Wapenda ugali mpo?

Wapenda ugali mpo?

b8f4f35c592d28301c22fd0299aa0ca5.jpg
Dona lililokwenda shule
 
Muda mwingi katikati ya wiki lunch yangu ni dona na mboga tofauti isipokuwa jmosi na jpili tu. Sili ugali usiku, sipendi coz sitaki kulala tumbo likiwa limejaa.
 
Muda mwingi katikati ya wiki lunch yangu ni dona na mboga tofauti isipokuwa jmosi na jpili tu. Sili ugali usiku, sipendi coz sitaki kulala tumbo likiwa limejaa.
Ni kweli ugali baada ya saa moja usiku unafanya tumbo liwe zito.
 
Ugali niliokulaga enzi hizo boarding kwa miaka minne na maharaghe yenye wadudu umetosha kabisa. Yani sina hamu ya ugali kabisa.
Ninakuelewa sana mkuu inaelekea wewe ni wa soda na juice
 
Mimi magimbi na mihogo ya kuchemsha na karanga za kupika na maganda afu pima volume ya mbegu za kiume..!
 
Wakuu mnazungumzia ugali hiki hiki chakula ama? Maana vijana siku hizi mna maneno sana.....Nisije kutiririka hapa kumbe wenzangu mnazungumzia mengine kabisa
 
Mkuu inategemea unafanya kazi gani, unaweza kufukuzwa kazi na joto hili kwenye office yenye kiyoyozi umepiga ugali unaweza kukoroma saa sita mchana
Hapana mkuu,mie ugali muda huo ndio mzuka,kazi zinaenda huku kiyoyozi kinapuliza taratibuuu
 
Mkuu inategemea unafanya kazi gani, unaweza kufukuzwa kazi na joto hili kwenye office yenye kiyoyozi umepiga ugali unaweza kukoroma saa sita mchana
Mkuu lile umbo lako km sanamu ya tangazo la binsulum limeisha
 
Back
Top Bottom