tremendous
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 3,237
- 5,323
wekeni basi na ile ngoma ya juma nature kiroboto iendelee kuburudisha huu uzi wakati tunapata comment murua kuhusu ugali

wekeni basi na ile ngoma ya juma nature kiroboto iendelee kuburudisha huu uzi wakati tunapata comment murua kuhusu ugali

Sio mwanaume tu mwanaume haswaDuuuuu wewe ni mwanaume kumbe, basi sawaa
Ha ha ha ha toka nmepata akil zangu sijawah agiza ugali hotelin,,,unashangaa kama mm navyoshaangaaga watu waagiza ugali duhKwa kweli mimi nikinyimwa ndizi nitahama nchi kabisaaa...ugali sijui mara ya mwisho nilikula lini...Mimi huwa nashangaa sana ninapoona mtu anaagiza ugali restaurant.Anyway kweli tupo tofauti hongereni wadau wa ugali mimi ndizi ndo sawa na ww unavyopenda kitu cha 'nguna'
keki na konyagi vyote vinaenda .. hapa nawashwa nataka nikapike steamed banana cake yani natamani usiku ufike sababu mchana nakoseagaBeer na chapati?
Ugali hauna ladha,hauwez kuupika kwa ufundi tofauti ndio maana sio mtamu ila kitu ubwaubwa aisee unaweza upika kwa aina kumi na saba tofauti na ukaomba uongezewe,,Makubwa
Mlonge hujautajaMkuu ndani ya dona huwezi kufunga choo, ni win win situation
Teh teh eti vitafunwa.Mimi naweza kula ugali mwaka mzima, wali, ndizi huwa naona kama sio chakula..
Naonaga kama ni vitafunwa kwenye breakfast na sio mlo kamili.
Bila kula ugali naona kama sijala chakula kabisa.
mwakashina wali nakitoga ha ha ha haWali Mimi napenda sijui ni huu upogoro wangu
Haswaa! wanasema sweet food is a sweet poison.Alafu inaonekana unajali sana afya yako kupitia chakula, nimekusoma kwenye thread mbali mbali.
Mimi hiyo ni tabia ambayo ninayo, nakula chakula kwa sababu kitaniongezea kitu ndani ya mwili, sio kufuata ladha nzuri
Imekaa njema ....mwili hujengwa kwa mloMahare yakiyokokea nazi dona na samaki wa kukanga na pembeni kuna majani ya bia I Vitaminwater na ndimu kishkaji
TUPO. Infact wengine hata asubuhi twala, twadumisha mila na tamaduni za kanda ya ziwa, hata wazungu mbona nao zao..Wapenda ugali mpo?