TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,765
- 4,033
Teh teh teh!kwani wewe unavaa nini mkuu?Hadi leo bado wavaa kyupi? Tupa kule, hujui climate change imeondoa umaana wa kyupi
Teh teh teh!kwani wewe unavaa nini mkuu?Hadi leo bado wavaa kyupi? Tupa kule, hujui climate change imeondoa umaana wa kyupi
Mwanzoni nilikuwa nikianika bafuni, kuna siku tumbo la kuaibisha likanishika. Nikatoka nduki hadi bafuni kwetu ambako choo na bafu viko ndani ya chumba kimoja, huko kilichonitokea sitakaa nisahau. Nilikuta mke wa mpangaji mwenzangu akiitumia chupi yangu niliyokuwa nimeifua asubuhi kujisugulia mwilini mwake. Tumbo langu la kuhara likaishia hapo na yule bibie sikumuuliza kisa cha yeye kuifanya chupi yangu dodoki lake la mwilini. Tangu siku hiyo nikawa naanika chumbani.
Jana nimetembelewa na mke wangu mtarajiwa. Yeye anajiendeleza katika chuo cha mahakama kilichopo Lushoto.
Alipoona chupi nimeanika chumbani akaanza nigombeza kuwa ni mwiko na aibu kuanika chupi chumbani. Nimejaribu kumuuliza kuwa nianike wapi? Badala ya kunielewesha kaanza kunilaumu kuwa simjali wala simsikilizi. Mimi ni mtu jeuri nisiyemthamini na kumuenzi.
Tangu jana hadi muda huu kanuna.
Jamani wana MMU nyie chupi zenu mnaanika wapi nami nije kuanika yangu?
kwanini ukonde kaka mkubwa? nguo zote tunazofua tunaanika nje juani, hizo nazo ni nguo za kawaida yafaa kuanikwa nje juani! sasa pole yako ikiwa imetoboka kama hii
au
au uanike kama hivi hapa
Bujibuji kwanza umenichekesha sana na thread yako, labda nianze hv,Mwanzoni nilikuwa nikianika bafuni, kuna siku tumbo la kuaibisha likanishika. Nikatoka nduki hadi bafuni kwetu ambako choo na bafu viko ndani ya chumba kimoja, huko kilichonitokea sitakaa nisahau. Nilikuta mke wa mpangaji mwenzangu akiitumia chupi yangu niliyokuwa nimeifua asubuhi kujisugulia mwilini mwake. Tumbo langu la kuhara likaishia hapo na yule bibie sikumuuliza kisa cha yeye kuifanya chupi yangu dodoki lake la mwilini. Tangu siku hiyo nikawa naanika chumbani.
Jana nimetembelewa na mke wangu mtarajiwa. Yeye anajiendeleza katika chuo cha mahakama kilichopo Lushoto.
Alipoona chupi nimeanika chumbani akaanza nigombeza kuwa ni mwiko na aibu kuanika chupi chumbani. Nimejaribu kumuuliza kuwa nianike wapi? Badala ya kunielewesha kaanza kunilaumu kuwa simjali wala simsikilizi. Mimi ni mtu jeuri nisiyemthamini na kumuenzi.
Tangu jana hadi muda huu kanuna.
Jamani wana MMU nyie chupi zenu mnaanika wapi nami nije kuanika yangu?
Umeanza kuvaa siku hizimimi huwa nakadust bin kangu ka chupi
wiki nzima nikivua nazitupa huko
wkend naloweka kama lisaa nazifua mdogomdogo nasugua nasuuza fresh naanika kwenye kamba mchana live
haya mambo ya kufua chupi na maji uliyoogea yenye mapovu ya sabuni ndo maana mafangasi hayawaishi huko down
kuna watu uchi umezeeka maana..sabuni na uvundo vimezila
kama huwezi kutunza chupi asi usivae
ha haaa, hiyo kiboko.....kwani chupi za wiki nzima ni ngapi dear? sometimes sivai ujue ...unaweza kukuta moja tu niliyoendea kanisani
.....wangu una capital letters lol! hahahaha nitaringaje na MSULI wangu
ha haaa, ringa my dear, tena ntakuletea MSULI wa kudumu......ha haaa, don't worry handsome, ntakununulia soon[/QUOTE]
mimi huwa nakadust bin kangu ka chupi
wiki nzima nikivua nazitupa huko
wkend naloweka kama lisaa nazifua mdogomdogo nasugua nasuuza fresh naanika kwenye kamba mchana live
haya mambo ya kufua chupi na maji uliyoogea yenye mapovu ya sabuni ndo maana mafangasi hayawaishi huko down
kuna watu uchi umezeeka maana..sabuni na uvundo vimezila
kama huwezi kutunza chupi asi usivae
Hadi leo bado wavaa kyupi? Tupa kule, hujui climate change imeondoa umaana wa kyupi
Bujibuji kwanza umenichekesha sana na thread yako, labda nianze hv,
Watu wa pwani hawana kawaida ya kuvaa chupi sijui kwa nini ila wanavaa misuli sana labda ndo hiyo joto kali na kujifanya wanapunga hewa.
Watu wengine hasa wa zamani walikuwa hawavai chupi kabisa hasa wa kiume coz walikuwa wanaamini ukivaa chupi mwanaume dushelele yako inabanwa na haiwi kubwa yaani haiongezeki hivyo kuiacha wazi ni kuifanya izidi kuwa kubwa kadri unavyokuwa sehemu nyingine za mwili nayo inakuwa.
Wamasai nao hawavai chupi hasa na zile lubega zao upepo ukija mambo njenje, kidoogo siku hizi wanavaa pensi ndani ila nao sababu ni hizohizo za kuacha dushelele iwe kubwa na ndefu ili kumfurahisha mama yoyoo.
Wanaume wa siku hizi hawavai tena chupi, wanavaa boxer, chupi zimebakiwa kwa wanawake hivyo ukisema mwanaume unavaa chupi watu wanakutazama mara mbilimbili.
Back to the topic, mahali pa kuanikia chupi kwa mazingiora uliyonayo kama itakulazimu kuendelea kuvaa basi uwe unaanika pembeni ya dirisha lako ili mwanga wa nje na hewa visaidie kuikausha vizuri ila ukipata mgeni tuu kabla hajaingia unaingie wewe unaondoa makafyondo yote kisha unamkaribisha pakiwa safi. Na ukijua atakuja kesho basi leo uandae mazingira kabisa sio mtu aje kutoka huko asome ramani zako zote vibaya hivyoooo.
Waweza fanya maamuzi mapya ya kuendelea kuvaa chupi, au hamia boxer na uwe nazo nyingi au uwe unavaa na kutupa au usivae kabisa kama Kongosho looh!!
sakapal babu yangu aliniusia kuwa nikitaka kumridhisha mwanamke ni lazima nivae chupi ya mpira aina ya V I P. Hii chupi ina madini siri ambayo huongeza uimara wa kiungo burudani na kukufanya uchelewe kuufikia mshindo.
Chupi zangu za V I P ni urithi pekee nilioachiwa na babu yangu
.......ulichukua muda gani kumtizama kwa makini na ukagundua dodoki ni kufuli lako?