Wacha wewe,Habarini wote.. Poleni kwa changamoto mbalimbali.. Natamani kuwasaidia ninapoweza Ila kwa bahati mbaya Sana kwa sasa sijishungulishi na habari zozote za ushirikina.. Niliacha mwaka 2023 na kuokoka
Kwasasa Mimi ni mtumishi wa Mungu.. Huko ndiko nilikojikita
Kwenye ishu za mahusiano na madeni zipo njia nyingine za asili zisizo na madhara ya maagano! Nikipata mojawapo sahihi nita share nanyi hapahapa kwa uwazi
Kuhusu waganga wa kienyeji konki msiingizwe mkenge na madalali wa ushirikina.. Epukeni kuchafuliwa miili yenu kwa madawa yasiyofaa na kuingizwa kwenye maagano mabaya
Umeokoka wapi na jana tumeshinda wote Bar pale kibaha mkuu??