Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,955
- 4,662
Wakifuatiwa kwa mbaali na polisi.wanaolipwa vizuri ni WALIMU wa tanzania
Wakifuatiwa kwa mbaali na polisi.wanaolipwa vizuri ni WALIMU wa tanzania
$ 43K a month plus a bonus of $200K is too good to refuse!
hiyo ya 70,000 USD kwa mwezi hata mkuu wa kaya hapati itakua uongo tu!
ngoja tusubiri majibu kwani hata mimi nimekuwa mdau wa thread hii !
Hahahahahaha...mHiyo 160,000 wamekuzidishia sana cuz hufanyi kazi na muda wote upo hapa JFMa TOP kwenye kampuni ndio wanaokula mikwanja mirefu nakumbuka mwaka 2004 hiv kampuni ya Kahama Mining Mkubwa wao mkanada alikuwa anachukua mil70 per month na alikuwa anakaa sheraton(Serena) na anafanya kazi Kahama......Sisi Boss wetu anakula mil 60 pm mie nakula 160,000/= pm
This is the theory: Most guys who make big bucks in the US are the Wall Street fat cats (investment bankers, traders etc.). On average, these guys make more than seven figures (in USD). That being said, I'd expect the traders and investment bankers at DAR STOCK EXCHANGE to earn the same ridiculous $$$ or TZS just like their Wall Street counterparts. So forget about UN, WB, IMF, TIGO or VODA.
Just my thought
Dar hamna Stock Exchange, kuna mchezo wa kuigiza wa Stock Exchange.