Wapi kwa Tanzania wanalipwa mishahara mirefu?

Wapi kwa Tanzania wanalipwa mishahara mirefu?

Na vp kuhusu TANAPA salary yao ikoje kwa scale ya TNPSS D?
 
sehem pekee hapa nchin wanapolipa mshahara na malupulupu makubwa ni hifadh ya ngorongoro,kwa daktar take home per month ni lak tisa na somethng,motisha ni lak 9,ukijumlisha utapata jibu.
Hizo laki tisa ni usd au tsh?
 
Kuna washikaji wanashinda pale kinondoni makaburini wanalipwa vzr sn
 
Nilipoanza kuwa hai nilikuwa naamini kuwa benki ndo taasisi zinazolipa kuliko zingine zote. Nilipoingia nikakumbuka kuwa jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza.banker wa kike anajiuza ili kuongeza kipato
 
Self employed ndio mwisho wa ututa be your own boss.
 
Nilipoanza kuwa hai nilikuwa naamini kuwa benki ndo taasisi zinazolipa kuliko zingine zote. Nilipoingia nikakumbuka kuwa jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza.banker wa kike anajiuza ili kuongeza kipato

Nipe namba Wa banker huyo wa kike anayejiuza
 
Naskia kwenye makampuni na mashamba ya mkonge wanalipa vizuri saana
 
Mshahara mkubwa unatokana na wewe kujituma na umuhimu,kampuni moja ina scale kuanzia za walinzi mpaka ceo.

Mnaweza mkawa kitengo kimoja mkachukua mshahara tofauti,icho ndicho kilichonifanya niachane na ajira niende kukata mkaa mie nlikuwa nalipwa 500k mwenzangu 2.5m ukiomba uongezwe tantalila nyingi,nkaona isiwe shida.

Kuna watu wapo BOT mshahara penenge wengine wapo vikampuni ambavyo hata havieleweki wanakunja mita mbili na nusu.
 
Back
Top Bottom