Wapi nianike Chupi yangu?

pole kwa yote yaliyokukuta. Lakina kuanika chupi kwenye bafu la pamoja kt nyumba ya kupanga ni kukosa nidhamu, ndo maana jirani alikukomesha. Pili uliingiaje bafuni/ chooni huku mke wa jirani akioga?
 
mimi huwa nakadust bin kangu ka chupi
wiki nzima nikivua nazitupa huko
wkend naloweka kama lisaa nazifua mdogomdogo nasugua nasuuza fresh naanika kwenye kamba mchana live
haya mambo ya kufua chupi na maji uliyoogea yenye mapovu ya sabuni ndo maana mafangasi hayawaishi huko down
kuna watu uchi umezeeka maana..sabuni na uvundo vimezila

kama huwezi kutunza chupi asi usivae
ha haaa, best hala hala hiyo wiki panya asiingie kwenye hiyo dust bin, mbona itakuwa majanga! chupi za wiki nzima!
 
jf kuna kamba za kuanika muulize Baba V akuelekeze eneo la tukio
 
Last edited by a moderator:
sisi watu wa gahwa tunavaa msuli tu tena tunakwenda comando kama unaweza Bujibuji jaribu kuvaa msuli na usivae kitu ndani halafu katiza barabara ya Jangwani utajisikia raha kweli
 
pole kwa yote yaliyokukuta. Lakina kuanika chupi kwenye bafu la pamoja kt nyumba ya kupanga ni kukosa nidhamu, ndo maana jirani alikukomesha. Pili uliingiaje bafuni/ chooni huku mke wa jirani akioga?

Bujibuji inaelekea huyo mke wa mpangaji mwenzako anakuzimikia kiaina, sipati picha kufanya chupi ya mtu especially mwanaume dodoki! Nyumba za kupanga zina siri kubwa, au jirani akiwa kazini unakuwa na ukaribu fulani na mkewe?
 
Nikakumbuka miaka ile ninasoma Marangu Sec, tulikuwa tunaanika chupi mwisho wa kitanda, June/July wakati hazikauki hata siku tatu. Hii ilichangia sana wizi wa chupi.
 
Faida za kutovaa pichu:
Unapunga upepo full time
unaokoa muda wa kuvua na kuvaa
unaokoa gharama za kununua, kurepair na kufua
 
Nikakumbuka miaka ile ninasoma Marangu Sec, tulikuwa tunaanika chupi mwisho wa kitanda, June/July wakati hazikauki hata siku tatu. Hii ilichangia sana wizi wa chupi.
ewww!! gross

Faida za kutovaa pichu:
Unapunga upepo full time
unaokoa muda wa kuvua na kuvaa
unaokoa gharama za kununua, kurepair na kufua
i can't imagine NOT wearing undies. i used to spend a lot of time getting those flashy/cool designs. there was a brand i used in 2010 but i forgot the shop niliponunua. I've given up on ever getting them again :( :disapointed:
 
ha haaa, best hala hala hiyo wiki panya asiingie kwenye hiyo dust bin, mbona itakuwa majanga! chupi za wiki nzima!
kwani chupi za wiki nzima ni ngapi dear? sometimes sivai ujue ...unaweza kukuta moja tu niliyoendea kanisani
 
Mwanzoni nilikuwa nikianika bafuni, kuna siku tumbo la kuaibisha likanishika. Nikatoka nduki hadi bafuni kwetu ambako choo na bafu viko ndani ya chumba kimoja, huko kilichonitokea sitakaa nisahau. Nilikuta mke wa mpangaji mwenzangu akiitumia chupi yangu niliyokuwa nimeifua asubuhi kujisugulia mwilini mwake. Tumbo langu la kuhara likaishia hapo na yule bibie sikumuuliza kisa cha yeye kuifanya chupi yangu dodoki lake la mwilini. Tangu siku hiyo nikawa naanika chumbani.

Jana nimetembelewa na mke wangu mtarajiwa. Yeye anajiendeleza katika chuo cha mahakama kilichopo Lushoto.
Alipoona chupi nimeanika chumbani akaanza nigombeza kuwa ni mwiko na aibu kuanika chupi chumbani. Nimejaribu kumuuliza kuwa nianike wapi? Badala ya kunielewesha kaanza kunilaumu kuwa simjali wala simsikilizi. Mimi ni mtu jeuri nisiyemthamini na kumuenzi.
Tangu jana hadi muda huu kanuna.
Jamani wana MMU nyie chupi zenu mnaanika wapi nami nije kuanika yangu?
\
ahahahah duh hiyo kali,sasa huko chooni huku gonga umeingia kama unaingia kwako? na huyo mpangaji mwenzio ungemwambia kama lile dodoki alokua akijisugulia ni lakwako...
 
\
ahahahah duh hiyo kali,sasa huko chooni huku gonga umeingia kama unaingia kwako? na huyo mpangaji mwenzio ungemwambia kama lile dodoki alokua akijisugulia ni lakwako...
promiseme hujawahi kubanwa na mchafuko wa tumbo? Hauna adabu mchafuko huo ni noma
 
Last edited by a moderator:
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom