xav bero
JF-Expert Member
- Nov 24, 2016
- 5,133
- 7,352
Bora umesema kwel,,maana hakuna jins ya kukataa kule,utakula kwa lazima,sasa hvi oiga wali tu tena kwa naziUgali niliokulaga enzi hizo boarding kwa miaka minne na maharaghe yenye wadudu umetosha kabisa. Yani sina hamu ya ugali kabisa.
