Bado kidogo
Member
- Feb 4, 2013
- 12
- 2
Mh! yanini kuvaa, utachelewa ukiipata ya chapchap!
Bujibuji ulienda kumchungulia mke wa jirani siku nyingi ulikua unamzimia ww,au mlipanga mkutane chooni? maana nyumba za kupanga zina mambo,hilo bafu halina komeo? au hakufunga mlango? na kwanini asifunge kama siyo mlikubaliana?