queen of the jungle
JF-Expert Member
- Mar 17, 2017
- 228
- 430
Mimi wali Nina mwezi wa nne sasa hakuna cku imepita bila wali
Hahahaha...! sio win loose situationMkuu ndani ya dona huwezi kufunga choo, ni win win situation
Dawa ni kufanya mazoezi mkuu. Ugali una carbohydrates kubwa na hii isipotumika mwilini inabadilishwa kuwa mafuta ambayo yanahifadhiwa kwenye ini kwa matumizi yabaadae kama vile inacyoweka nafaka ghalani. Ukizidi kuyaongeza yanahifadhiwa katika sehemu nyingine za mwili kama tumboni ndiyo yanasababisha kitambi. Yakizidi sana yanashindana nafumo wa mwili wa kurekebisha kiwango cha sukari.Kitu dona na mboga yeyote mwaka mzima Saafi tu! Sema bana nasikia inasababisha kisukari kwa asilimia kubwa?naomba kujuzwa zaidi
Mkuu hapa umenikamata haswaa!Habari za J3 wapendwa
Mimi ninapenda sana kula ugali, ninaweza kula chakula hiki siku saba za juma mradi tu nibadilishe kitoweo. Kuna wanaume nikiwaeleza mapenzi yangu kwa ugali wananiona mlugaluga.
Imebidi nipunguze ulaji wa ugali kutokana na issue za uzito wa mwili. Siku hizi ninakula ugali Jumamosi tu. Kuna wanawake wanaopenda kula ugali kama mimi?
Wanaume pia mnakaribishwa
Nyama ya mchuzi au kavu? Samaki ninapenda kupika na mchuzi wa nazi lakini oily fish kama mackerel au salmon ninambake kwanza then ninmchesha na Limao nyanya chungu na bamia ohhMkuu hapa umenikamata haswaa!
Mimi ugali Nyama, samaki hapo nimefika
Na ndio mboga kwa ujumla zinakubali ugali
Aaah kumbe unga wa azam nimeshangaa me nilijua donaMkuu ninaishi Kwamtogole nimepanga chumba kimoja na kisebule. Ugali ninapenda unga wa Azam.
nyama kavu inakua poa zaidNyama ya mchuzi au kavu? Samaki ninapenda kupika na mchuzi wa nazi lakini oily fish kama mackerel au salmon ninambake kwanza then ninmchesha na Limao nyanya chungu na bamia ohh
Lkn dona km haipandi vile.Kwamtogole dona mbona Lopo madukani