ikiwa comoro ili kuleta usawa au kujaribu kufanya hivyo visiwa vitatu grand comoro, anjoun na kingine jina limenitoka kidogo wameweza klufanya hivyo je kinacho shindikana zanzibar ni nini? au kinacho chelewesha nini ? kama sio unafiki wa baadhi ya watu, hususani . vingapi wana vifanya bila kupiga kura ya maoni? au hiyo demokrasia ya kura ya maoni ni nzuri ikiwa hakuna maslahi yao binafsi?