Hahah Bibi weeee nlijua tu! Usisikie mnuso mamii haya taja wanywa nini leo?
Wapendwa, Mkiwa sehemu ya familia yangu, sehemu ya furaha yangu,....................karibuni mshereheke nami katika siku hii muhimu kwangu.
Ninawapenda.
Pamoja sana
Wapendwa, Mkiwa sehemu ya familia yangu, sehemu ya furaha yangu,....................karibuni mshereheke nami katika siku hii muhimu kwangu.
Ninawapenda.
Pamoja sana
kila la kheri
Amney Mjukuu wa Babu.....aksante .ila nawe punguza perfume...yaani hiyo Rare Pearl umejipulizia utadhani unakwenda kupungwa!! Nakupenda ujue.Hongera sana MJ1...
NN........................It is My Birthday..................... Mimi MJ1What's the occasion here?
Kamanda thanks sana; i wish ningejua mapema
Niko njiani kutokea sehemu inayoitwa tigoni, ntapita kimbimbi ndio nielekee kuona niece wangu shule moja yaitwa nyoko hapo kesho
sijui wakenya wana nia gani na majina ya ajabu-ajabu ya sehemu wanazoishi!!!
Mamito.........you have been missed aisee....hebu ninong'oneze MTM kakuficha wapi?? Maana mh............. mmepotea sana nyie wawiliHappy birthday dada MJ1...a year older more wisdom. Be blessed as always.
oh! kumbeeeeeeeee, Happy birthday to you.
siku yako iwe kama ambavyo unatamani iwe!
Stay Blessed
Usijali my dear, nimefurahi kama umefurahi.Fixed jamani, that was so sweet of you ah.................... thanx for calling my sisy.
Kama ulivyonisikia sauti nyororoooo kwa mafua! hhahahha