Wapi nianike Chupi yangu?

hahahahahaaha!!!kabanga, umenichekesha sana , yaani hizo kyupi sijui umezitoa wapi, hasa hiyo pic ya tatu ni babu kubwa.
 
mimi huwa nakadust bin kangu ka chupi
wiki nzima nikivua nazitupa huko
wkend naloweka kama lisaa nazifua mdogomdogo nasugua nasuuza fresh naanika kwenye kamba mchana live
haya mambo ya kufua chupi na maji uliyoogea yenye mapovu ya sabuni ndo maana mafangasi hayawaishi huko down
kuna watu uchi umezeeka maana..sabuni na uvundo vimezila

kama huwezi kutunza chupi asi usivae

Huko kwenye dustbin unakozitupia hakuvundi? Kurundika michupi y wiki nzima lol!
 
Mwanzoni nilikuwa nikianika bafuni, kuna siku tumbo la kuaibisha likanishika. Nikatoka nduki hadi bafuni kwetu ambako choo na bafu viko ndani ya chumba kimoja, huko kilichonitokea sitakaa nisahau. Nilikuta mke wa mpangaji mwenzangu akiitumia chupi yangu niliyokuwa nimeifua asubuhi kujisugulia mwilini mwake. Tumbo langu la kuhara likaishia hapo na yule bibie sikumuuliza kisa cha yeye kuifanya chupi yangu dodoki lake la mwilini. Tangu siku hiyo nikawa naanika chumbani.
Mkuu Bujibuji usijisumbue san kichwa.wewe anika chupi/Boxer yako nje ukishamaliza kuifua.Mimi huwa naanika ya kwangu nje.
Jana nimetembelewa na mke wangu mtarajiwa. Yeye anajiendeleza katika chuo cha mahakama kilichopo Lushoto.
Alipoona chupi nimeanika chumbani akaanza nigombeza kuwa ni mwiko na aibu kuanika chupi chumbani. Nimejaribu kumuuliza kuwa nianike wapi? Badala ya kunielewesha kaanza kunilaumu kuwa simjali wala simsikilizi. Mimi ni mtu jeuri nisiyemthamini na kumuenzi.
Tangu jana hadi muda huu kanuna.
Jamani wana MMU nyie chupi zenu mnaanika wapi nami nije kuanika yangu?

Anika chupi/boxer nje.
 
ushauri wangu, i am sorry,Anika begani,na kiangazi hiki,haikawii kukauka,ikikauka,weka mfukoni.
 
da mimi nadhan huko ndo sahihi ila jitahidi kuziweka mbali na macho ya watu au unaonaje
 
bujibuji sisi watu wa pwani wala hautupi tabu msuli, nakumbuka mara moja nilikuwa nikisafiri pale uwanja wa ndege wa airport jamaa alikuwa akinisachi na mimi haya mambo ya kunigusagusa siyapendi kwani alimuamsha jamaa ilikuwa ugomvi amekasirika oohh unanibashia kwanini usimamishe dudu yako wakati ninakusachi kosa nililofanya ni kule kumuambia sina kitu ndani na yeye alitaka kuhakikisha

Bujibuji hebu jaribu nenda kwenye gahawa leo uvae msuli utakuja nieleza kwanini hukuvaa siku zote hizi
 
Mwanzoni nilikuwa nikianika bafuni, kuna siku tumbo la kuaibisha likanishika. Nikatoka nduki hadi bafuni kwetu ambako choo na bafu viko ndani ya chumba kimoja, huko kilichonitokea sitakaa nisahau. Nilikuta mke wa mpangaji mwenzangu akiitumia chupi yangu niliyokuwa nimeifua asubuhi kujisugulia mwilini mwake. Tumbo langu la kuhara likaishia hapo na yule bibie sikumuuliza kisa cha yeye kuifanya chupi yangu dodoki lake la mwilini. Tangu siku hiyo nikawa naanika chumbani.

Jana nimetembelewa na mke wangu mtarajiwa. Yeye anajiendeleza katika chuo cha mahakama kilichopo Lushoto.
Alipoona chupi nimeanika chumbani akaanza nigombeza kuwa ni mwiko na aibu kuanika chupi chumbani. Nimejaribu kumuuliza kuwa nianike wapi? Badala ya kunielewesha kaanza kunilaumu kuwa simjali wala simsikilizi. Mimi ni mtu jeuri nisiyemthamini na kumuenzi.
Tangu jana hadi muda huu kanuna.
Jamani wana MMU nyie chupi zenu mnaanika wapi nami nije kuanika yangu?

Mbona hcupi za kufuwa na kuanika zilishapitwa na wakati? upo dunia hii?

http://www.walmart.com/ip/TENA-Men-Heavy-Super-Plus-Protective-Underwear-Medium-Large-16ct/14913427

14370332_121216190000.jpg
 
Anika sebuleni

Ahahaaaa sebuleni ahahahah
Mm huwa sivai lkn siku ile nipo kizimbani Kisutu kumbe zipu imefungika na dushelele linachungilia lkn hakimu wa kike hawezi niambia hahajahaha
Toka siku ile navaa bukta
 
Bujibuji ulienda kumchungulia mke wa jirani siku nyingi ulikua unamzimia ww,au mlipanga mkutane chooni? maana nyumba za kupanga zina mambo,hilo bafu halina komeo? au hakufunga mlango? na kwanini asifunge kama siyo mlikubaliana?
 
Mwanzoni nilikuwa nikianika bafuni, kuna siku tumbo la kuaibisha likanishika. Nikatoka nduki hadi bafuni kwetu ambako choo na bafu viko ndani ya chumba kimoja, huko kilichonitokea sitakaa nisahau. Nilikuta mke wa mpangaji mwenzangu akiitumia chupi yangu niliyokuwa nimeifua asubuhi kujisugulia mwilini mwake. Tumbo langu la kuhara likaishia hapo na yule bibie sikumuuliza kisa cha yeye kuifanya chupi yangu dodoki lake la mwilini. Tangu siku hiyo nikawa naanika chumbani.

Jana nimetembelewa na mke wangu mtarajiwa. Yeye anajiendeleza katika chuo cha mahakama kilichopo Lushoto.
Alipoona chupi nimeanika chumbani akaanza nigombeza kuwa ni mwiko na aibu kuanika chupi chumbani. Nimejaribu kumuuliza kuwa nianike wapi? Badala ya kunielewesha kaanza kunilaumu kuwa simjali wala simsikilizi. Mimi ni mtu jeuri nisiyemthamini na kumuenzi.
Tangu jana hadi muda huu kanuna.
Jamani wana MMU nyie chupi zenu mnaanika wapi nami nije kuanika yangu?

Tunaanika juani mchana kweupe tena ni siku za weekend na tena hao wapangaji karibu wote wapo
 
Back
Top Bottom