xav bero
JF-Expert Member
- Nov 24, 2016
- 5,133
- 7,352
Aaahaggggghhhh nikisikia ugali hua najiona mnyonge,,kitu wali bhanaaaa weeeee,
Wali Nazi
Samak Nazi
Kisamvu Nazi weeeeeee acha kabsa,,,halaf usipikwe kwa rice cooker upikwe wa mkaa uwe na matandu aaaaah jamaniiiii wali wali wali wali wali wali wali wali wali,,,nikisafiri kwenda sehem zisizo na naz hua nabeba kadhaaa kwenye but au zile za pakit japo majua sio nzur lakin nimeshakua muathirika na mboga naz,siwez kuacha hata kaka una madhara wacha yanidhuru tu kitu checheeee .
Weeeee acha kabsa,naweza upiga asbhi kporo,mchana na usiku vile vile hata miaka mitatu mfululizo,,,Mungu ananiona sisem uongo ugali nakula kwa bahat mbaya tu,hasa nikienda ukwen mke anafanyaga makusud kupika maana anajua siwez kukataa kula...
Wali Nazi
Samak Nazi
Kisamvu Nazi weeeeeee acha kabsa,,,halaf usipikwe kwa rice cooker upikwe wa mkaa uwe na matandu aaaaah jamaniiiii wali wali wali wali wali wali wali wali wali,,,nikisafiri kwenda sehem zisizo na naz hua nabeba kadhaaa kwenye but au zile za pakit japo majua sio nzur lakin nimeshakua muathirika na mboga naz,siwez kuacha hata kaka una madhara wacha yanidhuru tu kitu checheeee .
Weeeee acha kabsa,naweza upiga asbhi kporo,mchana na usiku vile vile hata miaka mitatu mfululizo,,,Mungu ananiona sisem uongo ugali nakula kwa bahat mbaya tu,hasa nikienda ukwen mke anafanyaga makusud kupika maana anajua siwez kukataa kula...
