Wapi kwa Tanzania wanalipwa mishahara mirefu?

Wapi kwa Tanzania wanalipwa mishahara mirefu?

BoT, TRA, TPDC, NHC, TPA, NSSF, PSPF, GEPF, LAPF, PPF, TISS, PCCB, ETC

TISS ni kwa wale senior tu lakini hawa wengine tumepanga nao chumba kimoja mtaani huku mishahara yao kama polisi tu wamechoka ila TPA na TPDC UKO sahihi
 
Kuna NGO hivi ya wamarekani iko mbeya inaitwa walter reed,wanalipa vizuri pia.fikiria office attendant analipwa 1.5M hao wengine ndo wanalamba mpaka 6M.

NGO nyingi wanalipa vizuri... Hiyo NGO si kwamba iko Mbeya tu hata Dar ipo....
 
Tpdc, tpa, sumatra,tanesco,tra,ewura,bot ni seniors tu,mashirika ya mafao. Mwisho kabisa ni serikali kuu kama walimu,halmashauri,wakaguzi wa serikali,polisi,tiss,nk.

Mishahara musuri inatolewa kwenye mashirika ya umma na mamlaka, tra iko serikali kuu ila wao wana nafuu ukijumlisha na rushwa wanakua na ahueni
 
wafanyakazi wa halmashauri ndo wana mishahara mikubwa kuliko wafanyakazi wengine wooote nchii hii,
 
Tpdc, tpa, sumatra,tanesco,tra,ewura,bot ni seniors tu,mashirika ya mafao. Mwisho kabisa ni serikali kuu kama walimu,halmashauri,wakaguzi wa serikali,polisi,tiss,nk.

Mishahara musuri inatolewa kwenye mashirika ya umma na mamlaka, tra iko serikali kuu ila wao wana nafuu ukijumlisha na rushwa wanakua na ahueni

kama sijakuelewa hivi
 
sehem pekee hapa nchin wanapolipa mshahara na malupulupu makubwa ni hifadh ya ngorongoro,kwa daktar take home per month ni lak tisa na somethng,motisha ni lak 9,ukijumlisha utapata jibu.
 
Back
Top Bottom