Mjasiri na Mali
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 5,365
- 14,182
Nitakupokea kama utakavyokuja kiufupi ni kama vile ukija na panga nakuja na shokalakini Sasa Kama hauna mgonjwa??
Nitakupokea kama utakavyokuja kiufupi ni kama vile ukija na panga nakuja na shokalakini Sasa Kama hauna mgonjwa??
Yaani skusikiii kabsa babu ntakuchek nkikaa sehem poaanshakutoka apo.





Siku nkiwaga sina hela hapa home siku hiyo huniitagi baby,nakuangalia2Sisi tunapenda sana pesa...asikwambie mtu
Hii safi unamleta kisha unamkataaa!!Daah umechelewa kunambia muda c mreefu nmetoka kumkopesha mtu


AhhahahahKuna kidemu bhana juzi kati kinaliaa liaa shida niliwah piga one time nikapotezea ikabak tu chatin za kawaida
Sasa juzi kinasema nina shida ya laki tatu baba kalazwa MOI nikajajibu sipo vzur sana ila ukija kuleta msosi nishtue tuonane siwez kukosa kitu cha kukupa kama msaad kidog mpka navoandika hapa itakuwa chakula hakijaivaa
Kalitaka kunipiga mzinga pasipo kujua muhimbili ndo mitaa yangu hapaa ngomaa ika fail
HahahahahSiku nkiwaga sina hela hapa home siku hiyo huniitagi baby,nakuangalia2
Hahahah hii mbinu nzuri mkuuKuna mshikaji wangu mmoja huwa tunasaidia kwenye hizo mambo, tume-create kbs zile auto reply text tumeiandika "nipigie jifanye unanidai" akitokea tu mtu ninaona huyu uelekeo ni huo namsukumia jamaa text ananipigia anaanza kunida kwa vitisho na mikwara. Basi mi najibu kinyongeee lkn kumbe ndo nampoteza maboya yule anataka kunipiga vizinga.
Bro wangu mshahara ukitoka anazima simu wiki mbili.. Anapatikana saa 6-12. Noma sana. Ukipiga napo hapokei.








Kuna Uzi humu uliletwa,jamaa amefanya utafiti wake akagundua kuwa wanawake wanapenda pesa zaidi kuliko ng.ono, na bado watu wakabisha.

Yupo mbali, mm hata sihangaiki nae, bi mkubwa ndio huwa ananipigia ananiulizia.Hata wewe anakuzimia au unakuwa nae karibu![]()
Yaan hada anamzimia simu ?Yupo mbali, mm hata sihangaiki nae, bi mkubwa ndio huwa ananipigia ananiulizia.




kudadeki hii ni mbinu ya karne sema tu inabidi uwe mtu wa machale sana
Mbinu kiboko kuliko zote ni kumuwahi mpiga kizinga kabla hajakupiga. Yaani ile unapokea simu yake tu unamuuliza kulikoni mbona ulikuwa hupatikani? Akianza kujitetea unamkatiza kwa kumwambia nilikuwa nakutafuta nikukope. Au unaanza kumlilia shida kabla hajasema zake hadi anaishiwa pozi.
Mbinu nzuri
Akisema mambo vp una jibu kibishi sana mambo ya moto...anakosa hata pozi la kuanzia

hapo anaweza kujua umepiga mshingo mrefu pahala mkuu uwezi aminiHahah hii haikuweki huru mkuukuna dili nasikilizia, likitiki nakutumia
apo unakua unakwepa kuvujwa gotiWabongo mnapenda uongo sema tu sina
Tuache uongo
