ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,417
- 5,294
Kesho Tanga kuna mchezo wa watani jadi Simba dhidi ya Yanga lakini naona huu mchezo umedorora hamna shamra shamra na mtaani watu hawazungumzii hili tukio kubwa la kimichezo la kesho
TFF imeweka kiingilio elfu 30 lakini nina wasiwasi kama uwanja utajaa kutokana na derby kukosa mvuto
Sababu kubwa nadhani kwakuwa hizi team zinakutana mara nyingi kwa msimu kuliko timu zingine, kwaku TFF wameona ndo gap la kupiga wasijue kuwa kukutana mara nyingi watu wanazoea na baadae wanauchukulia mchezo huu kama mechi zingine
Siku hizi sioni watu wakipata msisimko hadi kuzimia uwanjani kama zamani
Derby ya kariakoo ikiendelea kufulia ni wasaa wa kuhamia mashemeji derby pale Nairobi ndo itakuwa derby bora ukanda wete CECAFA
TFF msipende kuzitumia hizi timu kupiga hela na mkapoteza ladha ya Derby.
Itawachukua miaka kuifufua tena.
TFF imeweka kiingilio elfu 30 lakini nina wasiwasi kama uwanja utajaa kutokana na derby kukosa mvuto
Sababu kubwa nadhani kwakuwa hizi team zinakutana mara nyingi kwa msimu kuliko timu zingine, kwaku TFF wameona ndo gap la kupiga wasijue kuwa kukutana mara nyingi watu wanazoea na baadae wanauchukulia mchezo huu kama mechi zingine
Siku hizi sioni watu wakipata msisimko hadi kuzimia uwanjani kama zamani
Derby ya kariakoo ikiendelea kufulia ni wasaa wa kuhamia mashemeji derby pale Nairobi ndo itakuwa derby bora ukanda wete CECAFA
TFF msipende kuzitumia hizi timu kupiga hela na mkapoteza ladha ya Derby.
Itawachukua miaka kuifufua tena.