Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Nina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
Njoo inbox nikusaidie na yeyote mwenye shida kama ww
 
Nina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
Njoo inbox nikusaidie na yeyote mwenye shida kama ww
 
Habarini wote.. Poleni kwa changamoto mbalimbali.. Natamani kuwasaidia ninapoweza Ila kwa bahati mbaya Sana kwa sasa sijishungulishi na habari zozote za ushirikina.. Niliacha mwaka 2023 na kuokoka
Kwasasa Mimi ni mtumishi wa Mungu.. Huko ndiko nilikojikita

Kwenye ishu za mahusiano na madeni zipo njia nyingine za asili zisizo na madhara ya maagano! Nikipata mojawapo sahihi nita share nanyi hapahapa kwa uwazi

Kuhusu waganga wa kienyeji konki msiingizwe mkenge na madalali wa ushirikina.. Epukeni kuchafuliwa miili yenu kwa madawa yasiyofaa na kuingizwa kwenye maagano mabaya
 
Back
Top Bottom