Wapi kwa Tanzania wanalipwa mishahara mirefu?

Wapi kwa Tanzania wanalipwa mishahara mirefu?

TISS wanalipa vizuri.

TISS-Tosamaganga International Secondary Schools.
 
Vipi Kuhusu mishahara ya Kilimanjaro Airport Development Co-operation (KADCO) ikoje, hatuna Nia mbaya tunahitaji kufahamu ili tuamue hatma za maisha yetu ya ajira huku serikalini
 
Mimi naona kila ofisi ina mishahara minono kutokana na position uliyopo na qualification zako.ila katika kuchunguliachungulia nahisi hivi.
1.UN-ICTR Arusha,UNDP Dar
2.kwenye NGO za Ubalozini-JICA,DANIDA,USAID,NORAD,IFAD
4.ABG
5.TRA
6.TANAPA
7.Lafarge(Mbeya Cement)
6.TCC
7.TBL

hiyo namba 2 nilipobold unamaanisha nini
 
Kuna vikampuni vidogo vidogo tu vya private tena havina hata majina hapa mjini,nimeshangaa kuona salary slip ya mtu ambae ni finance manager anakula 8.5m akaniambia kwenye hicho kikampuni Chao mtu mwenye mshahara mdogo huwa ni intern ambaye huwa wanampa laki 6 kila mwezi.
Noma sana
 
Kuna vikampuni vidogo vidogo tu vya private tena havina hata majina hapa mjini,nimeshangaa kuona salary slip ya mtu ambae ni finance manager anakula 8.5m akaniambia kwenye hicho kikampuni Chao mtu mwenye mshahara mdogo huwa ni intern ambaye huwa wanampa laki 6 kila mwezi.
Noma sana
Vitaje tusaidie vijana
 
Back
Top Bottom