Kama nyumbani Bongo una kisimbuzi ulichosajili padua Azam Max kwenye simu janja yako.Wakulu wa nchito,
Naomba anaejua wapi kwa hapa Nairobi naweza angalia Derby ya Simba na Yanga anifahamishe hasa pande hizi za Westland maana wiki ya Derby imenikuta huku bila kutarajia.
Natanguliza shukrani
Bahati mbaya Westland hakuna vibanda umiza, mtaa maridhawa kabisaWakulu wa nchito,
Naomba anaejua wapi kwa hapa Nairobi naweza angalia Derby ya Simba na Yanga anifahamishe hasa pande hizi za Westland maana wiki ya Derby imenikuta huku bila kutarajia.
Natanguliza shukrani
Hapo kwenye kutafuta wapi ni kipengele ndio maana nikaleta kama wapo wanaojua wanisaidie. Ngoja nijaribu kwa AppNenda Playstore au Appstore Download APP ya Azam Max, kisha lipia eflu 2, unafurahia game
Pia kenya kuna Ving'amuzi vya Azam TV, tafuta eneo lenye icho kisimbuzi wakuwekee game
Life la Nairobi na bongo ni tofauti sana.Yaah hamna vibanda umiza... Ila hata bongo sijawahi ingia vibanda umiza naonaga miyeyusho wakati bar na pubs zipo. Ngoja nifuate ushauri wa kupakua App
Elfu 2 na sio elfu 9?Shusha app hii
unalipia elf 2 kwa mwezi kwa mpesa/tigo/airtel,
mechi ni takribani mb 500
pakua azam max kwenye simu yako na ulipie utaiona derby kwenye simu yakoWakulu wa nchito,
Naomba anaejua wapi kwa hapa Nairobi naweza angalia Derby ya Simba na Yanga anifahamishe hasa pande hizi za Westland maana wiki ya Derby imenikuta huku bila kutarajia.
Natanguliza shukrani
utaona azam max inajitegemeaHome sinaga king'amuzi cha Azam, bila hivyo hata nikidownload App na kulipia sitoweza kuona?
Mi nadhani ligi yao haina mvuto na imekosa promo na uwekezaji wa maanaPole sana ....jaribu App....hukk EPL ndip kwao hao wazungu sanaaa
Nenda pale JB BELLIMONTE utapata rahaWakulu wa nchito,
Naomba anaejua wapi kwa hapa Nairobi naweza angalia Derby ya Simba na Yanga anifahamishe hasa pande hizi za Westland maana wiki ya Derby imenikuta huku bila kutarajia.
Natanguliza shukrani
Azam ameingia huko sasa ....pia walifungiwa fifa .....labda itaanza tena kama zamaniMi nadhani ligi yao haina mvuto na imekosa promo na uwekezaji wa maana
Bila shakaAzam ameingia huko sasa ....pia walifungiwa fifa .....labda itaanza tena kama zamani
apps nyingi wana bei za juuElfu 2 na sio elfu 9?