Wapi Chimbo la Suti za Kishua kwa bei nafuu?

Wapi Chimbo la Suti za Kishua kwa bei nafuu?

Binafsi Huwa nashonesha kwa fundi,ambapo gharama Huwa. Inangukia kwenye 90-150,000 kutegemea na ubora wa kitambaa nilichochukua.

Tafuta fundi mzuri akushonee,hakika utafurahi
 
Suti ya AI my friend !
Kwa nini mleta mada asishoneshe kwa fundi huwa inafika hadi nusu ya garama kwenye maduka rasmi.
Kwa fundi ipo Bora zaidi
😁Tupia moja ukiwa umevalishwa na Ai kwa faida ya members
 
Kwa dar hapa suti mhhh labda kwenye matukio Mimi sio mpenzi wahiyo mizigo ya kunitoa jasho muda wote , iringa mbeya Moshi njombe hapo mwake
 
za dukani nzuri ila baadhi itabd ukapunguze kwa fundi kutegemeana na mwili wa muhusika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom