Wapi kwa Tanzania wanalipwa mishahara mirefu?

Wapi kwa Tanzania wanalipwa mishahara mirefu?

Majority ya wafanyakazi kny private sector wa kada za officer wapo between 1,200,000 na 2,800,00. Na kwenye serikalini wanalala between 400,000 na 1,200,000.
 
da msala,ebu cheki kz hamfanyi mnapiga stori za salaries
 
Ofisi ya rais

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kuna NGO hivi ya wamarekani iko mbeya inaitwa walter reed,wanalipa vizuri pia.fikiria office attendant analipwa 1.5M hao wengine ndo wanalamba mpaka 6M.
 
Nssf wapo wengi na wananchi wanababaika na matangazo ila ni fair kwa wanaanza kazi ila kwa wazoefu hakuna kitu pale wanatamani kuhama semaa hawana ujasiri muulizEni mbungE kibona au mkuu wa wilaya meela.
 
Mimi naona kila ofisi ina mishahara minono kutokana na position uliyopo na qualification zako.ila katika kuchunguliachungulia nahisi hivi.
1.UN-ICTR Arusha,UNDP Dar
2.kwenye NGO za Ubalozini-JICA,DANIDA,USAID,NORAD,IFAD
4.ABG
5.TRA
6.TANAPA
7.Lafarge(Mbeya Cement)
6.TCC
7.TBL



Umenishangaza umeiacha EWURA.. nasikia TPDC nao wanakuja kwa kasi


anyway.... Kibongobongo wizi tu ndo umejaa.. Ndo mana utasikia HATUISHI KWA MSHAHARA.. Si kwamba wana kibiashara lahaaaa.... Ni kujilipa marupurupu ya kijinga tu ufisadi wa hapa na pale

just imagine mvaa nguo nyeupe anayeongoza magari au wale wanaoinda usalama.. Mti kimshara cha laki 4 within a year ana maghorofa na magari ya kifahari..😕
 
Hebu nielimishe mkuu

Kuna IPO ngapi kwa mwaka DSE?

Volume ya trade ikoje?

Speed ya trade ikoje?

Mass participation katika trading ikoje?

Transparency katika trading ikoje?

Regulation katika trading ikoje?

Kuna chombo kama "Securities and Exchange Commission" (US) kinachosimamia trading? Kwa sheria na regulations gani?
 
Kuna IPO ngapi kwa mwaka DSE?

Volume ya trade ikoje?

Speed ya trade ikoje?

Mass participation katika trading ikoje?

Transparency katika trading ikoje?

Regulation katika trading ikoje?

Kuna chombo kama "Securities and Exchange Commission" (US) kinachosimamia trading? Kwa sheria na regulations gani?
Labda mkuu Kimweri atakuja na majibu.
Asante kwa kunifungua macho
 
Watu wakubwa kwenye benki kama ma MD wanakula hela ndefu sana.
 
Dah!hii thread kama kwa mwezi unadaka jiwe moja na nusu unaweza ukakufuru humu.
 
Kampuni yoyote ipo kwa ajili ya kupata faida. Wenye mshahara mkubwa ni mamenaja kufuatana na mikakati ya kutengeneza faida either kwa kulipa subordinate kidogo au kupanua vyanzo. Ndo maana wana walipa hela nyingi. Kuna sehemu SFO analipa 25m na mwingine wa level yake 10m. Hiyo no jinsi alivyobana matumizi na inakuwa kwenye malubaliano na utawala.
 
Back
Top Bottom