Wapi kuna live band ya zilipendwa Dar?

Cyn

Member
Jul 19, 2022
76
138
Jamani wapi naweza kwenda penye band zinazopiga miziki ya zilipendwa hapa dar? Zamani sana nilikuwaga naenda Mawenzi garden tabata kulikuwa na band ya BANA MARQUIZ na sijui hata wao kwa sasa wanapiga wapi maana nilikuwa nawapenda sana.

Nakaa kinondoni anyway so kama kuna band maeneo ambayo si mbali sana na Kinondoni itakuwa vema zaidi.
 
Jamani wapi naweza kwenda penye band zinazopiga miziki ya zilipendwa hapa dar? Zamani sana nilikuwaga naenda Mawenzi garden tabata kulikuwa na band ya BANA MARQUIZ na sijui hata wao kwa sasa wanapiga wapi maana nilikuwa nawapenda sana.
Nakaa kinondoni anyway so kama kuna band maeneo ambayo si mbali sana na Kinondoni itakuwa vema zaidi.
Huko huko Tabata ndio mambo yote iko huko kwasasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom