Wapendwa......................

Wapendwa......................

Na wewe MJ1 hata hujaelezea ni juu ya nini
Keki yenyewe haiseme kama ni harusi ,graduation au birthday
Haya mama mie najiunga kusheregekea ,,barikiwa
 
Ukibananishwa unakuwa mkali kama mbogo.
Hahaha, nani anapenda kubananishwa Mtei?...


Imba basi manake ukumbi umenyamaza sana, tunasubiri mtoto aamke ndio sherehe ianze, usipoimba keki utaionea kwenye picha tu..
 
Na wewe MJ1 hata hujaelezea ni juu ya nini
Keki yenyewe haiseme kama ni harusi ,graduation au birthday
Haya mama mie najiunga kusheregekea ,,barikiwa
We sherehekea tu firstlady, ili mradi keki ipo hakuna tazizo, ametualika akatuacha njia panda wacha tuendelee kuimba mpaka akuje kufafanua lol..
 
Happy Birthday Mjukuu mtiifu...

Babu loves you as always.....

Kata keki tule.....:violin:
......Ah Babu aksante sana, hatimaye umelifumbua hili fumbo la imani. I will always be Mjukuu Mtiifu kwako na Bibi Mamndenyi ambaye naona anakaba mpaka kabali tujukuu twingine tusikumalizie ile 50 eh? lol

Hongera sana dada,
mimi na babu yako tutakuwepo kwenye kukata keki.

Bibi aksante sana naanza kuwaandalia na ngata ya Mbeghe kwanza si ndio??

Na wewe MJ1 hata hujaelezea ni juu ya nini
Keki yenyewe haiseme kama ni harusi ,graduation au birthday
Haya mama mie najiunga kusheregekea ,,barikiwa

Ahah Sweetie......Babu yangu ashakufungulia siri hapo juu.............. niaka inazidi kuyoyoma tu soon nami naukwaa U-Bibi of the Year! lol Wapi Superman!?
 
Kamanda thanks sana; i wish ningejua mapema

Niko njiani kutokea sehemu inayoitwa tigoni, ntapita kimbimbi ndio nielekee kuona niece wangu shule moja yaitwa nyoko hapo kesho

sijui wakenya wana nia gani na majina ya ajabu-ajabu ya sehemu wanazoishi!!!
 
Happy birthday dada MJ1...a year older more wisdom. Be blessed as always.
 
Back
Top Bottom