akienenda katika misingi ya hovyo utaendelea kumuunga mkono tu kwa sababu ni rafiki yako?! Chadema wanapigania demokrasia, na kuamini misingi ya utawala bora, Raila Odinga anasema ataongoza kama Magufuli na tafsiri yake atakuwa kiongozi mwenye kuamini utawala wa One Man Show, kubinya demokrasia na utawala wa sheria kama ambavyo anafanya Magufuli, hivyo Raila Odinga amekengeuka katika njia ya haki na kuingia katika njia isiyo ya haki ambayo sisi Chadema hatuwezi kuwa naye kamwe
Ni upuuzi huu unao uandika. Unaelewa maana ya democracy?Baadhi ya wanasiasa wa upinzani kupitia muungano wa upinzani Nchini Kenya wametokea kukiponda chama cha chadema
Kwa kitendo cha kushangilia ushindi wa chama tawala nchini Kenya wakati wakiwa wapinzani
Lakini pia kitendo cha lowassa kukifanyia kampeni chama tawala akiwa kama mpinzani Mkuu Tanzania,
Baadhi ya wapinzani walienda mbali kusema hawajawahi kuona cha upinzani Africa kama chadema