Jamani wapi naweza kwenda penye band zinazopiga miziki ya zilipendwa hapa dar? Zamani sana nilikuwaga naenda Mawenzi garden tabata kulikuwa na band ya BANA MARQUIZ na sijui hata wao kwa sasa wanapiga wapi maana nilikuwa nawapenda sana.
Nakaa kinondoni anyway so kama kuna band maeneo ambayo si mbali sana na Kinondoni itakuwa vema zaidi.
Nakaa kinondoni anyway so kama kuna band maeneo ambayo si mbali sana na Kinondoni itakuwa vema zaidi.