Wachache wasiotumia kilevi.Kuna wanaume wanaomba wapikiwe wali kama menu ni ugali
Ugali dona la moto (dona la home made-unanunua unga wa dona unachanganya na dagaa waliosagwa na unga wa muhogo) alafu na rosti ya dagaa na rosti ya matembele, aiseeee!Habari za J3 wapendwa
Mimi ninapenda sana kula ugali, ninaweza kula chakula hiki siku saba za juma mradi tu nibadilishe kitweo. Kuna wanaume nikiwaeleza mapenzi yangu kwa ugali wananiona mlugaluga.
Imebidi nipunguze ulaji wa ugali kutokana na issue za uzito wa mwili. Siku hizi ninakula ugali Jumamosi tu. Kuna wanawake wanaopenda kula ugali kama mimi?
Wanaume pia mnakaribishwa
Ugali na mchuzi wa samaki uliotiwa nazi, bamia, nyanya chungu nyanya kitunguu na ndimuUgali dona saiz ya ngumi yangu,pembeni nyama ya kukausha,mchicha/tembele,kachumberi iliokolea ndimu,mango chatne ama pilipili ya kupikwa,kipande cha tikiti na maji yenye ubaridi kwa mbaaali![]()
Habari za J3 wapendwa
Mimi ninapenda sana kula ugali, ninaweza kula chakula hiki siku saba za juma mradi tu nibadilishe kitweo. Kuna wanaume nikiwaeleza mapenzi yangu kwa ugali wananiona mlugaluga.
Imebidi nipunguze ulaji wa ugali kutokana na issue za uzito wa mwili. Siku hizi ninakula ugali Jumamosi tu. Kuna wanawake wanaopenda kula ugali kama mimi?
Wanaume pia mnakaribishwa
Majani ya mihogo icho kisamvu sasa chenye karanga kiliwe na wali, duh!Yaani b
ila kusahau mboga za majani ninapenda sana kula na majani ya kunde, majani ya maboga, majani ya mihogo au mchunga.
Samahani umelelewa nchi hii hii?hapana kwa kweli mimi nakula mara moja kwa miezi mitatu tena kidoogo
Ebanaee mate yashantoka,mchuzi wa samaki raha yake uliwe na ugali wa muhogo(udaga).afu chuzi liwe zitoo la sato au samaki asiye na mamifupa mengiUgali na mchuzi wa samaki uliotiwa nazi, bamia, nyanya chungu nyanya kitunguu na ndimu
Ugali au ndiziNikweli mkuu wapenda bia wengi ni wala ugali
Yaani mku hili la ugali wa mhogo afadhali umelileta. Jaribu kutembea Dar uoe ni hoteli ngapi wanapika ugali wa mhogo. Watoto wa sikuhizi hata hawaufahamu. Tunapoteza asili yetuEbanaee mate yashantoka,mchuzi wa samaki raha yake uliwe na ugali wa muhogo(udaga).afu chuzi liwe zitoo la sato au samaki asiye na mamifupa mengi
Nimeelewa,na shituka kidogo kusikia mtu anaponda ugali kwa maisha ya kitanzania utakuwa ujalelewa tanzaniaWadada wa mjini mkuu wamezoea kula kwa kisu na uma.
kwanini usisage mwenyewe?,Mkuu ninaishi Kwamtogole nimepanga chumba kimoja na kisebule. Ugali ninapenda unga wa Azam.
Mkuu nilipenda kufahamu kama kuna wengine wanaoonekana walugaluga kama mimi. My. Weekend was fantastic and now I'm back to normality.
Kuna ambao waliathiriwa na maisha ya boarding enzi za awamu ya kwanza. Ilikuwa dona maharage kwa kwenda mbelehahahahaha mie na ugali kama mgonjwa na dawa naweza kula ugali mwaka mzima bila shida kabisa nabadili mboga.....naweza kula ugali kwa kachumbari kama nakula samaki vile......kuna mahindi ya njano hivi ugali wake balaa
Sky Eclat karibu ugali tembele na dagaa kidogo